Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Wana JF hawa viroho visiwadunde, members wengine wamekwenda nyumbani Tanzania na ndio maan labda hawako hewani.

Ukiwa huku Bongo, access ya internet ni shida kidogo; mie mwenyewe niko nyumbania karibia miezi 3 na mahudhurio yangu hapa ni kwa ajili ya kusoma tu kwani natumia dial-up ya TTCL mobile, ukijaribu kwenda kwenye cafe connection speed ni slow unaishiwa muda kabla ya kusoma sana, wakati mwingine tunasoma kwenye simu za mkononi ingawa ukipost kitu charge yake ni kubwa sana.

Members wengi wako addicted na JF hakuna anayeweza kupotea moja kwa moja lakini tukirudi kwenye 'maboksi' utaiona speed yetu.

Hilo la kubadili majina, tunawajua baadhi yao lakini ukiwataja mods wanakushukia na rungu kali; kwa hilo mie simo!
 
Inawezekana ikawa Marlo kawaonda kama livyoiwipe out East Baltimore
redir
 
Najua kuna members wengine wanahisi kuwa huyu mwanachama yupo kwa jina jingine. Je kuna uhakika gani kwa hilo? Pengine mnafananisha tu. Kada alikuwa active sana hapa jamvini. Kama Mtanzania mwenzetu ni lazima tuwe na wasiwasi kwa yaliyomkuta huyu mwenzetu. Huwezi jua....

Anyway, Robot ningeshauri pengine kama unaweza utuhakikishie kama Kada yupo humu kwa jina lingine. Siombi kuwa ututajie jina analotumia, ila utuambie kuwa tu "yumo kwa jina lingine." Nafikiri hiyo itatosha kutuhakikishia kuwa huyu mwenzetu yupo salama salmini, na kwamba tunaendelea nae kukata ishuz.

Ni ombi tu~
 
Jama, napenda kuuliza, members hawa wametowekea wapi? Kuna anayejua...


--Mchongoma
--KadaMpinzani
--Pangupakavu
--AmazingFriend
--

Tunakukaribisha tena KadaMpinzani..... ulitowekea wapi wewe ndugu?!! daah, kuna mheshimiwa mmoja pamoja na kuudhika kwake jana atakuwa na furaha kweli leo... wewe acha tu!! lol
 
SteveD,
Kwa kuwa hatujui yepi yamewasibu wenzetu hao huoni kuwa ingekua ni busara ukaacha kurukaruka na kucheza kama vile unaonyesha kufurahia jambo fulani?:-D
 
Jama, napenda kuuliza, members hawa wametowekea wapi? Kuna anayejua...


--Mchongoma
....
--

...nipo(nimerudi) ndugu yangu, nilikwenda bongo kuangalia 'upepo' unavyovuma!...

Huko umeme haujafika nyumbani, thx God kuna kitu kinaitwa Inveter ukiunganisha na battery ya gari angalau kinazalisha umeme wa kuwashia taa usiku!

Tupo pamoja.
 
ukumbi huu mepoteza haiba yake tokea jemadari wa anga hizi kutoweka.

jamani yuko wapi huyu mkuuu au yuko comoro?
 
ukumbi huu mepoteza haiba yake tokea jemadari wa anga hizi kutoweka.

jamani yuko wapi huyu mkuuu au yuko comoro?


opsssssss samahani nimeingia CHIPO nilikusudia kuingia ktk TUNDU YA SIASA lakini najikuta nimeingia TUNDU YA WAKUBWA.

chaos.
 
Jamaa sijui kapotelea wapi? Kuna hawa madada wanahitaji faraja yake....
attachment.php
 

Attachments

  • image012.jpg
    image012.jpg
    25.5 KB · Views: 163
Hivi Insurgent yuko wapi?... mambo ya ATCL yamefumuka najua ni mfatialiaji mzuri sana wa shirika hili, tunauhitaji mchango wake katika hili.



...wapi MSWAHILI!!!!!!!???

PM, Mswahili yupo, kwani hujaona jinsi anavyo gongana na Mkjj?!.... ila ndiyo hivyo tena haturuhusiwi kwa sheria za JF kumfurumua!! 🙂

Yupo wapi kichwamaji?

Nammisi sana Said Yakubu
Said Yakubu ninavyoona aliamua kujitoa hata JF baada ya kutoa tangazo la kufunga blog yake. Lakini kwa addictive nature ya jf ninavyojua, lazima tu atakuwa anachungulia hapa.... kikubwa ninacho hisi ni kwamba labda sasa hivi anamajukumu aliyopewa na mshirika wake Mhando ya kuchanganua the new TBC!! Nawe lakini si uko huko...mmmmh, kweli huna fununu?! 🙂
 
Mchunguzi inakuwaje??? nilimwona last week mbili hivi na ghafla akatoweka.
Namiss zile articles zake zilizojaa heshima na hekima alizozidediketi kwa White head.

Unajua tukiwa tunatofautiana humu ndipo forum yetu inakuwa tamu zaidi. Ila naamini kuwa vilaza wa kutupwa wapo humu pia.

Nimesoma ktk post moja hapo juu kuwa inawezekana Makene akawa amefariki nadhani labda kweli maana hata ile article yake maarufu ya Kasri la Mwanazuoni imekatwa au imesitishwa ghafla ktk jarida la Mwananchi jumapili na hatujapewa sababu...
Pls mwenye uthibitisho alete jamani maana endapo tunampoteza mtu humu basi apewe heshima yake kama mpambanaji aliyefia uwanja wa vita.
 
Mchunguzi inakuwaje??? nilimwona last week mbili hivi na ghafla akatoweka.
Namiss zile articles zake zilizojaa heshima na hekima alizozidediketi kwa White head.

Unajua tukiwa tunatofautiana humu ndipo forum yetu inakuwa tamu zaidi. Ila naamini kuwa vilaza wa kutupwa wapo humu pia.

Nimesoma ktk post moja hapo juu kuwa inawezekana Makene akawa amefariki nadhani labda kweli maana hata ile article yake maarufu ya Kasri la Mwanazuoni imekatwa au imesitishwa ghafla ktk jarida la Mwananchi jumapili na hatujapewa sababu...
Pls mwenye uthibitisho alete jamani maana endapo tunampoteza mtu humu basi apewe heshima yake kama mpambanaji aliyefia uwanja wa vita.

Mkuu check kwenye hii thread! RIP Makene
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=9206&highlight=Makene
 
Back
Top Bottom