Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

ubovu wa mwanaume unasababishwa kwa asilimia 70 na mwanammke mwenyewe.Fikiria usoni umepiga karolight ya nguvu,lakini ndani sasa,mapaja yanamadoadoa,makalio yamejaa sugu utadhani dereva wa trekta,papuchi inatoa uvundo wa ajabu,kisanola hakijanyolewa miezi kadhaa,nyayo za miguu zimejaa machacha,mbaya zaidi kitandi ukifika humuamasishi huyu baada ya kumaliza round ya kwanza iliarudi unabaki umekodoa kama koboko..!!! Mtaani tukiwaona au maofisini mlivyo jipigilia kumbe ndani "manziganyanza"..
aisee umeua........we mbayaaaaaaaa!!angalia wataku note wawe wanakupondea ingawa umefunguka!!
 
NGOJA WATU WENYE BIKIRA ZETU to logoff!!maana dah.......mtatukomaza mapemaaa
 
Nsee,

Sentensi yako ya mwisho yawezekana unatania ili u provoke watu (iwe watanashati au si watanashati).

Utanashati na kuweza kumudu faragha ni vitu viwili tofauti. Kwanza akiwa mtanashani, ni dalili tosha ni msafi hata mwili wake akiwa 6/6.

Umechanganya utanashati na uzuri sana. Sielewi mwenzangu unatokea wapi, ila mie nimezungukwa na wanaume watanashati ambao ni dhahiri shughuli wanaiweza vizuri hilo tokana na viashiria vionyeshavyo kuwa kweli wanaiweza (tuache hilo lakini).

Utanashati ni kujipenda na usafi. Ila uzuri sana ndiyo huwa shida kwa wengi wanaume katika mambo yao mengi yanayowazunguka hadi suala la performance kitandani. Na hii ni kwa wale wanaume wazuri mno hadi anaweza faulu kuwa mtoto wa kike kwa make; na huwa balaa zaidi akiwa yeye kajitambua ni mzuri na kuwa so selfish to the extent ya kudhani uzuri huo ndio jibu la kila kitu. Mwanaume anakuwa mzuri na kila saa anataka kujitazama kwenye kioo.. :shocked:

Hata hivyo kuna wanaume ambao si wazuri na siyo performers wazuri tokana tu na sababu zingine tu, ingawa hata mimi nakiri kuwa wanaume wazuri mno kwa kiasi kikubwa ni tatizo.

Umeniogopesha dada, Unajua mke wangu huwa ananisifia kwamba mimi ni mzuri????????? alafu ananisifia kwamba natekeleza vizuri 'majukumi' yangu kama baba, au ananikejeri? sikutegemea kama nitaipoteza siku yangu kirahisi namna hii? ngoja nikahangaike na tafsiri ya neno Uzuri labda nitaiokoa hii siku
 
Weee uliye tuu ucheke una mbavu????

Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.

Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE

Fafanua...........utanashati upi sasa. Na wanaoweza ambao sio watanashati wakoje....waokota chupa za plastic....wanaotembea na viroba mfukoni........wanaoosha magari.....ebu funguka kidogo zaidi Muro.
 
Kinda ask the same question, nephew.

nashangaa sana kuona watu mnapata shidaaa na manyuzi ya aina hii one simple answer ni kwamba
Mleta mada hajawah kukutana na wanaume marijali bali hukutana nusu rijali, sasa mnategema nini??

BTW mleta mada angalileta kwa logic kwamba wanaume warudi jandoni wakafunzwe upya juu ya ulingo ningekuwa na la kusapoti manake kuna kaukweli hasa kwa vijana wanaokua sasa hivi.
 
Weee uliye tuu ucheke una mbavu????

Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.

Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE

Inaonekana wazi kuwa wewe ni MCHAFU SANA so kila mwanaume mtanashati hapendi uchafu na kwa uchafu ulionao ukivua nguo harufu inayotoka kunako ... Kuna mkata stim anaamua kuahirisha game we jitunze halafu umpe kikojoleo chako mwanaume mtanashati utarudi hapa kukiri ukweli MWANAMKE USAFI
 
Weee uliye tuu ucheke una mbavu????

Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.

Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE
Performance ya kitandani inachagizwa zaidi na usafi wa hao wahusika wawapo kwenye majambozi, hivyo mwanaume mtanashati ategemee zaidi kupewa ushirikiano na mwanamke kitandani tofauti na mwanaume asiyejipenda, kama umeshindwa kujipenda mwenyewe na umekosa muda wa kujiweka safi mwili sasa utaweza vipi kupata muda wa kumwandaa mwanamke ili umfikishe kileleni ?. Tusidanganye usafi ndio kila kitu kwenye suala zima la mapenzi,
 
Umeniogopesha dada, Unajua mke wangu huwa ananisifia kwamba mimi ni mzuri????????? alafu ananisifia kwamba natekeleza vizuri 'majukumi' yangu kama baba, au ananikejeri? sikutegemea kama nitaipoteza siku yangu kirahisi namna hii?

Mvaa Tai, ilipaswa uogope zaidi mkeo akikuona kuwa wewe ni mbaya, mume shurti asifiwe si ajisifie juu ya uzuri. Wala hakukejeli, ila tu anathamini nafasi na wajibu wako kama baba huku pia akijitahidi kuonyesha kuwa anathamini na kupenda yale anayo ona kwako.

Asipo kuambia utajuaje kuwa anakuthamini? Maneno huenda sambamba na matendo. Hongera sana kaka.
 
nashangaa sana kuona watu mnapata shidaaa na manyuzi ya aina hii one simple answer ni kwamba
Mleta mada hajawah kukutana na wanaume marijali bali hukutana nusu rijali, sasa mnategema nini??

BTW mleta mada angalileta kwa logic kwamba wanaume warudi jandoni wakafunzwe upya juu ya ulingo ningekuwa na la kusapoti manake kuna kaukweli hasa kwa vijana wanaokua sasa hivi.

We umeshakutana na mwanaume rijali?

Nakusalimu tu mwalimu wangu.
 
Mvaa Tai, ilipaswa uogope zaidi mkeo akikuona kuwa wewe ni mbaya, mume shurti asifiwe si ajisifie juu ya uzuri. Wala hakukejeli, ila tu anathamini nafasi na wajibu wako kama baba huku pia akijitahidi kuonyesha kuwa anathamini na kupenda yale anayo ona kwako.

Asipo kuambia utajuaje kuwa anakuthamini? Maneno huenda sambamba na matendo. Hongera sana kaka.

Shem tuna nini mimi na wewe?
 
Nataka wampige phumbu kisawasawa mpaka apate utamuuuuu.......vijana watanashat fanyen kaz bana!!!

Kwani unafikiria Phumbu ya kisawasawa hajai kupigwa? tatizo anagawa sana ndio maana katika kugawa kwake amekuja na hiyo tathmini yake. Sasa angejuaje kama mtanashati hapigi vizuri na ambaye sio mtanashati anapiga..........vipi wewe unataka mtanashati....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom