INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,269
Weee uliye tuu ucheke una mbavu????
Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.
Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE
ubovu wa mwanaume unasababishwa kwa asilimia 70 na mwanammke mwenyewe.Fikiria usoni umepiga karolight ya nguvu,lakini ndani sasa,mapaja yanamadoadoa,makalio yamejaa sugu utadhani dereva wa trekta,papuchi inatoa uvundo wa ajabu,kisanola hakijanyolewa miezi kadhaa,nyayo za miguu zimejaa machacha,mbaya zaidi kitandi ukifika humuamasishi huyu baada ya kumaliza round ya kwanza iliarudi unabaki umekodoa kama koboko..!!! Mtaani tukiwaona au maofisini mlivyo jipigilia kumbe ndani "manziganyanza"..