Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Wanaume watanashati wengi wabovu kitandani.

Weee uliye tuu ucheke una mbavu????

Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.

Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE
umefanya utafiti lakini? unatakiwa ufanye utafiti, sio unakimbilia kwenye conclusion ... ungetakiwa useme umewatafiti wanaume wangapi watanashati ambao ni wabovu kitandani, waweza kuta ni half-half, sasa kama ipo hivo half-half, huwezi kusema kwamba wengi wao ni wabovu.... ungetakiwa pia uwaulize wanawake ambao unadhani wana wanaume watanashati..... Ukishayafanya hayo, njoo utuandikie JF, tena kwa takwimu na sio maneno mepesi mepesi kama uliyoyatumia..........
 
Mtoa mada kafanye research, mbona mie nawapa vizuri hata wakiolewa wanataka niendelee kuwapa?
Uje kwangu nkutoe hizo fikra potofu
 
Yaani ukweli ambao mie nimeuona nice looking men wana perfomance mbovu sana, tena hawa wa mjini ambao masaa yote anaonekana msafi, mzuri anavutia ni majanga. WENGI hudhan umaridadi na uzuri wao basi unatosha kumbe sio.

Mwanaume ambaye ni wa kawaida tu unaweza mdharau na kusema huyu yuko hivi lakini ukweli kwenye mechi performance iko njema zaid zaid ya hawa wa shoe rum tunaokutana nao huku maofisini.Kwanza wengi hawa wa show rum ni watoto wa mama, hawajui hata uanaume wao uko wapi. Mijianaume inadeka tu kama watoto wa kike yaani hawaeleweki.

Mhhhhhhhhhhhhh hiv kweli ! handsome man
 
Inasikitisha sana, yani mpaka kwa malaya mnaogopa michubuko!?

Vita dhidi ya ukimwi bado ngumu sana maana inaonekana kuna watu kwao matumizi ya condom ni msamiati.

wanaume wanaelewa nikisema hivyo we condom haijawah kukupasukia??unless una kidole hahahahah
 
ubovu wa mwanaume unasababishwa kwa asilimia 70 na mwanammke mwenyewe.Fikiria usoni umepiga karolight ya nguvu,lakini ndani sasa,mapaja yanamadoadoa,makalio yamejaa sugu utadhani dereva wa trekta,papuchi inatoa uvundo wa ajabu,kisanola hakijanyolewa miezi kadhaa,nyayo za miguu zimejaa machacha,mbaya zaidi kitandi ukifika humuamasishi huyu baada ya kumaliza round ya kwanza iliarudi unabaki umekodoa kama koboko..!!! Mtaani tukiwaona au maofisini mlivyo jipigilia kumbe ndani "manziganyanza"..

U have a point wanawake wengi wanatupia wanaume lawama ila hawaangalii upande wao kam pengine kuna kasoro. Na pia kun wanawake watanashati but they are cold and frigid on bed hii iko study imefanywa kabisa. Juu ya kuwa sijui walichezwa walifundishwa unyagoni haitoshi
 
dada ngoja nikujuze kitu kutokana na ujuzi wangu......
wanaume wengi (90%) ambao watanashati wanakua katika mahusiano ambayo yana match kulidhika kwao( yan true love wake au mwanamke aliye taraji kuwa nae,,kitabia na muonekano)..sasa kutokana na sisi tumeumbwa tamaa ipo kwenye macho na nyie mabinti ukitaka mwanaume unaweza mpata( kwa utundu wenu wa mitego) unajikuta umempata kijana mtanashati ambaye perfomance yake more than 50% imelidhishwa na uyo ampendae kwa dhati,sasa wewe unakua side chick wake kind off,,,yani haangalii kama anahitaji kukukaza ipasavyo au laah,,yeye ili mradi ana status yakukumega kwake tosha,,,

ukitaka kufanya research angalia watu wengi watanashati anakua na demu wake ambaye ata umlogee hamuachi,,ila kukumega wewe atakumega tu,,kumaintain status yake..

inshort wanaume wanapenda kujituma kwa mwanamke ampendae,,( ambae ni mmoja) ao wengine tamaa tu na kama alivyosema rais ^^vihere here vyao^^ wanaona mtu full swagga unajijaza,,nami nalipua tuu

i hope umepata kitu,,<<naongea from myexperience ..maana nami mtanashati kwelkwel..lol>>
 
wanawake wazuri nao tatizo, i had this girl alikua mzuri kwakweli lakini , mpeleke kule sasa, hajisumbui analala tuuu, mpaka unamaliza mnaagana alikua ananishangaza sana
 
Mi cmo, Ila Na nyie mademu wazuri sometyms mnaboa, mnafika kunako 6*6 unakuta MSITU hta wa mabwepande afadhali, akifika anakimbilia kulala bedin, umvue, ufanze mavitu amelala tu anawaza hela, unaanza kumfirigisa anakukodolea mimacho mikavuuuu, af anataka nimhangaikieeee hadi aone raha, Nani kasema, namaliza nachapa lapa namuacha aje kulalamika jf. Ile shughuli inataka pande Mbili zishirikiane

khaaaaa
makubwa!!!
 
Kwi kwii kwiii, kutokana na siri ninazopewa na msiri wangu Kaizer wala hauhitaji kuweka picha yake hapa AshaDii. Waniulize tu waone jinsi ulivyompasisha "with flying colours"!

hahahah msiri wangu mwaJ uyo.......:busu
 
Last edited by a moderator:
ujadaganya ccter yn kunako 6*6 awa wa2 wanakua wavivu c kawaida asa ikija kwenye ishu ya kumuandaa mwenzake il aweze kuukabil mtanange yn apo wanajiridhsha wenyewe paspo kujua km mwenzake kamuandaa vzur
 
uwiiiiiiiiiii!!!!!!!!!! hahaaaaaaaa!!!!!! me ndo maana nikitongozwa na mtanashati nakimbia ka mwehu na kama tumekaa mahali naingia chini ya uvungu wa meza ili mradi anione sifai............

Mimi Mtanashati ukitaka kuthibitisha uongo wa huyu jamaa ni PM- maana lazima upige ukelele nakoj.................waaaa:help:
 
Weee uliye tuu ucheke una mbavu????

Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.

Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE

kama ukiwa nyanya chungu unategemea babylone beezyy aka kiss to the ladies apige kivipi?? Anapiga kichovu hivyo hivyo..advice is nyanya chungu tulia na nyanya chungu wenzio...no offense tho...hahahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom