Wana CCM naomba mhalalishe picha hizi

Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Siku akina mama wakiacha unafiki yaani wakaacha vitamaa vya vijisenti vikanga,t-shirt, kofia sisimu haitashika hatamu...
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

usitukane mamba kabla hujavuka mto
 
Rufiji,
Sina hakika kama unafahamu mazingira halisi ya Operation Sangara. Umstushwa na hii picha baadaya ya kuonyeshwa kwenye mtandao. Hata tungelizishikia bango zitafikaje vijijini? Ni dhahiri huna touch na reality ya vijijini! Ungelituuliza tunaofanya Operation Sangara tungelikupa picha kamili. Nenda Handeni hata dishi za Satelite (kuona TV) ziko katikati ya mji tu, tena nyumba za vigogo. Nenda kijiji chochote iwe Handeni au Kilindi ambapo hata simu ya kawaida ya Kigaganjani au haipo au lazima upande juu ya mti mrefu au mlima kupata mtandao. Magazeti yako Handeni mjini tu, tena ya siku ya baadaye. Hivyo, Operation Sangara katika vijiji vingi nchini, (siyo Tanga tu) ndiyo njia pekee ya kupeleka elimu kwa wananchi walio wengi. Ni bahatimbaya kila kinachosemwa kwenye Operation Sangara hakiwafikii ndugu zetu mlio mbali kwani waandishi wanaandika wanayopenda kuandika. Lakini ingelifaa siku mmoja kuwekewa live kila kinachowekwa katika hotuba za Operation Sangara ndipo muweze kuthamini operation Sangara na muweze kuelewa vizuri. Kwa mtu ambaye hayuko on the ground ni rahisi sana ku comment kama ilivyo kwa mtu anayetazama mpira wa miguu kutoka nje, na asiweze kuelewa mpiga penalty anashindwa kuingiza mpira kwenye goal!!! Tunahitaji kutafakari sana siyo tu hali ya elimu ya wananchi wetu lakini pia namna ya kufikisha elimu hiyo kwa wananchi wetu zaidi ya asilimia 80 wanaoishi vijijini. Isitoshe, ni vema kufahamu kuwa Tanzania ina vijiji zaidi ya 12,500 kabla ya ( uandikishaji uliofanyika kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa). Ni vema mtu makini akafikiria jinsi ilivyo ngumu kufikia vijiji hivyo katika muda mfupi. Hata ungelitembea bila kulala, bila kula unahitaji siku 12,500( ongeza na vijiji vilivyoongezeka). Mwaka mmoja una siku 365(6). Sasa fikiria unahitaji kusafiri miaka mingapi kufikia vijiji vyote. Rahisi kuwa critical, lakini ngumu sana kutoa "solution" sahihi kukomboa taifa hili.


Watu wapenda demokrasia ya kweli na mabadiliko wanapaswa kuendelea kuwaelimisha wananchi wengi ambao bado hawajapata uelewa na mwanga wa kutosha. Wengi wanahofia mabadiliko ya uongozi kutoka CCM kwenda chama cha upinzani bila hata kuwa na sababu za msingi. Utasikia wanasema:

"Tumeizoea CCM, hata kama ni mbaya",
"Wapinzani wataweza kutawala?",
"Na wenyewe si wataiba tu kama hawa waliopo?",
"Wanasiasa wote ni wezi tu",
"Wote wanatafuta ulaji tu, si maslahi ya walio wengi".

Haya yote ni majibu ya watu waliokata tamaa.

Wanahitaji kuondolewa kwenye kukata tamaa, na waelezwe kuwa wanaweza kuchukua hatua ambazo hatimaye zitaleta mabadiliko chanya kwenye maisha yao na manufaa chanya kwa nchi.

Waelimishaji wa demokrasia/elimu ya uraia wanaweza kuwa ni taasisi mbalimbali.
Serikali haipendi vyombo vingine isivyoweza kuvidhibiti na kuvielekeza nini cha kufanya/kusema viwaelimishe wananchi kuhusu suala zima la demokrasia na elimu ya uraia.
Taasisi huru ni muhimu sana ili kuelimisha watu kwa uhuru bila kuingliwa na Serikali.
Mifano: MNF, LHRC, LEAT...

Serikali inawajibika kwa wananchi wake, hivyo inapaswa kuulizwa maswali (magumu bila shaka!) kuhusiana na utendaji wa viongozi (wanasiasa na watendaji), hasa kuhusiana na vipaumbele katika suala la matumizi.

Hapa ndipo linapokuja suala la matumizi mabaya ya fedha za umma...

Ununuzi na ukarabati (kutokea kwenye msingi??) wa nyumba ya Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania halikuwa suala la kupewa kipaumbele.
Si tayari alikuwa akiishi kwenye nyumba nzuri tu?
Gharama iliyotajwa (nasisitiza ILIYOTAJWA) imezidi hata gharama za nyumba za Ben Bernanke ambaye ni Mwenyekiti wa Benki Kuu ya Marekani (Chairman of the US Federal Reserve), au Mervyn King, Gavana wa Benki Kuu ya Uingereza.

Wananchi wengi wanadhani kuwa hata wakipiga kura vipi, bado itatangazwa kuwa CCM imeshinda. Hii ndio maana ukiwauliza watu ambao hawaendi kupiga kura swali kuwa je kama wangepiga kura wangepiga vipi, wengi wangepigia kuleta mabadiliko (upinzani). Ila wanadhani kuwa hata wakipiga kura vipi, matokeo yanakuwa yameshapangwa.

Hivyo uhamasishaji ni muhimu sana.
Watu waelimishwe kuwa:
1. Ukipiga kura unaongeza uwezekano wa kuchaguliwa mgombea unayemtaka, na kupunguza uwezekano wa kuchagiliwa mgombea usiyemtaka.
2. Kupiga kura ni SIRI YAKO. Hakuna atakayejua umemchagua nani, labla useme wewe mwenyewe. Hivyo usimchague mgombea asiyefaa, hata awe amekupa rushwa ( ya pesa, pilau, vinywaji, nk). Kwanza hawezi kujua kama hukumpigia (Hili ni muhimu kulisema kwani bado wapo wengi tu wanaowaogopa viongozi).
3. Wananchi wakielimika na elimu ya demokrasia na uraia, watawatosa viongozi wachafu pamoja na viongozi wasiochukua hatua kwa viongozi wachafu. Hii itawashtua hata viongozi wapya watakaochaguliwa (kuwa nao wakiboronga tu, watapigwa chini next time).

Swali kwa Dr.,
Je mkimaliza ziara mkoa fulani mnaacha tasks kwa waliobaki (viongozi wa Chama mikoani na wilayani etc. kuendelea kuelimisha na kuhamasisha wanachama wa zamani, wanachama wapya mliopata, na wananchi kwa ujumla wake?

Kuhusu vijiji 12,500...
Mnaweza kugawana wewe ukaenda nusu ya mikoa na Mbowe nusu ya mikoa iliyobaki, mkaelimisha (pamoja na wengine) kisha mkaacha tasks huko. Mkifika kila wilaya itakuwa safi sana.
One of the solutions ni kuelimisha na kuhamasisha viongozi kwa kila ngazi (Mikoa/Wilaya/Tarafa/Kata/vijiji na Mitaa) kuhusu umuhimu wa kupiga kura ili kuleta mabadiliko. Viongozi hao nao waendelee hivyo hivyo.
Tahadhari ni kuwa msiwaachie viongozi VIGEUGEU (nadhani hapa inaeleweka) watoe statements kwa niaba ya Chama, la sivyo mtaumia.
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

Boss mbona unawarukia wakinamama wasio na hatia? Sasa ulitaka wabebe vitanda wapeleke hospitali ya Serikali Temeke?

Tatizo hapa ni kwamba, kama Serikali inaweza kutumia BILIONI kwa kumfurahisha FISADI MMOJA, ni kivipi washindwe kuwatumikia wananchi wao? Do you see the picture? Hivi hayo mawodi si yanafanana na mabanda ya kuku! Unaona jinsi Serikali inavyo mlinganisha mwananchi wake kama kuku!!! Please people these guys got to go.

Hawa akina mama hawana kosa, ni haki yao kwenda Hospitali ya Serikali, lakini Serikali ndio imewafanya vibaya hawa wanachi.
 
bnhai,
Thanks advice noted. As well as advice on Mabango noted. Niseme tu kwa yeyote anayetaka kuona ufanisi au tathmini ya operation Sangara atazame matokeo ya Uchaguzi mdogo wa Bussanda na Biharamulo. Kazi mmoja kubwa ya Operation Sangara ambayo pia haitangazwi ni kujenga mtandao wa chadema katika vijiji vingi. Mtandao unaozungumzia unaanzia kwenye Operation Sangara, na matokeo yake yameisha kuanza kuonekana. Najua utazungumzia kwanini matokeo hayakuwa mazuri wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, nadhani kama anayetaka atarejea maelezo yangu kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa atajua kwanini tulilalamika kuwa uchaguzi huo ulikuwa wa kihuni, na nilitoa sababau za kimsingi ambazo hadi leo Serikali imeshindwa kuzijibu pamoja na Mhe. Kombani kujaribu kujitetea. Ni kwa msingi huo watanzania wasipoamka na kulinda haki zao za msingi uhuni huo utajirudia. La msingi hapa ni performance ya Operation Sangara, ambayo sisi tunaoifahamu in and out tunaridhika sana, na matokeo yake tumeyaona. We only need to complete the 13 remaining regions before June. A political earthquake will be reckoned very soon. I hope Operation Zinduka of CUF will also add fuel and firewood to it.
You are definitely doing a commendable job in many fronts, kuanzia kwa Richmond, Buzwagi, n.k. Naomba uniweke sawa kidogo, ni kwa kiasi gani juhudi zenu za kuikomboa Tanzania zitafanikiwa kwa kuendelea kuwa na tume ya uchaguzi isiyo huru kama hii ambayo mwenyekiti wake ni mteuliwa wa Rais na ambae ni mwenyekiti wa CCM? Kuna juhudi zozote zinafanyika ili kuhakikisha kuwa kuna level ground katika general elections. Tafadhali nifahamishe unafikiri ni kwa kiasi gani ukosefu wa tume huru umeathiri chaguzi nyingi hapa nchini. Nasema hivi kwa sababu naona (correct me if am wrong) kuna very little efforts on your part kufanikisha hilo.
 
Rufiji,
Sina hakika kama unafahamu mazingira halisi ya Operation Sangara. Umstushwa na hii picha baadaya ya kuonyeshwa kwenye mtandao. Hata tungelizishikia bango zitafikaje vijijini? Ni dhahiri huna touch na reality ya vijijini! Ungelituuliza tunaofanya Operation Sangara tungelikupa picha kamili. Nenda Handeni hata dishi za Satelite (kuona TV) ziko katikati ya mji tu, tena nyumba za vigogo. Nenda kijiji chochote iwe Handeni au Kilindi ambapo hata simu ya kawaida ya Kigaganjani au haipo au lazima upande juu ya mti mrefu au mlima kupata mtandao. Magazeti yako Handeni mjini tu, tena ya siku ya baadaye. Hivyo, Operation Sangara katika vijiji vingi nchini, (siyo Tanga tu) ndiyo njia pekee ya kupeleka elimu kwa wananchi walio wengi. Ni bahatimbaya kila kinachosemwa kwenye Operation Sangara hakiwafikii ndugu zetu mlio mbali kwani waandishi wanaandika wanayopenda kuandika. Lakini ingelifaa siku mmoja kuwekewa live kila kinachowekwa katika hotuba za Operation Sangara ndipo muweze kuthamini operation Sangara na muweze kuelewa vizuri. Kwa mtu ambaye hayuko on the ground ni rahisi sana ku comment kama ilivyo kwa mtu anayetazama mpira wa miguu kutoka nje, na asiweze kuelewa mpiga penalty anashindwa kuingiza mpira kwenye goal!!! Tunahitaji kutafakari sana siyo tu hali ya elimu ya wananchi wetu lakini pia namna ya kufikisha elimu hiyo kwa wananchi wetu zaidi ya asilimia 80 wanaoishi vijijini. Isitoshe, ni vema kufahamu kuwa Tanzania ina vijiji zaidi ya 12,500 kabla ya ( uandikishaji uliofanyika kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa). Ni vema mtu makini akafikiria jinsi ilivyo ngumu kufikia vijiji hivyo katika muda mfupi. Hata ungelitembea bila kulala, bila kula unahitaji siku 12,500( ongeza na vijiji vilivyoongezeka). Mwaka mmoja una siku 365(6). Sasa fikiria unahitaji kusafiri miaka mingapi kufikia vijiji vyote. Rahisi kuwa critical, lakini ngumu sana kutoa "solution" sahihi kukomboa taifa hili.

Mhe. Dr Slaa kama shida ni namna ambavyo waandishi wa habari wanavyoripoti taarifa za operation sangara, au namna ambavyo watu wanafikishiwa ujumbe kuhusu upinzani, kwanini CHADEMA kama chama kisiwe na vyombo vyake vya habari kama ambavyo CCM imefanya. Nafikiri CCM imekuwa ikivitumia vema vyombo vyake vya habari katika kupotosha umma juu ya ukweli wa mambo mengi nchini, ikiwa ni pamoja na kuvichafua vyama vya upinzani, ukiwemo wewe mwenyewe na yeyote anayeikosoa serikali. Tunajua kwamba CHADEMA ina gazeti la Tanzania Daima, inawezekana halitoshi kupeleka habari sahihi kwa watu wote. Je si jambo jema kufikiria pia kuwa na Radio au TV ya CHADEMA? Ninafikiri vyombo vya habari vina nguvu kubwa sana ya kuiteka jamii, kuipotosha au kuipeleka katika mstari mnyoofu. Ni wakati mzuri sasa kwa CHADEMA kufikiria juu ya kuwa na TV yake, Radio yake plus magazeti yake ambavyo yumkini vinaweza kuwa na mchango mkubwa zaidi hata wakati wa kampeni. Fedha ambazo Ndesamburo ametumia kununua helikopta zingetosha kuanzisha kituo cha television, ambacho to me, kinaweza kuwa na impact kubwa kuliko hizo helikopta. Umefika wakati ambao sasa tunahitaji mabadiliko ya kweli, CHADEMA ndo chama pekee cha upinzani kinachoonekana kuwa na support kubwa ya wananchi. So we have trust on you, njooni na strategy zinazokubalika ili nasi tuwakubali.
 
Wazungu wakitutukana sisi Manyani tusilalamike!Hawaamini kuwa tunaweza kusort out hili tatizo!Tuko tayari kununua Phd fake,kuendesha FWD ,na corruption./ufidadi etc!

Hata wakinamama Wabunge ndio hovyo kabisa.Mwanamke ana moyo,lakini no body cares plight ya wanawake wenzao hapa.CCM inanunua magari zaidi ya 200!
Hizi pesa zinaweza kununua vitanda,hata kujenga maternity wards !
Shame on me,shame on you ,i am sick to death watu wanalia crocodile tears kwa kifo cha Kawawa!
Niko tayari kutoa machozi kwa hawa akina mama watanzania wenzetu ambao hawana
uwezo!

Lakini kura kwa CCM wanaopiga si hawahawa kina mama!!!tatizo ni wao wananchi wenyewe wakidanganywa kidogo tu kwa pipi wanapoteza haki yao kwa miaka 5 mimi wala simlaumu Gavana wala serikali ya kikwete nitajilaumu mwenyewe kwa kupoteza kula yangu tunatakiwa tuwe na utashi wa kufikiri na kuona mbali!uchaguzi huo unakuja na watayasahau yote hayo wanayoyapata na kutuchagulia viongozi wabovu!Elimu ni muhimu sana kwa watz!
 
Mzee Mwanakijiji, I agree with you that urgent action is required to tackle this problem of our wives and daughters experiencing these pathetic sufferings , whilst big shots wallow in opulence. The deaths of newly born babies and expectant mothers which have occured as a result of this crass negligence are enough to make those responsible unfit for re-election, come October 2010.


In my view BoT Governor displayed negligence by building a publicly-owned house in Dar es Salaam, Tanzania, irrespective of the fact that such expense could have been put to better use. BoT also appears to be operating without much guidence from an incompetent Wizara ya Fedha ? President's Office.

But the mafisadi who plundered the BoT EPA account took the loot for their personal use, possibly into Swiss banks. That they are spared and still attend Parliament sittings beats me. This country is going to the dogs.
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
.............................................[Snip]
Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

Sijui unafanya kazi gani! Sijui una umri gani! Sijui una kiwango gani cha elimu!, nk.

Najiuliza haya yote kwa kutoamini kwamba JF kuna mwanachama unayeweza kutoa maoni na ushauri wa kizembe kama huu.

Mara ya kwanza niliamini labda una kiji-dispensary ulichotegemea wazazi hawa wawe wateja wako.

Hapo Dar ni hospitali gani ya kulipia kwa pesa za kanga walizovaa ambayo unaweza kuwashauri waende? Unaamini kweli kwamba kuna hospitali ya private ambayo ni mkombozi wa akina mama hawa? Na hiyo ndo iwe sababu ya serikali 'kuacha' kuboresha huduma ktk hospitali zake!

Boss, hiyo ni akili ya mtu wa umri gani? Nauliza tena.
 
Mhe. Dr Slaa kama shida ni namna ambavyo waandishi wa habari wanavyoripoti taarifa za operation sangara, au namna ambavyo watu wanafikishiwa ujumbe kuhusu upinzani, kwanini CHADEMA kama chama kisiwe na vyombo vyake vya habari kama ambavyo CCM imefanya. Nafikiri CCM imekuwa ikivitumia vema vyombo vyake vya habari katika kupotosha umma juu ya ukweli wa mambo mengi nchini, ikiwa ni pamoja na kuvichafua vyama vya upinzani, ukiwemo wewe mwenyewe na yeyote anayeikosoa serikali. Tunajua kwamba CHADEMA ina gazeti la Tanzania Daima, inawezekana halitoshi kupeleka habari sahihi kwa watu wote. Je si jambo jema kufikiria pia kuwa na Radio au TV ya CHADEMA? Ninafikiri vyombo vya habari vina nguvu kubwa sana ya kuiteka jamii, kuipotosha au kuipeleka katika mstari mnyoofu. Ni wakati mzuri sasa kwa CHADEMA kufikiria juu ya kuwa na TV yake, Radio yake plus magazeti yake ambavyo yumkini vinaweza kuwa na mchango mkubwa zaidi hata wakati wa kampeni. Fedha ambazo Ndesamburo ametumia kununua helikopta zingetosha kuanzisha kituo cha television, ambacho to me, kinaweza kuwa na impact kubwa kuliko hizo helikopta. Umefika wakati ambao sasa tunahitaji mabadiliko ya kweli, CHADEMA ndo chama pekee cha upinzani kinachoonekana kuwa na support kubwa ya wananchi. So we have trust on you, njooni na strategy zinazokubalika ili nasi tuwakubali.


Mkuu baada ya maandiko yako nimelazimika kukuuliza kabla haya Slaa hajasema . Mkuu Vangi uko Tanzania ?
Wangapi wa TV vijijibi na wanazitumiaje hizo TV wakati hata mjini umeme hakuna ? MKuu CCM wananunua yale 200 leo unashangaa Chadema kuwa na helikopta unadhani bila hivyo wanawezaje ?
Una ushahidi kwamba Chadema wana gazeti ama lile ni gazeti na Mbowe kama mtu na si la Chama ?
Niweke sawa hapa mkuu tuendelee
 
..........Ila kweli akili za hawa viongozi mie naona hazipo sawa sawa, hebu fikiria hiyo nyumba ya gavana ilivyojengwa kwa mabilioni ya pesa, huku wamama hawana hata vitanda vya kulala hospital. Hivi hawa viongozi hawaoni au ndio dharau?
Serikali hii ya ajabu kweli nyumba ya gavana imejengwa na pesa ya serikali, lakini hospital wanasubiri msaada toka ughaibuni. Hii serikali ina pesa lakini pesa nyingi wanakula wenyewe.
 
Lakini kura kwa CCM wanaopiga si hawahawa kina mama!!!tatizo ni wao wananchi wenyewe wakidanganywa kidogo tu kwa pipi wanapoteza haki yao kwa miaka 5 mimi wala simlaumu Gavana wala serikali ya kikwete nitajilaumu mwenyewe kwa kupoteza kula yangu tunatakiwa tuwe na utashi wa kufikiri na kuona mbali!uchaguzi huo unakuja na watayasahau yote hayo wanayoyapata na kutuchagulia viongozi wabovu!Elimu ni muhimu sana kwa watz!

Tatizo haliwezi kuwa la hao wananchi hata siku moja. Wana ufahamu mdogo, sawa! lakini jiulize wewe mwenyewe ufahamu mzuri ulionao ni baada ya miaka mingapi ya kuelimishwa au kujielimisha. Kumbuka pia ulipewa nafasi ya kuelimishwa na kujielimisha.

Kwa wengi hakuna nafasi kama hiyo na hawajawahi kuipata.

Ukiendelea kuwalaumu wao ni sawa na propaganda za Wamarekani kusema utumwa ulifanikiwa kwa sababu ya makosa ya waafrika wenyewe. Wanasema hivyo wakati hawakubali kusema kwamba, Hitler alifanikiwa kuwaua Jews kwa makosa yao au uzembe wao.

Wanaohitajika ni wachache ili kuwaokoa walio wengi.
 
Mkuu baada ya maandiko yako nimelazimika kukuuliza kabla haya Slaa hajasema . Mkuu Vangi uko Tanzania ?
Wangapi wa TV vijijibi na wanazitumiaje hizo TV wakati hata mjini umeme hakuna ? MKuu CCM wananunua yale 200 leo unashangaa Chadema kuwa na helikopta unadhani bila hivyo wanawezaje ?
Una ushahidi kwamba Chadema wana gazeti ama lile ni gazeti na Mbowe kama mtu na si la Chama ?
Niweke sawa hapa mkuu tuendelee

Lunyungu, sijapendekeza TV tu bali radio na magazeti pia. Kuna vijiji ambavyo magari hayafiki lakini radio inasikika. TV inaweza kucover sehemu za mjini na radio ikasikika vijijini. Unajua watu wengi huko vijijini hawazipata habari sahihi za CHADEMA kwa kuwa vyombo vya habari vilivyo vingi ni vya kifisadi au wanaogopa kuiandika vibaya serikali au kuvisifia vyama vya upinzani kwa kuhofia kufungiwa biashara zao. Kwa hiyo iwapo chama kitakuwa na vyombo vyake vya habari, including hiyo TV kitakuwa na nafasi zaidi ya kunadi sera zake na hata kujulikana na wengi. Kwani umaarufu wa JK ulitoka wapi kama siyo kwenye vyombo vya habari mkuu?
 
Lunyungu, sijapendekeza TV tu bali radio na magazeti pia. Kuna vijiji ambavyo magari hayafiki lakini radio inasikika. TV inaweza kucover sehemu za mjini na radio ikasikika vijijini. Unajua watu wengi huko vijijini hawazipata habari sahihi za CHADEMA kwa kuwa vyombo vya habari vilivyo vingi ni vya kifisadi au wanaogopa kuiandika vibaya serikali au kuvisifia vyama vya upinzani kwa kuhofia kufungiwa biashara zao. Kwa hiyo iwapo chama kitakuwa na vyombo vyake vya habari, including hiyo TV kitakuwa na nafasi zaidi ya kunadi sera zake na hata kujulikana na wengi. Kwani umaarufu wa JK ulitoka wapi kama siyo kwenye vyombo vya habari mkuu?

Hivi uje taratibu wa Kufungua vyombo hivi Bongo uko Mkuu
 
Rufiji,
Sina hakika kama unafahamu mazingira halisi ya Operation Sangara. Umstushwa na hii picha baadaya ya kuonyeshwa kwenye mtandao. Hata tungelizishikia bango zitafikaje vijijini? Ni dhahiri huna touch na reality ya vijijini! Ungelituuliza tunaofanya Operation Sangara tungelikupa picha kamili. Nenda Handeni hata dishi za Satelite (kuona TV) ziko katikati ya mji tu, tena nyumba za vigogo. Nenda kijiji chochote iwe Handeni au Kilindi ambapo hata simu ya kawaida ya Kigaganjani au haipo au lazima upande juu ya mti mrefu au mlima kupata mtandao. Magazeti yako Handeni mjini tu, tena ya siku ya baadaye. Hivyo, Operation Sangara katika vijiji vingi nchini, (siyo Tanga tu) ndiyo njia pekee ya kupeleka elimu kwa wananchi walio wengi. Ni bahatimbaya kila kinachosemwa kwenye Operation Sangara hakiwafikii ndugu zetu mlio mbali kwani waandishi wanaandika wanayopenda kuandika. Lakini ingelifaa siku mmoja kuwekewa live kila kinachowekwa katika hotuba za Operation Sangara ndipo muweze kuthamini operation Sangara na muweze kuelewa vizuri. Kwa mtu ambaye hayuko on the ground ni rahisi sana ku comment kama ilivyo kwa mtu anayetazama mpira wa miguu kutoka nje, na asiweze kuelewa mpiga penalty anashindwa kuingiza mpira kwenye goal!!! Tunahitaji kutafakari sana siyo tu hali ya elimu ya wananchi wetu lakini pia namna ya kufikisha elimu hiyo kwa wananchi wetu zaidi ya asilimia 80 wanaoishi vijijini. Isitoshe, ni vema kufahamu kuwa Tanzania ina vijiji zaidi ya 12,500 kabla ya ( uandikishaji uliofanyika kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa). Ni vema mtu makini akafikiria jinsi ilivyo ngumu kufikia vijiji hivyo katika muda mfupi. Hata ungelitembea bila kulala, bila kula unahitaji siku 12,500( ongeza na vijiji vilivyoongezeka). Mwaka mmoja una siku 365(6). Sasa fikiria unahitaji kusafiri miaka mingapi kufikia vijiji vyote. Rahisi kuwa critical, lakini ngumu sana kutoa "solution" sahihi kukomboa taifa hili.

Mheshimiwa Dr. W. Slaa,

Awali ya yote, nianze kwa kukupongeza kwa kuchukua muda katika ratiba yako na kushiriki katika huu mjadala. Hii inaonyesha dhahiri ya kuwa umeguswa na ujumbe katika hizo picha; lakini zaidi, unachukizwa na uzandiki unaofanywa na serikali yetu kupitia chombo chake cha fedha.


Mheshimiwa, pia ningependa kukupongeza kwa maelezo yako yakinifu kuhusu Operesheni Sangara. Kusema ukweli , nilikuwa sijajua kwa undani haswa nini mnachojaribu ku-accomplish katika hii operesheni. Na kwa hili, naomba kuifuta ile kauli yangu niliyotoa hapo mwanzo . Lakini hata hivyo, bado napingana na jinsi upinzani wanavyoshindwa kuwa strategic katika upambanaji wao na CCM !


Mheshimiwa, ishu hii ya ujenzi wa mansion la Gavana ni ishu kubwa ambayo kama ikitumika vizuri inaweza kuwafungua macho wananchi na kuweza kuonyesha rangi halisi za CCM. Zaidi, Matumizi haya mabaya ya hela za umma yanaweza kuresonate kwa wanachi wote wa watanzania i.e mijini na vijijini , kama ukiweza kuwaelezea kinagaubaga UWIANO WA UMASIKINI WAO NA MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI.


Mimi naamini ya kuwa hakuna kitu kikubwa katika siasa kama TIMING. Kwenye siasa kama ilivyo katika michezo ni lazima ujue wakati wa kushambulia na wakati wa kuzuia( kudefend). Kitu ninachowalaumu wapinzani ni kuwa mara nyingi mnashindwa kuishambulia CCM mara muda unaporuhusu; na mbaya zaidi,mnakimbilia kutibu dalili za ugonjwa badala ya ugonjwa wenyewe. Wapinzani wengi wamekuwa wakilaumu BOT na Gavana na kuacha tatizo ambalo ni chama tawala na utawala mzima wa Rais Kikwete.


Mheshimiwa, kama kweli upinzani wants to be a force to be reckoned with then they must change the way they do things. Let me say it bluntly, to continue doing the same kind of thing over and over again and expecting different results is not only a recipe for insanity but also disasters.
 
Kitu ambacho mimi sikielewi ni hiki: hizi picha ni za siku nyingi kidogo (labda mwezi au miezi miwili iliyopita) na hii hali ni ya siku nyingi, let me say ni ya siku zote. Zilipobandikwa hapa kwa mara ya kwanza hakukuwa na reaction kama hii. Reaction iliyokuwepo ilikuwa subdued kidogo.

Sasa kwenye hii mada naona watu wengi wameonyesha 'outrage' kama vile ni hali mpya ambayo hawajawahi kuiona, kuisikia, au kuishuhudia au kama vile hizi picha ni mpya. Nashindwa kabisa kuelewa. Kwangu mimi hii hali si ngeni. Kama mtu umezaliwa na kukulia Tanzania hakuna cha ajabu kwenye hizo picha. Ndio hali halisi ya maisha ya kila siku.

Kwa nini hakuna consistent outrage. Mtaandika na kulalamika kwenye mtandao kwa siku mbili tatu halafi jiiiiiiiii. Kila mtu anasahau hadi atokee 'celebrity' mwingine kutoka majuu, ajilizelize ndio tukumbuke kuwa kuna tatizo mahala flani. Sielewi kabisa.

Seriously, nini kipya hapo kwenye hizo picha hadi watu muonyeshe mshangao mkubwa? Kuna mtu alibandika picha ya watoto wadogo wa shule ya msingi walikokuwa wamekaa chini ya mbuyu (wakiwa darasani?) na ni wachache walioonyesha outrage. Sijui kwa vile hakukuwa na celebrity wa kutoka majuu aliyekuwa amekaa nao.

Halafu mijitu mizima na akili zao inaambiwa italetewa maisha bora kwa kila Mtanzania na yenyewe bila haya na bila kuhoji kuwa hayo maisha bora yatatoka wapi inadandia tu trni kwa mbele. It makes me sick.
 
Kwa kweli hizi picha zinazungumza maneno mengi sana. Nashukuru kwa michango mbalimbali iliyotolewa ambayo kwa kiasi kikubwa kwamba tunahitaji mabadiliko. Hata hivyo, changamoto mbalimbali zimetolewa hususani kwa CHADEMA. Natambua maelezo ya Katibu Mkuu, Dr Slaa kuhusu Operesheni Sangara; natambua pia hoja mbalimbali zilizotolewa kuhusu namna ambavyo chama kinapaswa kujijenga na kusambaa hususani vijijini. Natambua pia mwito uliotolewa wa kutaka CHADEMA iwe na chombo cha habari. Niseme tu kwa ujumla mawazo mengi ni mazuri, changamoto kubwa inayotukabili ni rasimali; pamoja na kuwa niliwahi kuandika hapa;https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/48549-2010-pamoja-tunaweza.html kwamba katika siasa, kushinda vyama vya siasa jambo la kwanza kabisa ni wagombea, la pili ajenda/ujumbe na la tatu ni oganizesheni na la mwisho ndio rasilimali; bado kuna changamoto ya seed resources.

Mawazo mengi yanayotolewa ni mawazo ambayo hata chama kimeyaweka kwenye mipango yake; rejea: http://www.chadema.or.tz/mikakati/msingi.php lakini unahitajika ushirikiano wa watu wengi kufanikisha utekelezaji.

Lipo wazo la kwamba badala ya viongozi wote wakuu kwenda pamoja kwenye Sangara, wasambae maeneo tofauti tofauti ili kuweza kumaliza ujenzi wa chama mapema. Jambo hili hata ndani ya chama huwa linajitokeza mara kwa mara, lakini wazo ambalo linaungwa mkono na wengi ikiwemo maeneo ambayo tunayokwenda ni kwamba tunapokwenda kama timu kishindo cha ujenzi wa chama kisiasa kinakuwa kikubwa zaidi. Hivyo, naamini kwamba ni muhimu utaratibu huu uendelee; lakini ni kweli kuwa kuna changamoto ya muda kuwa mdogo kuelekea uchaguzi wa 2010. Hivyo, kuna wakati itabidi kugawanyika kwenda kumalizia viporo vitakavyokuwa vimebaki.

Lipo wazo pia badala ya kutegemea viongozi wa kitaifa kwenda kujenga chama maeneo mbalimbali, chama kiwezesha viongozi wa ngazi za chini yake mathalani mkoa, wilaya kwenda kujenga chama maeneo yao. Hili nalo ni suala lenye mjadala. Hapa napo kuna mitazamo miwili; wapo ambao wana mtazamo kwamba ni muhimu viongozi wakuu wazunguke kujenga chama kwa kuwa umma wa watanzania wanapenda kuwasikikia na kupitia kwao chama kinaweza kujijenga vizuri zaidi na kwamba ni lazima viongozi wakuu wa vyama kama sehemu ya viongozi wa umma kuwa karibu na wananchi ikiwemo kupitia ziara hizo. Sangara inachanganya mbinu zote mbili; kuna kuwa na viongozi wa kitaifa lakini pia kila tunapokwenda kwa kila timu inayokwenda kijijini panakuwa pia na viongozi wa mikoa ama wilaya husika. Hii ni kwa ajili ya kusaidia uendelevu(sustainability/continuity) baada ya timu za kitaifa kuondoka. Changamoto ni jinsi ya kuwa na mfumo thabiti zaidi wa ufuatiliaji na usimamizi. Ndio maana kama chama, tunaona kuwa suala la kuweka nguvu kwa viongozi wetu wa ngazi za chini na kuwajengea uwezo ni suala ambalo tunalikubali na linatekelezwa awamu kwa awamu.

Wazo la kuwa na chombo cha habari binafsi naliunga mkono, ila ni muhimu kwa angalizo la kwamba vyombo vya habari havifiki vijijini sana kuzingatiwa. Pengine ni muhimu kuanzia na redio kwa kuwa ina uwezo wa kufikia wengi zaidi. lakini naamini wengi mnajua vikwazo ambavyo vyama vya upinzani tunakabiliana navyo katika mazingira ya chama dola kuanzisha vyombo kama hivyo. Kwa mfano, wengine mtajiuliza inakuwaje mpaka sasa ule mtandao wa kujiunga na chama ama kuunga mkono harakati za kupambana na ufisadi na kutetea rasilimali za taifa unafanya kazi kwa wateja wa Zain na Voda pekee kwa kutuma neno CHADEMA kwenda 15710; lakini vipi kuhusu Tigo?

Kwa ujumla changamoto kubwa hapa ni rasilimali; imagine kabla ya uchaguzi CCM inaweza kuingia magari yenye thamani ya Bilioni zaidi ya 15(Milioni 15,000); sasa kwa chama kama CHADEMA kichapota ruzuku ya milioni kati ya 60 na 69 inaweza kutekeleza mikakati kwa kiasi gani? Viongozi wa chama wanastahili pongezi na wote wenye kuchangia muda wao, zana zao ama fedha kufanikisha harakati mpaka hapa tulipofikia.

Najua wengine wanaweza kutoa hoja kirahisi tu; kwamba kama hamuwezi kuwa na rasilimali za kutosha basi bado hamjawa tayari kuindoa CCM ambao ina uwezo mkubwa sana wa kirasimali.

Ni muhimu ikakumbukwa kwamba CCM ilipora mali zote za umma zilizokuwa chini ya chama kimoja baada ya mfumo wa vyama vingi na ndio vitegama uchumi wanavyovitetegemea(wanachofanya hivi sasa ni kubadili tu aina ya uwekezaji kwa kuingia ubia); CCM inapata kila mwezi Bilioni 2(Milioni 2000) toka kwa kodi za wananchi, CCM bado inafanya ufisadi katika kupata fedha zake kutoka vyanzo vingine vya umma, na CCM bado pia inashinikiza wafanyabiashara ikiwemo kupitia dola kukichangia(wafanyabiashara ambao wanatishwa wasichangie upinzani).

Hivyo, pamoja na hoja maridhawa ya kwamba ni lazima vyama vya upinzani viwe na vitega uchumi; hoja hii inahitaji muda mrefu na mwanzo wake lazima wananchi hususani wanachama wachangie katika mtaji ili hata kupata collateral za kutosha za kuongeza uwekezeji. Hivyo, suluhisho la muda mfupi, ni kwa wapenzi wa chama, wapenda mabadiliko na wanachama kuchangia michango midogo midogo kwa ajili ya kazi ya mabadiliko iliyoko mbele yetu mwaka 2010. Wakati wa kumuondoa Mkoloni TANU haikuwa na vitega uchumi vitu; vitega uchumi vyake vilikuwa ni watu wake. Hivyo, ombi langu kwenu; pamoja na michango mizuri mnayoitoa ya mawazo ambayo tunaichukua na kufanyia kazi; nawaomba mjitokeze kutuunga mkono kwa hali na mali. Kwa kufanya kati ya mambo tatu: mosi; kujitokeza kugombea kupitia CHADEMA ili tujenge mtandao wa pamoja mapema Pili; kuchangia chama ama wagombea wa chama kwa hali na mali Tatu; kuhamasisha wengine ambao hawana fursa ya kusoma ujumbe hapa; unaweza kujiwekea lengo la kutuunganisha na idadi fulani ya watu kwa malengo fulani. Kwa wanaotaka kuwasiliana na Dr Slaa wanaweza kumtumia ujumbe kupitia slaa@chadema.or.tz nami napatikana kupitia mnyika@chadema.or.tz ama mnyika@yahoo.com.

Ipo hoja moja ambayo imejitokeza mara kwa mara ya kwamba kila tunapokuwa kwenye operesheni tunazungumzia ufisadi tu; hatuzungumziaa sera mbadala. Ni kweli kwamba tunazungumza sana kuhusu kupambana na ufisadi na kutetea rasilamali za taifa; hii ni kwa sababu kwa hali ya taifa letu la sasa; hoja ya kuchochea uwajibikaji ni hoja kipaumbele kwa kuwa ina athari kwa sekta zingine zote. Hata kuwe na sera nzuri namna gani za uchumi, elimu, afya, kilimo nk kama rasilimali zitaendelea kupotea kwa ufisadi hazitafika mbali. lakini ifahamike kuwa katika hotuba zetu huwa tunazungumza sana kuhusu sera mbadala za CHADEMA katika sekta mbalimbali. Changamoto ni kwamba katika nchi yetu sasa, uandishi wa habari umejikita zaidi katika habari za migogoro(conflict journalism) na inaelekea hizo ndio habari ambazo zinauza zaidi kwenye soko la watanzania; hivyo, hata uzungumze sera kiasi gani kwa mwanahabari suala analoliona kipaumbele ni habari yenye sura anayoitaka. Na hoja nyingine inayotolewa ni kuwa sera ni zile zile; imagine tumekwenda operesheni Sangara Tanga; mimi mwenyewe nimefanya mikutano ya hadhara zaidi 20 kwenye kata na vijiji tofauti tofauti. Kama unaambatana na mwandishi wa habari na sera ni zile zile ambazo inabidi uzirudie kila eneo ili kila watanzania wapate ujumbe, ukishafika siku ya tatu, akishatoa coverage ya kisera, kwake inaonekana kwamba mambo yanajirudia; kwake anachoona kipya na kuandika ni ufisadi mpya unaibuliwa au kauli zinazozungumzia masuala current. Hata hivyo natambua kwambwa wapo waandishi ambao huandika makala za uchambuzi kuhusu masuala ya kisera ama ya kijamii yanayoibuliwa katika ziara hizo mathalani: http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=11769

Samahanini, Nimetoka kidogo nje ya mjadala kuhusu Nyumba ya Gavana ya Anasa Vs Hali Mbovu Hospitali zetu za Umma; ni kutokana na wachangiaji kutoa hoja zinazotaka ufafanuzi toka kwa viongozi wa CHADEMA.

Nawatakia mjadala mwema

JJ
 
Kwa kweli hizi picha zinazungumza maneno mengi sana. Nashukuru kwa michango mbalimbali iliyotolewa ambayo kwa kiasi kikubwa kwamba tunahitaji mabadiliko. Hata hivyo, changamoto mbalimbali zimetolewa hususani kwa CHADEMA. Natambua maelezo ya Katibu Mkuu, Dr Slaa kuhusu Operesheni Sangara; natambua pia hoja mbalimbali zilizotolewa kuhusu namna ambavyo chama kinapaswa kujijenga na kusambaa hususani vijijini. Natambua pia mwito uliotolewa wa kutaka CHADEMA iwe na chombo cha habari. Niseme tu kwa ujumla mawazo mengi ni mazuri, changamoto kubwa inayotukabili ni rasimali; pamoja na kuwa niliwahi kuandika hapa;https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/48549-2010-pamoja-tunaweza.html kwamba katika siasa, kushinda vyama vya siasa jambo la kwanza kabisa ni wagombea, la pili ajenda/ujumbe na la tatu ni oganizesheni na la mwisho ndio rasilimali; bado kuna changamoto ya seed resources.

Mawazo mengi yanayotolewa ni mawazo ambayo hata chama kimeyaweka kwenye mipango yake; rejea: http://www.chadema.or.tz/mikakati/msingi.php lakini unahitajika ushirikiano wa watu wengi kufanikisha utekelezaji.

Lipo wazo la kwamba badala ya viongozi wote wakuu kwenda pamoja kwenye Sangara, wasambae maeneo tofauti tofauti ili kuweza kumaliza ujenzi wa chama mapema. Jambo hili hata ndani ya chama huwa linajitokeza mara kwa mara, lakini wazo ambalo linaungwa mkono na wengi ikiwemo maeneo ambayo tunayokwenda ni kwamba tunapokwenda kama timu kishindo cha ujenzi wa chama kisiasa kinakuwa kikubwa zaidi. Hivyo, naamini kwamba ni muhimu utaratibu huu uendelee; lakini ni kweli kuwa kuna changamoto ya muda kuwa mdogo kuelekea uchaguzi wa 2010. Hivyo, kuna wakati itabidi kugawanyika kwenda kumalizia viporo vitakavyokuwa vimebaki.

Lipo wazo pia badala ya kutegemea viongozi wa kitaifa kwenda kujenga chama maeneo mbalimbali, chama kiwezesha viongozi wa ngazi za chini yake mathalani mkoa, wilaya kwenda kujenga chama maeneo yao. Hili nalo ni suala lenye mjadala. Hapa napo kuna mitazamo miwili; wapo ambao wana mtazamo kwamba ni muhimu viongozi wakuu wazunguke kujenga chama kwa kuwa umma wa watanzania wanapenda kuwasikikia na kupitia kwao chama kinaweza kujijenga vizuri zaidi na kwamba ni lazima viongozi wakuu wa vyama kama sehemu ya viongozi wa umma kuwa karibu na wananchi ikiwemo kupitia ziara hizo. Sangara inachanganya mbinu zote mbili; kuna kuwa na viongozi wa kitaifa lakini pia kila tunapokwenda kwa kila timu inayokwenda kijijini panakuwa pia na viongozi wa mikoa ama wilaya husika. Hii ni kwa ajili ya kusaidia uendelevu(sustainability/continuity) baada ya timu za kitaifa kuondoka. Changamoto ni jinsi ya kuwa na mfumo thabiti zaidi wa ufuatiliaji na usimamizi. Ndio maana kama chama, tunaona kuwa suala la kuweka nguvu kwa viongozi wetu wa ngazi za chini na kuwajengea uwezo ni suala ambalo tunalikubali na linatekelezwa awamu kwa awamu.

Wazo la kuwa na chombo cha habari binafsi naliunga mkono, ila ni muhimu kwa angalizo la kwamba vyombo vya habari havifiki vijijini sana kuzingatiwa. Pengine ni muhimu kuanzia na redio kwa kuwa ina uwezo wa kufikia wengi zaidi. lakini naamini wengi mnajua vikwazo ambavyo vyama vya upinzani tunakabiliana navyo katika mazingira ya chama dola kuanzisha vyombo kama hivyo. Kwa mfano, wengine mtajiuliza inakuwaje mpaka sasa ule mtandao wa kujiunga na chama ama kuunga mkono harakati za kupambana na ufisadi na kutetea rasilimali za taifa unafanya kazi kwa wateja wa Zain na Voda pekee kwa kutuma neno CHADEMA kwenda 15710; lakini vipi kuhusu Tigo?

Kwa ujumla changamoto kubwa hapa ni rasilimali; imagine kabla ya uchaguzi CCM inaweza kuingia magari yenye thamani ya Bilioni zaidi ya 15(Milioni 15,000); sasa kwa chama kama CHADEMA kichapota ruzuku ya milioni kati ya 60 na 69 inaweza kutekeleza mikakati kwa kiasi gani? Viongozi wa chama wanastahili pongezi na wote wenye kuchangia muda wao, zana zao ama fedha kufanikisha harakati mpaka hapa tulipofikia.

Najua wengine wanaweza kutoa hoja kirahisi tu; kwamba kama hamuwezi kuwa na rasilimali za kutosha basi bado hamjawa tayari kuindoa CCM ambao ina uwezo mkubwa sana wa kirasimali.

Ni muhimu ikakumbukwa kwamba CCM ilipora mali zote za umma zilizokuwa chini ya chama kimoja baada ya mfumo wa vyama vingi na ndio vitegama uchumi wanavyovitetegemea(wanachofanya hivi sasa ni kubadili tu aina ya uwekezaji kwa kuingia ubia); CCM inapata kila mwezi Bilioni 2(Milioni 2000) toka kwa kodi za wananchi, CCM bado inafanya ufisadi katika kupata fedha zake kutoka vyanzo vingine vya umma, na CCM bado pia inashinikiza wafanyabiashara ikiwemo kupitia dola kukichangia(wafanyabiashara ambao wanatishwa wasichangie upinzani).

Hivyo, pamoja na hoja maridhawa ya kwamba ni lazima vyama vya upinzani viwe na vitega uchumi; hoja hii inahitaji muda mrefu na mwanzo wake lazima wananchi hususani wanachama wachangie katika mtaji ili hata kupata collateral za kutosha za kuongeza uwekezeji. Hivyo, suluhisho la muda mfupi, ni kwa wapenzi wa chama, wapenda mabadiliko na wanachama kuchangia michango midogo midogo kwa ajili ya kazi ya mabadiliko iliyoko mbele yetu mwaka 2010. Wakati wa kumuondoa Mkoloni TANU haikuwa na vitega uchumi vitu; vitega uchumi vyake vilikuwa ni watu wake. Hivyo, ombi langu kwenu; pamoja na michango mizuri mnayoitoa ya mawazo ambayo tunaichukua na kufanyia kazi; nawaomba mjitokeze kutuunga mkono kwa hali na mali. Kwa kufanya kati ya mambo tatu: mosi; kujitokeza kugombea kupitia CHADEMA ili tujenge mtandao wa pamoja mapema Pili; kuchangia chama ama wagombea wa chama kwa hali na mali Tatu; kuhamasisha wengine ambao hawana fursa ya kusoma ujumbe hapa; unaweza kujiwekea lengo la kutuunganisha na idadi fulani ya watu kwa malengo fulani. Kwa wanaotaka kuwasiliana na Dr Slaa wanaweza kumtumia ujumbe kupitia slaa@chadema.or.tz nami napatikana kupitia mnyika@chadema.or.tz ama mnyika@yahoo.com.

Ipo hoja moja ambayo imejitokeza mara kwa mara ya kwamba kila tunapokuwa kwenye operesheni tunazungumzia ufisadi tu; hatuzungumziaa sera mbadala. Ni kweli kwamba tunazungumza sana kuhusu kupambana na ufisadi na kutetea rasilamali za taifa; hii ni kwa sababu kwa hali ya taifa letu la sasa; hoja ya kuchochea uwajibikaji ni hoja kipaumbele kwa kuwa ina athari kwa sekta zingine zote. Hata kuwe na sera nzuri namna gani za uchumi, elimu, afya, kilimo nk kama rasilimali zitaendelea kupotea kwa ufisadi hazitafika mbali. lakini ifahamike kuwa katika hotuba zetu huwa tunazungumza sana kuhusu sera mbadala za CHADEMA katika sekta mbalimbali. Changamoto ni kwamba katika nchi yetu sasa, uandishi wa habari umejikita zaidi katika habari za migogoro(conflict journalism) na inaelekea hizo ndio habari ambazo zinauza zaidi kwenye soko la watanzania; hivyo, hata uzungumze sera kiasi gani kwa mwanahabari suala analoliona kipaumbele ni habari yenye sura anayoitaka. Na hoja nyingine inayotolewa ni kuwa sera ni zile zile; imagine tumekwenda operesheni Sangara Tanga; mimi mwenyewe nimefanya mikutano ya hadhara zaidi 20 kwenye kata na vijiji tofauti tofauti. Kama unaambatana na mwandishi wa habari na sera ni zile zile ambazo inabidi uzirudie kila eneo ili kila watanzania wapate ujumbe, ukishafika siku ya tatu, akishatoa coverage ya kisera, kwake inaonekana kwamba mambo yanajirudia; kwake anachoona kipya na kuandika ni ufisadi mpya unaibuliwa au kauli zinazozungumzia masuala current. Hata hivyo natambua kwambwa wapo waandishi ambao huandika makala za uchambuzi kuhusu masuala ya kisera ama ya kijamii yanayoibuliwa katika ziara hizo mathalani: http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=11769

Samahanini, Nimetoka kidogo nje ya mjadala kuhusu Nyumba ya Gavana ya Anasa Vs Hali Mbovu Hospitali zetu za Umma; ni kutokana na wachangiaji kutoa hoja zinazotaka ufafanuzi toka kwa viongozi wa CHADEMA.

Nawatakia mjadala mwema

JJ

Asante Mnyika, Hili ni kweli kabisa wengine even kufilisiwa kibiashara au kutishiwa maisha yao na familia zao.bnhai na wengine sidhani kama chadema hawawezi kudelegate hizi kazi vijijini na maeneo mengine ya mbali, bali tatizo ni rasilimali.

Na wakiomba msaada wakiupata kwa mfanyabiashara huyo mtu anaandamwa ile mbaya. Muulizeni Bakhressa yalimkuta nini ikabidi abadili direction kwani aliitwa hadi gaidi kisa alikuwa anawasaidia (sio kuwasupport) chama fulani cha upinzani
 
Rufiji,
Sina hakika kama unafahamu mazingira halisi ya Operation Sangara. Umstushwa na hii picha baadaya ya kuonyeshwa kwenye mtandao. Hata tungelizishikia bango zitafikaje vijijini? Ni dhahiri huna touch na reality ya vijijini! Ungelituuliza tunaofanya Operation Sangara tungelikupa picha kamili. Nenda Handeni hata dishi za Satelite (kuona TV) ziko katikati ya mji tu, tena nyumba za vigogo. Nenda kijiji chochote iwe Handeni au Kilindi ambapo hata simu ya kawaida ya Kigaganjani au haipo au lazima upande juu ya mti mrefu au mlima kupata mtandao. Magazeti yako Handeni mjini tu, tena ya siku ya baadaye. Hivyo, Operation Sangara katika vijiji vingi nchini, (siyo Tanga tu) ndiyo njia pekee ya kupeleka elimu kwa wananchi walio wengi. Ni bahatimbaya kila kinachosemwa kwenye Operation Sangara hakiwafikii ndugu zetu mlio mbali kwani waandishi wanaandika wanayopenda kuandika. Lakini ingelifaa siku mmoja kuwekewa live kila kinachowekwa katika hotuba za Operation Sangara ndipo muweze kuthamini operation Sangara na muweze kuelewa vizuri. Kwa mtu ambaye hayuko on the ground ni rahisi sana ku comment kama ilivyo kwa mtu anayetazama mpira wa miguu kutoka nje, na asiweze kuelewa mpiga penalty anashindwa kuingiza mpira kwenye goal!!! Tunahitaji kutafakari sana siyo tu hali ya elimu ya wananchi wetu lakini pia namna ya kufikisha elimu hiyo kwa wananchi wetu zaidi ya asilimia 80 wanaoishi vijijini. Isitoshe, ni vema kufahamu kuwa Tanzania ina vijiji zaidi ya 12,500 kabla ya ( uandikishaji uliofanyika kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa). Ni vema mtu makini akafikiria jinsi ilivyo ngumu kufikia vijiji hivyo katika muda mfupi. Hata ungelitembea bila kulala, bila kula unahitaji siku 12,500( ongeza na vijiji vilivyoongezeka). Mwaka mmoja una siku 365(6). Sasa fikiria unahitaji kusafiri miaka mingapi kufikia vijiji vyote. Rahisi kuwa critical, lakini ngumu sana kutoa "solution" sahihi kukomboa taifa hili.

Mh Dr. Slaa,

Vipi suala la kuwa na Redio yenu......je hamuonikuw aredio itakuw ani njia moja muhimu sana kuafikishia wananchi ujumbe........pamoja na hilo hongereni sana na juhudi zenu za " Op....Sangara"
 
Back
Top Bottom