Jamani jamani.... Muda wa lunch huu. Nenda kale basi upate nguvu....
AshaDii mke mwenzangu, nafikiri mleta mada aina ya uandish wa mada yake ndio ulio mletea upinzani mkubwa zaid hapa. Na sijui ufaham wake lkn kwa uelewa wangu mimi utanashati ni compliment ya performance as you have said it.
sasa nije kwenye swala la msingi ambalo naona kwa baadhi ya wanaume wanayo shida na hapa nimetaka tu kuelimisha na so kushabikia, kuna baadhi ya wanaume ambao ukweli hawawez/hawajui / hawamudu kuridhisha wapenzi wao lijapo swala la kufanya mapenzi.
Kama ilivyo kwamba kuna baadhi ya wanawake wako hivyo basi na upande wa pili wa shilingi uko hivyo. Tatizo kwa wanawake wengi huwa hawawez kusema ukweli kwa wapenzi wao kwamba hapa hujanifikisha na hivyo hutoka wakiwa na maswali mengi sana akilini mwao.
Mie nimewah kusikia kwa wanawake wengi tu wakilalamika hawajui hata orgasm ni kitu gani zaid ya kusoma tu kwamba kuna kilele watu hufika, na hawa unakuta wako kwenye ndoa na wana watoto pengine wa3 ama 4 ndoa ina mwaka 10+. Hapo ndipo linapokuja swala zima la je ni kwamba huyu baba ni mbinafsi?? na je huyu mwanaume anajua nini anachotaka mkewe kwenye ishu ya tendo la ndoa?
Wanaume wengi hujua mwanamke hufika pale yeye anapofikia mshindo kumbe maskini kuna njia tofauti kabisa ya kumfikisha huyu mwanamke. tena baadhi yao hujua akifikia mshindo ndio basi yy hawez hata kujua mwenzie kafika wapi. Kuna sababu ya wanaume kujifunza na kuijua miili ya wake zao wajue mke anaridhishwa vipi kimapenzi.
Hata hawa wanaotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume, hutumia wakijua kwamba kukaa kifuani kwa mwanamke muda mrefu ndiko kumfanya afikie mshindo kumbe wala sio hivyo.
I think some thing needs to be addressed in a clear way kwa hawa wanaume.
we ni mtanashati au sio mtanashati.....
yaani sa hivi ukimuangalia tu mtu unajua ka perfomance ni 0% au ni 100%
hahahahah!!!!!!!!!! umenifanya nicheke sana,,,,,,,,,,,lakini bora hata hawa wanaokula hii mihogo pengine inawasaidia.Word.....na wanajiongezea juhudi ya kununua mihogo na kutafuna barabarani kama nguruwe pori/mwitu....kumbe ujanja ni mdogo tu kama kumsukuma mlevi.
Hebu kayaulize macho ya Habby afu uje unambie yamekwambia nini.
Uko sahihi kabisa. Hata wanawake wazuri usoni, kitandani ni wabovu kabisa hawajui chochote!
njoo ujionee!!
wewe unakazi ya kuchakachua uzi wa mwenzio ngoja aje sijui kaenda lunch ama shift imeisha utamkoma.
hahahahah!!!!!!!!!! umenifanya nicheke sana,,,,,,,,,,,lakini bora hata hawa wanaokula hii mihogo pengine inawasaidia.
lakini ukweli ni kwamba mpaka umjue mwenzi wako vyema ndipo unapoweza kumpa raha kusudiwa.
Fafanua...........utanashati upi sasa. Na wanaoweza ambao sio watanashati wakoje....waokota chupa za plastic....wanaotembea na viroba mfukoni........wanaoosha magari.....ebu funguka kidogo zaidi Muro.
Ni kweli kabisa. Uzuri hutumiwa kama silaha kumbe kuna kazi zaid ya kufanya ili huo uzuri wako uonekane
Weee uliye tuu ucheke una mbavu????
Hope you are all good!!
Najua wengi mtakuja na matusi na kashfa kibao lakini message sent and delivered.
Men you should train yourself bhana mnaboa sana yaani unakuta mtu mtanashati, ana kila kitu kizuri lkn kitandani hovyo kabisa...,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
SITAKI MATUSI IKIKUBOA IPOTEZEE
Inaonekana wazi kuwa wewe ni MCHAFU SANA so kila mwanaume mtanashati hapendi uchafu na kwa uchafu ulionao ukivua nguo harufu inayotoka kunako ... Kuna mkata stim anaamua kuahirisha game we jitunze halafu umpe kikojoleo chako mwanaume mtanashati utarudi hapa kukiri ukweli MWANAMKE USAFI
Hasa gfsonwin, utafune muhogo debe zima halafu hujui 'button' gani ya kugusa, itakuwa imesaidia kweli?
Uzuri wa mwanaume uko wapi? Sura au?
Sijui kama utanashati na game vinahusiana.....all in all jitahidini jamani kupiga phumbu