Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Nani anataka mbuzi guniani? Si ndio haya haya ya utanashati tunayoongelea hapa? Ooh miye kiboko ya njia....ooh sijui nini.. Hebu toka huko PM nenda ukale, mchana huu.....

Hakuna nliposema mi kiboko ya njia. Mi babu yako nakuita PM kwa ajili ya logistics flani... Bado nakusubiri ujue.....
 
Mbona ni kama umejipa usemaji wa wanawake wote? Umejuaje kuwa kumridhisha mwanamke hakuhitaji nguvu kubwa?

Maana nijuavyo mimi kila mtu yuko tofauti na tofauti hiyo yaweza sababisha wengine kuhitaji nguvu kubwa ya mwanaume ili waweze kuridhika.

Hivi unajua kuwa hata wanawake husumbuliwa na sexual dysfunction?

Mie sio kwamba nimewazungumzia wanawake wote lkn nimeongelea kile ambacho kipo na hakina abnormalities.
sasa lijapo swala la sexual dysfunctional kwa mwanamke tha is abnormality na kudeal nayo ni tofauti.
 
Hasa gfsonwin, utafune muhogo debe zima halafu hujui 'button' gani ya kugusa, itakuwa imesaidia kweli?

yaani imebidi nicheke mweeh!!
ngoja nitoke mie nimechoka na haya mambo
 
Ngabu, Hapo kwenye red, is it synonymous na LOW LIBIDO?

Yes, lack/ loss of libido is one of them.

Ona hiki kipande cha makala ya Mayo Clinic.....

Persistent, recurrent problems with sexual response or desire — that distress you or strain your relationship with your partner — are known medically as female sexual dysfunction.

Many women experience problems with sexual function at some point in their lives. Female sexual dysfunction can occur at all stages of life, and it may be ongoing or happen only once in a while.
You may experience more than one type of female sexual dysfunction. Types include:

  • Low sexual desire. You have diminished libido, or lack of sex drive.
  • Sexual arousal disorder. Your desire for sex might be intact, but you have difficulty or are unable to become aroused or maintain arousal during sexual activity.
  • Orgasmic disorder. You have persistent or recurrent difficulty in achieving orgasm after sufficient sexual arousal and ongoing stimulation.
  • Sexual pain disorder. You have pain associated with sexual stimulation or vaginal contact.

Source
 
Hili jukwaa sasa limegeuka la watoto, yani mtu swala lake binafsi anataka kuligeneralise.

Kuvaa boxer moja siku 5 na kuoga mara moja kila baada ya siku mbili ndicho anachoshauri mleta mada.

Kwamba deodorant zisinunuliwe madukani wala mwanaume usilipuke pamba.

Huu ni ujinga na hii thread ni ya kipumbavu kabisa.
 
itabidi nionane na daktari juu ya hili
KWANINI SIWEZI KUHUSIANISHA TABIA AU MATENDO YA MTU NA KUNDI FULANI LA WAT!?
ah sijui bana
 
Interview Starts...HR OFFICER:- what is your name?
MUZO:- M.P sir
HR OFFICER:- In full!
MUZO:- Muzo Phiri
HR OFFICER:- your father's name?
MUZO:- M.P sir
HR OFFICER:- what does that mean?
MUZO:- Melvin Phiri
HR OFFICER:- your native place?
MUZO: M.P sir
HR OFFICER:- what's that?
MUZO:- Muchinga Province
HR OFFICER:- what is your qualification?
MUZO:- M.P
HR OFFICER:- (angry) what is thaat?!!!
MUZO:- Mathematics Professor
HR OFFICER:- so why do you need a job?
MUZO:- it is because of M.P sir
HR OFFICER: meaning?
MUZO:- Money Problems
HR OFFICER:- would you explain yourself and stop wasting my time? What's yo personality like?
MUZO: MP sir.
HR OFFICER: and what is that?
MUZO:- Marvelous Personality
HR OFFICER:- I see... I will get back to you.
MUZO:- sir, how was my M.P?
HR OFFICER:- and what's that again?
MUZO:- My Performance.
HR OFFICER:- I think u are an M.P
MUZO:- m.e.a.n.i.n.g?
HR OFFICER:- Mental Patient!!!

M.P.
 
Watanashati wengi hua wabovu kitandani .kwahiyo wengi wangapi umekutana nao mpaka u conclude hhivo basi wewe inelekeani changu uko kibiashara ndo maana umeweza fanya hiyo research
 
mie sio mtanashati na si mchafu ni msela tuu ,tinna cute vipi unaweza japo kunipa nafasi ni miliki moyo wako?

Nina msela wangu tunamegana kisela,,,, once perfomance yake ikishuka ntakutafuta.
 
Word.....na wanajiongezea juhudi ya kununua mihogo na kutafuna barabarani kama nguruwe pori/mwitu....kumbe ujanja ni mdogo tu kama kumsukuma mlevi.


wafundisheni hao wanaume wenu.............
 
Namaanisha wale ambao ni wazuri wa sura, wanavaa kuendana na katalogy, hawa ni majanga matupu yaani hovyo kabisa.

Heheh...hapa kama unamnyooshea kidole Dayadomo aka Rais wa Wasafi 'watanashati'.

Lakini mbona kajamaa kanawapanga nyie kina dada kama tembele juu ya chanja...???
 
Hebu kayaulize macho ya Habby afu uje unambie yamekwambia nini.

eti Habby macho yake yanasema we ni mtanashati.......

halafu nimemsimulia yanayoelekea jamvini ndo anajiuliza.....

itakuwaje wakati wanaume watanashati perfomance ni doro
 
At least wewe umeadmit kwamba tatizo lipo, sawa mie sikupingi hata kidogo. Lakin ninachopingana na wewe wala kumridhisha mwanamke hakuhitaj nguvu kubwa kiasi hicho (nguvu za kiume).

Ngoja nikupe mfano mdogo nafkiri utanielewa, mimi gfsonwin nimeolewa mke wa pili naswtlo wangu Kaizer ambaye dada mkubwa kindoa ni AshaDii, na siku hizi mie ninaye mdogo wangu kindoa aitwae DEMBA.

sasa mume wetu huyu, wala sio kwamba anahitaj nguvu nyingi sana kuturidhisha ila yeye hutumia mbinu ambazo wala hazimtoi jasho, na humudu kupanga zamu na kila mmoja akamuhudumia vyema bila kutaka nyongeza ya dawa za nguvu za kiume. Anacholinda yeye ni je naujua vyema mwili wa mke wangu?? na je wapi panapompa hamasa zaidi?? kwa kua anapajua basi yeye wala jasho halimtoki na anatuweka mjini sote tukatulia na hatujuti.

sasa wewe unafikiri hapo tatizo linalowapata watoto wa kiume wa kileo ni lipi?? manake kijana wa miaka 30 utamlinganisha na swtlo wangu mwenye miaka 40+ na wake 3?? nani hapa ambaye huo upungufu wa nguvu unatakiwa umsumbue?
well said dada yangu wa kindoa. mume wetu Kaizer ni mtanashati wa haja. na kasoro hiyo hana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom