Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Baada ya kupewa BANN ya wiki mbili na watawala wa JF kisa nilimuita RICHARD CHOTARA wa kijerumani leo nimerudi toka kifungoni na naomba machizi wenzangu wa kule kijiweni kwetu mniwie radhi.

Hii ndiyo price ya ku pay humu JF ambako naweza kusema kuwa POLITICAL CORRECTNESS itatumaliza

Unajua tena sie wengine hatujui tofauti kati ya Half Caste,Chotara, mixed race na rangi rangi hivyo huwa tunawajumuisha wote kwenye hilo Kundi la machotara...ni kiswahilitu tuu hicho

Kama niliwaudhi watawala basi sitowaomba radhi lakini ninawaomba radhi wanachama kwa kuwa na domo kaya.

Mwisho nauliza swali hivi JF ina agreement na FBI kabala ya kuweka mabango ya FBI wakiban watu au ndio utoto tuu kwa huyo mhusika?

sasa naenda kule kwenye forum yetu

take it easy.ipo siku watakuelewa.almuhhimu tu kama ulikuwa juu sheria walipokubann.pia pole na wb.
 
leta picha brazameni maana nategemea kuoa desemba hivyo nataka kugelezea styles kwa ajili ya haneymoon
 
Nyani nilikuona kule.... brazameni mbona ni memba mtiifu kule.. unajua kule huwi banned!

By the wey nina mambo mazuri tu ya DETROIT

and on a flipside unajua kule GUMZO niko active na nashukuru kuwa niliopoa kitu kule...yuko hapo Holland

unajua bado ninacatch up na threads za siasa. Hivi mnahabari kuwa sikuhizi watu huwa wanafowardiana threads za JF kwenye Email?
 
Baada ya kupewa BANN ya wiki mbili na watawala wa JF kisa nilimuita RICHARD CHOTARA wa kijerumani leo nimerudi toka kifungoni na naomba machizi wenzangu wa kule kijiweni kwetu mniwie radhi.

Hii ndiyo price ya ku pay humu JF ambako naweza kusema kuwa POLITICAL CORRECTNESS itatumaliza

Unajua tena sie wengine hatujui tofauti kati ya Half Caste,Chotara, mixed race na rangi rangi hivyo huwa tunawajumuisha wote kwenye hilo Kundi la machotara...ni kiswahilitu tuu hicho

Kama niliwaudhi watawala basi sitowaomba radhi lakini ninawaomba radhi wanachama kwa kuwa na domo kaya.

Mwisho nauliza swali hivi JF ina agreement na FBI kabala ya kuweka mabango ya FBI wakiban watu au ndio utoto tuu kwa huyo mhusika?

sasa naenda kule kwenye forum yetu
Brazameni nakusubiri kule kitaani kwetu hapa mkuu hujalipia ada ya mwaka!
 
ebwana ee ndio kwanza naingia nilikuwa kwenye date huko mjini na naona nimeliwa pesa tuu

i wish ingekuwa Friday

anyway ngona nikaongeze vitu kule
 
Nyani nilikuona kule.... brazameni mbona ni memba mtiifu kule.. unajua kule huwi banned!

mzee kwa kuvutia duh sikuwezi utafikiri Tangazo la Tanzania CNN!:) Basi nasi ngoja tuwe tunachungulia huko kwa gumzo tupaone.


Eeebwana Brazament karibu sana mzee maana weekend kijiwe kilikuwa kimya kabisa.
 
Baada ya kupewa BANN ya wiki mbili na watawala wa JF kisa nilimuita RICHARD CHOTARA wa kijerumani leo nimerudi toka kifungoni na naomba machizi wenzangu wa kule kijiweni kwetu mniwie radhi.

Hii ndiyo price ya ku pay humu JF ambako naweza kusema kuwa POLITICAL CORRECTNESS itatumaliza

Unajua tena sie wengine hatujui tofauti kati ya Half Caste,Chotara, mixed race na rangi rangi hivyo huwa tunawajumuisha wote kwenye hilo Kundi la machotara...ni kiswahilitu tuu hicho

Kama niliwaudhi watawala basi sitowaomba radhi lakini ninawaomba radhi wanachama kwa kuwa na domo kaya.

Mwisho nauliza swali hivi JF ina agreement na FBI kabala ya kuweka mabango ya FBI wakiban watu au ndio utoto tuu kwa huyo mhusika?

sasa naenda kule kwenye forum yetu

Jamani domo kaya ni jina langu, nimeshtuka kidogo nilipoona kuwa na domo kaya. pole
 
Ndugu Gemina Tombalbaye uko wapi? Siku hizi umeadimika mno na mimi binafsi nina-miss mawazo yako. Uko wapi? Tafathali rudi!
 
majina mengina bwana hakuna ulazima wa kuita kama jina halina ladha ulitamkapo naulisiapo kwan majina yameisha
 
Wanabodi,
Baada ya uchaguzi wa Zitto kuwa mjumbe wa kamati ya madini sijamsikia tena...Vipi ama ndio kisha pewa Kiamba chenye rasilimali kumfunga mdomo maanake sii kawaida yake kukaa kimya kiasi hiki...
Sii lazima atuletee habari za madini, nadhani mchango wake ktk maswala mengine tofauti ni muhimu zaidi kwetu sisi sasa ni kipi kimemkuta na ukimya huu?. Sifikirii wala sidhani kuwa kazi yake imeishia ktk madini ama Karamagi tu kwani Ufisadi upo kila kona na vita yake haiwezi kwisha mara tu unapokabidhiwa jukumu moja..
Kifupi sijawasikia Hata hao viongozi wa Upinzani kina Freeman, Prof Lipu wa Lipumba, Seif Sharrif na wengine wote wakizungumza lolote kuhusu hili wimbi la Ufisadi isipokuwa Mrema na Slaa...

Kulikoni?...
 
Mheshimiwa, Zitto amekuwa ziarani kwenye majukumu ya hiyo Kamati na kama sijatatizwa walikuwa Shinyanga siku chache zilizopita na tunavyozungumza (kama bado haijabadilika) watakuwa kwenye mojawapo ya nchi za Afrika kujifunza kuhusu madini. Sijui kama ni Ghana, SA n.k

wameanza Tanzania
Wanaenda AFrica
na baadaye bila ya shaka nje ya bara letu.
 
Mkandara hakukuwa na haja ya kufungua thread nzima ya kujua eti Zitto yu wapi?..ungemtumia PM Mwanakjjj ingetosha...
 
Chuma,
Nimekusikia mkuu lakini jaribu kuingia ndani zaidi ya swali langu kwa sababu sii kwamba namtafuta Zitto alipo. Hoja yangu kubwa ni kufahamu kwa nini amekuwa kimya ktk maswala ya Ufisadi na mengine mengi ambayo yamekuwa yakitokea hivi karibuni... Pamoja na hayo nimewataja baadhi viongozi ambao nilitegemea wangekuwa mstari wa mbele ktk kuhoji serikali yetu lakini hadi leo nionavyo ni hao kina Dr. Slaa na Mrema..
Mbali na JF mkuu hujapata kujiuliza kama kweli viongozi wa nchi yetu wako serious na nchi yetu?....Sii kina Mwinyi, Warioba wala hao kina Chacha Wangwe yaani wapo tayari kuzungumzia ama kulaani maswala ya Kenya lakini inapofikia nchi yetu wenyewe wametuachia sisi JF...hakuna kiongozi hata mmoja aliye wazi na mkweli!... mtanisamehe lakini ndivyo nionavyo mimi.
Ebu tazama huyu jamaa Dr. Slaa anavyozidi kuhangaika na maswala haya hadi ktk Bongo celebrity jamaa anazidi kukiwasha tu.
Hizo safari za Zitto zinanikumbusha safari za JK kwani siku zote tumekuwa tukilalamika kuwa hayupo nyumbani na nionavyo mimi Zitto JF ni nyumbani kwake inabidi kila mara atupe mchango wake ktk hoja tofauti. Hawa ndio viongozi wetu wa kesho isije kuwa tunafikiria kuwa madini ndio sababu kubwa ya umaskini wetu. Zimbabwe ambao wakati fulani walikuwa taifa lenye uchumi mzuri sana kutokana na kilimo leo hii wako wapi baada ya kushindwa ktk kilimo.. wanahaha na kuyumba ovyo, trickle down imekufa kabisaaa.
 
Back
Top Bottom