Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Mchango wa Zitto si wakubeza hata kidogo, kwa sasa aachwe aingie ndani kwenye swala la madini ili akiibuka aibuke kitu chenye mshiko..hawezi aka anaingia JF kila siku ati kutu-brief..it doesn't work like that. Naamini Zitto kwa sasa yuko very busy na details za mining. E bwana Zitto usiache kum-consult bwan Tundu Antipas Lissu maana anauzoefu mkubwa na mambo ya kisheria katika mining sector
 
TzPride,
Sina haja ya briefing za madini labda hunielewi kuwa hapa JF ni nyumbani kwake anatakiwa kila mara kutoa mchango wake ktk maswala mengine tofauti nje ya madini kama hiyo ndiyo kazi yake...
Kifupi siamini kabisa kuwa Umaskini wetu utakwisha kwa sababu ya madini ila swala la madini nalitazama kama ni njia moja wapo hawa mafisadi wanapochota kama vile BoT, NBC na sehemu nyinginezo.
 
Jama, napenda kuuliza, members hawa wametowekea wapi? Kuna anayejua...


--Mchongoma
--KadaMpinzani
--Pangupakavu
--AmazingFriend
--
 
Jama, napenda kuuliza, members hawa wametowekea wapi? Kuna anayejua...


--Mchongoma
--KadaMpinzani
--Pangupakavu
--AmazingFriend
--

Kama wapo majuu huenda maboksi yamekuwa mengi na yamewazidi sana.
Nakumbuka tulishamuuliza Invisible kuhusu Kada (kwa kudhani kafungiwa jumla), akasema hajafungiwa. Huenda naye kilimo kimembana (kwa kuhisi ni mkulima)!
Mwenye taarifa zaidi tunahitaji tafadhali!
 
Ila Nahisi kadi amerudi kwa jina lingine,Kuna baadhi ya maneno yanatumiwa na member mmoja hapa na ukiangalia kwa makini utajua ni kada ttu..

Ila kada tumekukumbuka
 
Ila Nahisi kadi amerudi kwa jina lingine,Kuna baadhi ya maneno yanatumiwa na member mmoja hapa na ukiangalia kwa makini utajua ni kada ttu..

Ila kada tumekukumbuka

Gembe, inawezekana kabisa... ila napenda kukuhakikishia kuwa nami nimechunguza maneno fulani hivi na flow ya kada, bado nasita kujua kama mtu huyo ndiye yeye... ila speed yake ya kutype na kuwepo kwake mtandaoni kunafanana sana na kada...

ama kweli, saa nyingine hata kama mtu alikuwa ana kukera mara kadhaa, yale mazoea ya kuwepo kwake tu yakitoweka... yaani mtu una m-miss ile mbaya...
 
Gembe, inawezekana kabisa... ila napenda kukuhakikishia kuwa nami nimechunguza maneno fulani hivi na flow ya kada, bado nasita kujua kama mtu huyo ndiye yeye... ila speed yake ya kutype na kuwepo kwake mtandaoni kunafanana sana na kada...

ama kweli, saa nyingine hata kama mtu alikuwa ana kukera mara kadhaa, yale mazoea ya kuwepo kwake tu yakitoweka... yaani mtu una m-miss ile mbaya...

Of course hata mie nimemshitukia jamaa fulani hivi na kumhisi huenda akawa ni Kada. Hii ni kwa sababu mtu mwenye uanachama wa mwezi mmoja hawezi kuwa ameposti mambo mengi namna ile. Kumbuka ile ishu ya "Kada's Advocate". Huyu ndani ya wiki mbili ama tatu tayari alikuwa na posti zaidi ya 1000!
 
Jamani mugongomugongo je? Au kafungiwa?

Hapana, huyu yupo hapa kwa jina tofauti. Style ya mwandiko wake ndiyo ilinifanya nijue ni yeye. Mtu makini sana hivi sasa, character aliyoitumia kama mugongomugongo kaiacha, ila makali yake katika kuchambua bado yale yale.
 
Hapana, huyu yupo hapa kwa jina tofauti. Style ya mwandiko wake ndiyo ilinifanya nijue ni yeye. Mtu makini sana hivi sasa, character aliyoitumia kama mugongomugongo kaiacha, ila makali yake katika kuchambua bado yale yale.

Steve D,

Mgongowamgongo- tulimzoea bwana asibadili jina! Yeye ni kwa nini akabadili jina?

Je jina jipya ni lipi?
 
Steve D,

Mgongowamgongo- tulimzoea bwana asibadili jina! Yeye ni kwa nini akabadili jina?

Je jina jipya ni lipi?

Katika kuheshimu sheria za JF, siwezi kumtaja hapa, nitamstahi. Hata kama hivyo kama unahamu sana ya kumjua ni nani, nina tricks nyingi za kumgundua mtu... ukihitaji nitakupa moja (naweza ku charge fee lakini 🙂!!).

By the way, kuna Mugongomugongo na kuna mgongomgongo, sasa huyo uliyemtaja kama Mgongowamgongo, mimi kwa kweli simjui, sina uhakika kama ulimaanisha yule mugongomugongo aliye mtaja Judy.

SteveD.
 
Katika kuheshimu sheria za JF, siwezi kumtaja hapa, nitamstahi. Hata kama hivyo kama unahamu sana ya kumjua ni nani, nina tricks nyingi za kumgundua mtu... ukihitaji nitakupa moja (naweza ku charge fee lakini 🙂!!).

By the way, kuna Mugongomugongo na kuna mgongomgongo, sasa huyo uliyemtaja kama Mgongowamgongo, mimi kwa kweli simjui, sina uhakika kama ulimaanisha yule mugongomugongo aliye mtaja Judy.

SteveD.

Steve D,
Ni yule aliyemtaja Judy -yaani analysis yake imetulia sana- ingawaje alikuwa pro-CCM!

Mimi napenda tu kumuuliza- ni kwa nini mtu wa heshma namna ile akabadili jina! Kwa Mfano Nikisikia GT, Kichuguu, Steve D, N.k wamebadili majina- nitashtuka!

Je Mgongomgongo uko wapi rafiki?

Tunamis sana your contribution- Je unatumia jina gani siku hizi ndugu?
 
Jamani, na Jembajemba naye kawa adimu sana humu JF. Hivi ako wapi?
 
Kuna mmoja alikuwa Marekani kafariki mwezi huu, hizi habari nilizisoma hapa kwa kuchelewa sababu ya shughuli zangu kuwa nyingi. Mwenyezi Mungu amlaze pema, amin.
 
Kuna mmoja alikuwa Marekani kafariki mwezi huu, hizi habari nilizisoma hapa kwa kuchelewa sababu ya shughuli zangu kuwa nyingi. Mwenyezi Mungu amlaze pema, amin.


Yupi huyo?
 
Tabasamu, Kyoma na Tibwilitibwili mko wapi Wakuu??
 
Back
Top Bottom