Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Serikali ya CCM chini ya Rais Kikwete ambaye anatarajiwa kuwa mgombea wa CCM mwaka huu imehalalisha na kukubali matumizi ya karibu shilingi bilioni 3 kujenga upya nyumba mbili kwa ajili ya maisha ya kifahari ya Gavana wa Benki kuu na manaibu wake. Wamefanya hivyo kwa sababu mikataba ya hawa watumishi inawataka wapatiwe vitu hivyo vinginevyo wangegoma kufanya kazi BoT. Mastahili ya hayo yanazidi yale ya Magavana wa Benki kuu za Uingereza na Marekani!
Hizi ni picha zilizochukuliwa katika wodi ya kina mama waliojifungua wakiwa wanapumzika pale Hospitali ya Temeke. Ni hali ndiyo ilimfanya mwanamapambo Naomi Campbell..
SWALI: NANI ANASTAHILI ZAIDI KATI YA GAVANA WA BENKI KUU ILIYOGUBIKWA NA UFISADI ULIOKUBUHU NA KINA MAMA HAWA NA WACHANGA WAO?
Hizi ni picha zilizochukuliwa katika wodi ya kina mama waliojifungua wakiwa wanapumzika pale Hospitali ya Temeke. Ni hali ndiyo ilimfanya mwanamapambo Naomi Campbell..
SWALI: NANI ANASTAHILI ZAIDI KATI YA GAVANA WA BENKI KUU ILIYOGUBIKWA NA UFISADI ULIOKUBUHU NA KINA MAMA HAWA NA WACHANGA WAO?