whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,758
- 8,900
Tumia browser, app haifungui.Hiyo video kwangu haionekani halafu comments ndio zinanipa munkari kuiona. Nisaidieni wakuu
Tumia browser, app haifungui.Hiyo video kwangu haionekani halafu comments ndio zinanipa munkari kuiona. Nisaidieni wakuu
Mnaandika vitu msivyovijuwa, pale ni makumbusho usalama wa Taifa na makazi pia ya walinzi wa viongozi.
Hao wenye kombati ni makirikiri walinzi wao Usalama wa Taifa, hata Makonda alivamia clouds na hawa.
Haya Mav 8 yenye vimulimuli mkiyaona barabarani muwe mnayapisha yapo above law za sheria za barabani, wanaweza kupita hata na Rais bila kujuwa wakiwa kwenye oparesheni zao bila kutumia msafara rasmi wa Rais.
Tatizo la vijana wa sasa ujuwaji umezidi hizo gari zipo juu ya sheria za barabarani ila ukiwa kiburi endelea kubisha tu.
Technology imekuwa sana siku hizi, kuna simu ikimaliza kupiga picha ina upload kwenye clouds immediatelyHuyu jamaa inaonekana yuko connected... maana angekuwa mwepesi kwa hapo alipopelekwa, hata simu asingepata na hii video tusingeona.
Inawezekana ndicho kilichotokea.Technology imekuwa sana siku hizi, kuna simu ikimaliza kupiga picha ina upload kwenye clouds immediately
Na wao wanajua kuwa unaweza kufanya jinai ukampokonya na simu kumbe video iko hewani tayari
Technology imekuwa sana siku hizi, kuna simu ikimaliza kupiga picha ina upload kwenye clouds immediately
Na wao wanajua kuwa unaweza kufanya jinai ukampokonya na simu kumbe video iko hewani tayari
Wale walikuwa ni washamba na malimbukeni,wakati wanashituka wanauliza mbona unaturekodi ndip yule Dada akaituma kwa ndugu yake fasta,walipo washusha chini tayali video ilikuwa imetumwa na waliyemtumia akairusha haraka kwenye mitandao ili awaokoe maana alijua wametekwa,Inawezekana ndicho kilichotokea.
TISS ni raia bana sio askari nanga wakubwa hao.BREAKING NEWS!!!!View attachment 2184165
So besically what you are saying mr matola is ...the end justify the means and they are above the law right...???? Tuna safari ndefu sanaMnaandika vitu msivyovijuwa, pale ni makumbusho usalama wa Taifa na makazi pia ya walinzi wa viongozi.
Hao wenye kombati ni makirikiri walinzi wao Usalama wa Taifa, hata Makonda alivamia clouds na hawa.
Haya Mav 8 yenye vimulimuli mkiyaona barabarani muwe mnayapisha yapo above law za sheria za barabani, wanaweza kupita hata na Rais bila kujuwa wakiwa kwenye oparesheni zao bila kutumia msafara rasmi wa Rais.
Tatizo la vijana wa sasa ujuwaji umezidi hizo gari zipo juu ya sheria za barabarani ila ukiwa kiburi endelea kubisha tu.
You seem to be smart than what u wrote here bto. Sikatai sisi vijana tuna ujuaji mwingi ila hebu rudia kusoma ulichoandika.Mnaandika vitu msivyovijuwa, pale ni makumbusho usalama wa Taifa na makazi pia ya walinzi wa viongozi.
Hao wenye kombati ni makirikiri walinzi wao Usalama wa Taifa, hata Makonda alivamia clouds na hawa.
Haya Mav 8 yenye vimulimuli mkiyaona barabarani muwe mnayapisha yapo above law za sheria za barabani, wanaweza kupita hata na Rais bila kujuwa wakiwa kwenye oparesheni zao bila kutumia msafara rasmi wa Rais.
Tatizo la vijana wa sasa ujuwaji umezidi hizo gari zipo juu ya sheria za barabarani ila ukiwa kiburi endelea kubisha tu.
Unajikuta na wewe usalama sio ungoe mademu wa jfWamekosea nini?
Tunapopigania katiba mpya wewe binafsi ni mmoja wa wale wanaoturudisha nyuma.Wabongo kwa kukuza mambo tupo vizuri ila kujipigania kwa mambo ya maana tupo vibaya
Huu ndio ujuwaji naomba watu mjifunze kukaa kimya kwa kitu msichokijuwa, Tiss siyo raia na wanakwenda depo ya kijeshi kabla ya kuajiriwa.TISS ni raia bana sio askari nanga wakubwa hao.
Am too old for this, hapo ni geti kuu Makumbusho kuingia Mzena ndani na nyumba za PSU.Wewe umejuaje ni ofisi za Usalama wa Taifa?
Kuna utambulisho gani hayo maeneo kuthibitisha hiki unachokisema?!
Huu ndio ujuwaji naomba watu mjifunze kukaa kimya kwa kitu msichokijuwa, Tiss siyo raia na wanakwenda depo ya kijeshi kabla ya kuajiriwa.
Ukiona Rais anasema viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama maana yake mkuu wa majeshi CDF, IGP, Mkuu wa Usalama wa Taifa, mkuu wa Takukuru, Kamishna wa madawa ya kulevya, kamishna mkuu wa idara ya uhamiaji na sasa linaitwa jeshi la uhamiaji na kamishna mkuu wa magereze. Hivi vyombo vyote tajwa hapo juu hakuna raia, na ndio maana walinzi wa usalama wa Taifa wanavaa kombati za kijeshi kama huyo dada kwenye hiyo video clip.
Am too old for this, hapo ni geti kuu Makumbusho kuingia Mzena ndani na nyumba za PSU.
Tunapopigania katiba mpya wewe binafsi ni mmoja wa wale wanaoturudisha nyuma.
Asingesimama ingehalalisha kubumbiwa makosa mengine.Ni aibu tu, halafu huyo dogo nae asingesimama angesepa zake tu
Wewe ni mjinga na akili huna, mimi nimezaliwa ocean road wakati huo ikiwa ndio maternity hospital, na kama una akili timamu utajuwa hata umri wangu kabla ya maternity kuhamishiwa muhimbili.Nimekuuliza umejuaje, jibu swali.
Ulipofika Dar kwa mara ya kwanza ukitokea Namtumbo ulijuaje hapo ni Ofisi za idara ya serikali?
Huna ulijuwalo, pole sana, endeleeni na ujuwaji mtaendelea kusurubiwa sana kwa kudhani video na camera zenu zitawasaidia.Watu wote nchi hii ni raia "citizens".
Ukiacha JWTZ na JKT ambao ni wanajeshi wengine wote ni "civilians".
You are right, idara ya Usalama haihusiki ku enforce the lawTISS anahusikaje na kukusimamisha.
Kuna vijana wengine wamechanganyikiwa humu ndani, muda mwingine kuepusha shari ni vyema ukawa unawapuuza ndugu…Wewe ni mjinga na akili huna, mimi nimezaliwa ocean road wakati huo ikiwa ndio maternity hospital, na kama una akili timamu utajuwa hata umri wangu kabla ya maternity kuhamishiwa muhimbili.
Unawezaje kumuuliza mtu mwenye akili timamu amejuwaje mji mkuu wa Kenya ni Nairobi?
Huna akili.