Wana CCM naomba mhalalishe picha hizi

Tanzania inasikitisha sana. CCM wamelewa madaraka na wanajiona kwamba Tanzania ni mali yao na wala si mali ya watanzania.

Dawa ni kuwaondoa madarakani ili waelewe kwamba Tanzania si yao pekee yao bali ni WATANZANIA WOTE.

uCHAFU
 
hii ni tanzania
Nakushukuru sana Freeland kwa kuifukua hii thread. Najua wakati huo tayari nilikuwa mwanachama wa JF lakini nashangaa kwa nini sikuweza sikuipitia hii thread. Hata hivyo nashukuru sana tena sana kwa kuniwezesha kumfahamu The Boss ni mtu wa namna gani, duh! Kweli hujafa hujaumbika...michango yake humu imeweza kunisahaulisha hata mada yenyewe ilikuwa inahusu nini, kweli hii ni Tanzania.

Cry Tanzania. Those trained to help the country are now in the forefront to vandalize the little revenue and savings we have.
  1. The president and his cabinet, are in perpetual trips abroad. Flying first/business class, staying in the lavish 4/5 star hotels for weeks, acumulating for themselves thousands of per diems, all paid by the TZ coffers. Shameless?? With the availability of fast speed internet in Tanzania and embassies all over the world, can't these people stay at home and carry out their duties from their offices and save the country's resources?
  2. The JK government is full of luxurious vehicles which are mainly used in private business. Why not have a controlled Car Pool that is shared by everyone whenever needed including the honorable ministers?
  3. Those who are paid super salaries by the same government that can not pay the teachers, are also remunerated heavily with posh cars, houses, maids e.t.c.? Why? .......Did they compete for these jobs?
  4. If these positions needs to be superbly remunerated in order to get and keep the best and the brightest, why then not advertise the job so that the best can compete and work responsibly?
Wana CCM amkeni, JK na watu wake wanaimaliza nchi.


Ili tuendelee, sasa tunahitaji vitu vitatu;
  1. JK aondoke madarakani ASAP
  2. JK aondoke madarakani ASAP
  3. JK aondoke madarakani ASAP
Ingawa tumefika mwaka 2015 na Kikwete hakuweza kuondoka madarakani, sasa kuna matumaini, CCM inaweza ikaondoka.
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

Wewe ni ndorobo kabisa!!

Sasa kwanini wasifaidi kodi wanazolipwa wakikimbizwa mitaani na policcm???

Wewe ni bogas hujielewi hutambui mabadiliko unatambua malimbizizo ya magavana na maamuzi yasiyoona mbele!?

Pia c wapo ndugu zao wanalipa hizo kodi ili ifanyike maendeleo??

Kwanini wasisome bure, pengine ww umesoma na mkopo ama bure na hujarejesha mpaka sasa. Unatambua ni mikopo mingapi Tanzania chini ya ccm imepokea kwa ajili ya afya na imefisadiwa??

Tafakari chukua hatua. Toroka uje ukawa, Chagua Lowassa a + positive reasoning and decisive president
 
Katika marais wote waliopita TZ hakuna kama JK kwa ufujaji, kutojali maisha halisi ya Mtanzania, kujipenda, mbwebwe na damn outright imbecility.
 
Hawa kina mama wengi wanapenda ccm sjui tatoz ni nn?

Mgao wa kanga/vitenge,tisheti na kofia kila baada ya miaka mitano.poleni baadhi ya akina mama mtaendelea kupumbazwa hadi lini.nasema fungukeni sasa.saa ya ukombozi ni sasa.chagueni UKAWA chagueni LOWASA.
 
Serikali ya CCM chini ya Rais Kikwete ambaye anatarajiwa kuwa mgombea wa CCM mwaka huu imehalalisha na kukubali matumizi ya karibu shilingi bilioni 3 kujenga upya nyumba mbili kwa ajili ya maisha ya kifahari ya Gavana wa Benki kuu na manaibu wake. Wamefanya hivyo kwa sababu mikataba ya hawa watumishi inawataka wapatiwe vitu hivyo vinginevyo wangegoma kufanya kazi BoT. Mastahili ya hayo yanazidi yale ya Magavana wa Benki kuu za Uingereza na Marekani!

i1386_bothousegate.jpg


i1387_bothouse.jpg


Hizi ni picha zilizochukuliwa katika wodi ya kina mama waliojifungua wakiwa wanapumzika pale Hospitali ya Temeke. Ni hali ndiyo ilimfanya mwanamapambo Naomi Campbell..

Temeke+Hostital


Halafu utackia CCM mbele kwa mbele, ptuu​
 
Tatizo letu watanzania ni Upumbafu na Ulofa Kama alivyosema Mkapa, Hao akina mama pamoja na kudhalilishwa kote huko ndio utawakuta wanawapigia Kura CCM, kisa wamepewa doti ya kanga jemeni !!!! Na wanaume wamepewa kapelo na shs 5000. Tuamke jamani hii ni Karne nyingine, TANU ilipokea uhuru ikafa, CCM ikajipongeza kwa kazi ya TANU a ha ife, UKAWA lete Tanzania mpya. Hivi nyinyi hata aibu hamna mnazunguka nchi yote kwa miaka 54 kutoa ahadi zile zile !!!! Hamsemi kwanini hamjatekeleza !! Jibu ni Uongozi usio na maono, sasa si mpumzike muwaachie wengine watupeleke kwenye nchi mpya !!!
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

Wewe kweli ni mpumbavu, Kima , mnafiki mkubwa , unatumia makalio kufikiri, maalun mkubwa wewe
 
Ingawa tumefika mwaka 2015 na Kikwete hakuweza kuondoka madarakani, sasa kuna matumaini, CCM inaweza ikaondoka.

Mag3,
Kwa bahati mbaya utabiri haukutimia. Lakini uzoefu umeonyesha kuwa, tatizo lilikuwa ni JK na baadhi ya washikaji zake na sio CCM. Magufuli ni kinyume kabisa cha JK, yeye ni mchapa kazi na muadilifu kuliko JK na Lowassa.

Tumchague Magufuli na kuikomboa nchi.
 
mbona picha ya daraja la kigamboni haipo
mbona picha za barabara toka dar mtwara dar bukoba hazipo
mbona picha za vyuo vikuu hazipo
mbona hujaweka picha ya maboresho ya hospitali ya muhimbili
sijaona pichaza vivuko vilivyofunguliwa na jk
yale maabara ya shuleza kata yapo wapi
mbona picha mambo mengi tu umeziacha
 
Back
Top Bottom