Wana CCM naomba mhalalishe picha hizi

Wana CCM naomba mhalalishe picha hizi

Napenda kumwomba anayejiita Boss achukue time out kidogo kwani kadiri anavyoendelea kutoa ufafanuzi kwa kile alichoandika mwanzo ndivyo anavyozidi kudhihirisha ulimbukeni wake. Eti anashangaa kwa nini hawa kina mama wanaenda kujifungulia kwenye hospitali za serikali wakati za binafsi zipo. Sijui umri wake wala kisomo chake lakini hili dai lake ni dhihaka na tusi kwa wananchi wote kwa ujumla wao linaloweza kutolewa tu na chizi, ndio nasema chizi. Je, kulingana na kichwa cha hii thread, anahalalisha hali hii kwa sababu haoni umuhimu wowote wa sekta ya afya kuimarishwa badala ya nyumba ya Gavana. Je, kwa nini angependa kuona hao watu anaodai wana uwezo wakienda kutibiwa katika hospitali za binafsi hadi awatukane na kuwakejeli kwa kwenda Muhimbili. Je, anawaambiaje na hao watoto wanaokaa sakafuni au juu ya matofali bila madawati, na wao waende shule za international za binafsi. Kwa mtindo huo si ajabu akawashangaa wanaolala njaa kwa kukosa chakula majumbani na huku hoteli zipo.
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

kwa kweli mimi huwa ni mvumilivu sana lakini kwa upumbavu kama huu naweza kujikuta natukana.

sorry, hivi huyu anatafakari kwa kutumia miguu au kiuno, aaaaaahkk............ shit!!!!!!!!!
 
Nyongeza tu.....

maendeleo.jpg

ningekuwa the boss hapo ningesema fm akademia si zipo kwanini uwapeleke watoto huku?

Tanzania bila serekali inawezaka
 
Unajua sisi wa tz tunakaudhaifu kakuchanganywa kidogo unajikuta umesahau mambo yote yaliyopita,

mfano hilo lijamaa limeleta mawazo yake mfu sasa watu woote wanamjadili yeye badala ya hao wafujaji.
Kumbukeni hoja nyingi zinazo ibuliwa zinaisha bila majibu tena nadhani ni kamtindo kapo kama hoja imekaa vibaya mnaibuliwa issue engine mnajikuta inshu za muhimu zinasahaulika
.

Mfano: matatizo ya reli, rushwa, pesa za desi, epa, richmond, rostam, loliondo mbuga zetu, pembe za ndovu zilizo kamatwa china. Na kadhalika. Tunasahau haraka na kutoka nje ya mada
Turudi kundini tumkome nyani.
 
Hii topic ni muhimu lakini mtiririko wake umeharibiwa na Tha Boss. Mkuu Tha Boss unaweza kufuta posts zako ili topic ijadiliwe vizuri, halafu wewe kaanzishe ya kwako ambayo utaweza kucontrol huo wazimu wako.

Mkuu Mwanakijiji sababu umeanzisha hii topic nzuri ebu ongea na Invisible, posts za Tha Boss zitoke ili topic hii ijadiliwe vizuri labda mkuu wetu Jk anaweza kupata mawazo mazuri ya kusaidia wananchi wetu.
 
Swala lisiwe kipato Europe yaani dunia ya kwanza ni matajiri wa kutupwa ukilinganisha na sisi WTZ mbona hawalipi kwenda kwenye hospitali zao? Serikali zao zimebeba jukumu la kutoa hiyo huduma kwa kukusanya kodi ndivyo ilivyo kwa serikali ya Tanzania.

Kama hawawezi kufanya hivyo wawaeleze walipa kodi kwamba hiyo kazi imewashinda.

Utaona mifano mingi kua jinsi serikali inavyozidi kua tajiri na ndipo huduma za bure zinaongezeka na kodi za kukamua raia zinapunguzwa. Hivyo ni wazi Ulaya ni rahisi kutoa huduma bure kuliko TZ.
 
Ukiangalia fixtures chache zinazoonekana ndani ya hospitali (pichani) pia na hali ya sakafu na kuta, inaridhisha kabisa. Ikonyesha kua ingalao kuna mtu wa serikali ya CCM anajali. CCM kwa ujumla ni failure lakini hapo hospitali ingawa hali ya msongamano si nzuri lakini inakubalika kabisa.
Nafurahi kua wengi wa watoa hoja wamelaani msongamano wa akina mama lakini kila mmoja anaridhika kua matibabu ni bora, kitu ambacho ndio muhimu.
Hao wazazi kwenye picha wanahali nzuri kabisa na wanaonekana wakiwa na furaha.
 
kwa kweli mimi huwa ni mvumilivu sana lakini kwa upumbavu kama huu naweza kujikuta natukana.

sorry, hivi huyu anatafakari kwa kutumia miguu au kiuno, aaaaaahkk............ shit!!!!!!!!!

Na wewe acha upumbafu huo wa akili iliyodumaa, unafikiri kama sio kina mama hao sisiemu ingelikuwepo? kwa ujinga wao waacheni wapate haki yao kwani walishahongwa kanga wakati wa chaguzi zilizopita, nani kasema wazae kama panya halafu eti serikali ibebe mzigo wao?.........shit!!!!!!!!!!!
 
Mwanakijiji katoa picha za Hao kinamama kama mfano mmoja ila zipo nyingi za kulinganisha na hayo majumba kuona kipaumbele kiwekwe wapi.
Alipokosea mwanakijiji ni kupeleka swali hilo kwa serikali ya CCM. Hao walishaona siku nyingi matatizo wanayopata kinamama,watoto wanafunzi nk, maana hata vyanzo vya taarifa wanavyo vingi sana, ila wao tayari walishaweka vipaumbele vyao tayari na majibu sio lazima kwa kauli tuu, hata vitendo vinatoa majibu.
SWALI HILI ANGELIPELEKA KWETU NA HAO KINA MAMA NA WATZ WOTE. JEE KWANINI TUNAWAWEKA MADARAKANI WATU WENYE VIPAUMBELE KAMA HIVYO?
 
Wazungu wakitutukana sisi Manyani tusilalamike!Hawaamini kuwa tunaweza kusort out hili tatizo!Tuko tayari kununua Phd fake,kuendesha FWD ,na corruption./ufidadi etc!

Hata wakinamama Wabunge ndio hovyo kabisa.Mwanamke ana moyo,lakini no body cares plight ya wanawake wenzao hapa.CCM inanunua magari zaidi ya 200!
Hizi pesa zinaweza kununua vitanda,hata kujenga maternity wards !
Shame on me,shame on you ,i am sick to death watu wanalia crocodile tears kwa kifo cha Kawawa!
Niko tayari kutoa machozi kwa hawa akina mama watanzania wenzetu ambao hawana
uwezo!
toka nimejiunga na JF sijawahi kukutana na thread ikanitoa machozi.. nalia...nalia...sina lakusema..lini nitaifurahia nchi yangu... naona giza nene mbele yangu....
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

Nadhani wewe ni mjinga na limbukeni
 
Nina wasiwasi aliyekuloga wewe alishakufa. Milembe umetoka lini? Watu wengine bwana, yaani mnakera kwelikweli. Mamako alihongwa nini hadi akakuzaa wewe?
Yaani wewe inaonekana hata ngumbalo hukwenda. Hivi uwezo wa mtu unaweza kufanya lipi katika hali hiyo? Huyo mwenye uwezo ajizalishe? Unataka kusema huyo hahitaji daktari? Au kama ana uwezo alete kitanda chake hospitali? Na hiyo hela inayolipwa kwa ajili ya huduma anakula nani? Wewe habari ya kwenda kwa waganga wa kienyeji inaingiaje kwenye hilo? Lakini hatuwashangai nyie CCM, akili ni ileile tu kama Makamba vile. Mnapwayukapwayuka tu. Ushaharibu mood yangu leo.

Mkuu Vangi na Wana JF wengine,

Kwa maoni yangu huyu jamaa yetu Boss alitaka kuiyeyusha hoja ya msingi na kutupeleka nje ya mada na ninaona tumeingia kwenye mtego wake. Nawashauri tuamue kubeza mawazo yake na tuendelee kujadili hili la umuhimu na gharama ya nyumba ya Gavana wa nchi inayoitwa masikini ya Tanzania vis a vis huduma muhimu za jamii jamii.

Tiba
 
tatizo ni kuwa kwa nini pesa yote hii itumike kujenga nyumba mbili za hawa magavana?

Amini amini nawambia kikwete akirudi madarakini atalifiksha taifa pabaya kuliko ben.
 
Samahani kwa ku-qualify kauli yako kuhusu zahanati/hospitali za Binafsi nyingi kwanza majengo yake hayakujengwa kwa minaji ya kuwa vituo vya afya, hivyo hilo ni tatizo la kwanza, pili kutokana na uhaba wa mtaji wengi wao vifaa vyao sio standard or vye ubora unaotakikana , mfano wengi X-ray machine zao ni zile zilizokwisha tumika hivyo uwezo wake wa kutambua tatizo ni mdogo, vifaa vya kuchemshia sindano na nk ni vya kiwango hicho hicho cha chini , wauguzi walio ajiriwa kwenye dispensary za binafsi wengi ni wa kiwango cha chini nk nk.
Kuna watu wanaenda kwenye Hospitali za Binafsi kwenye Dr Bingwa/Mzuri lakini unakuta huduma nyingine ni tatizo.

Mkuu August,

Nakuunga mkono kuhusu hospitali/Zahanati binafsi. Juzi nilikuwa pale Masssana Hospital kwa Prof. Lema Mbezi samaki na niliingia kwenye chumba ambacho ndipo huduma za akina mama wajawazito zinatololewa, kwa kweli sikuamini nilichokiona. Pamoja na uzuri wa jengo na baadhi ya vyumba kama maabara, chumba cha kuhudumia kina mama wajawazito ni kama banda la kuku na lipo pembeni ya jengo kuu. Pamoja na kuwa Prof. Lema ni mzuri kwa kutoa matibabu, lakini kwa hili amekosea sana na ndivyo inavyokuwa kwenye hospitali nyingi za binafsi ambako wanajali sana pesa zaidi ya ubora wa huduma.

Tiba
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

mimetafuta maneno ya kukwambia nimekosa...
 
nilichojaribu kusema ni kuwa
watu wachukulie kuwa afya zao ni muhimu
kuliko kununua khanga au hereni za dhahabu...
zipo dispensary nyingi za binafsi za bei nafuu.....

sio lazima kila mtu akasuburi huduma
ya bure mwananyamala au amana.

mimi binafsi nawajua wamama kadhaa ambao
wana uwezoa kwenda kwenye dispensary
za binafsi za bei nafuu,but wanaenda
hospitali za serikali kwa kila tatizo lao.

wapo kweli masikini wasio na uwezo
but sio wote,wengine ni mazoea ya
huduma za dezo.



Boss dispensary unaweza kwenda kama una homa au unakwenda kufunga kidonda lakini sio mama mjamzito kujifungua; kwani dispensary nyingi hazina vifaa vya kuweza kumsaidia mama anayejifungua!!
 
tatizo ni kuwa kwa nini pesa yote hii itumike kujenga nyumba mbili za hawa magavana?

Amini amini nawambia kikwete akirudi madarakini atalifiksha taifa pabaya kuliko ben.

Jana nilihudhuria mazishi ya Simba wa Vita pale Madale na nikajionea first hand uzalendo na uadilifu wake ulivyojionesha na jinsi alivyoishi na mazingira ya nyumbani kwake; sasa huyu alijaliwa kushika vyeo vikubwa vingi, huwezi kufananisha na viongozi wa sasa ambao kwa muhula mmoja tu wa uongozi wamekwisha jenga mahekalu mijini mpaka vijijini kwao kunakonuka umaskini!! Sintashangaa kamaTaifa hili litafikishwa pabaya zaidi ya alipoliacha Mkapa.
 
Apo ndo uamini kuwa hatuna viongozi,hawo wajawazito wamwangukie mola wao tuu!
Iyo ni DSM uko Lupembe,Makete,Ludewa,mdaula,Tunduru jee kukoje!
 
Kuna mama mmoja Malkia huko Ufaransa, karne hizo za nyuma, watu walikuwa wakiandamana kwa ajili ya njaa. Mama akauliza hawa kwa nini wandaandamana? Akaambiwa hawana mkate! Akasema kwa nini wasile keki?

Haya ndo maneno ya Boss. Watu wamejazana kwenye hospitali za serikali wewe unasema kwa nini wasiende za binafsi? Lazima maarifa yako kuhusu Tanzania si sahihi.

Watanzania wenye bima za afya au wanaotibiwa huko kwenye hospitali za binafsi ni chini ya 2%. Hao wapo na wanakwenda huko. Na huko unadhani huduma ni nzuri? Kama hujawahi kutibiwa aga Khan, TMJ, sijui wapi, uliza uambiwe. Ni rip off plus very low quality of service. Ndo maana watu wanakimbilia serilalini ambako ukipewa service mbovu unalalamika. Aga Khan utamlalamikia nani? Hindu mandal utamlalamikia nani?

Ni kuwa kama hujawahi kutibiwa kwenye hayo magorofa, utadhani service zilizoko kule ni bora! Jiulize kwa nini viongozi wa nchi wakiugua tu hukimbizwa nje ya nchi? Ni wazi hujatibiwa huko kwenye hospitali za binafsi ndo maana una recommend watu waende huko.

Hospitali za misheni zinazotibu kwa gharama sawa na serikali hali haiko tofauti sana na zile za serikali. Nenda huko KCMC uone jinsi misongamano ilivyo mikubwa!

Hoja hapa ni matumizi ya ovyo ya serikali ambayo kusema ukweli inatoa mishahara, marupurupu na entitlements kwa less than 1% ya wafanya kazi wake wa ngazi za juu ambazo ni zaidi ya zile za first world class.

Watu wanachojiuliza, Ndulu na wenzie wanapataje courage ya kujigawia majumba ya thamani kubwa kiasi hicho?

Hakuna atakayekubaliana na hoja dhaifu kuwa watanzania wanaweza kuafford private services kwa hivyo wasilalamike. Hata kama wako minority wachache sana wenye uwezo wa kupata private service na hawaendi huko, how ni negligible minority!

How can Benno Ndulu explain spending of US$1m on his own house?
 
Cry Tanzania. Those trained to help the country are now in the forefront to vandalize the little revenue and savings we have.
  1. The president and his cabinet, are in perpetual trips abroad. Flying first/business class, staying in the lavish 4/5 star hotels for weeks, acumulating for themselves thousands of per diems, all paid by the TZ coffers. Shameless?? With the availability of fast speed internet in Tanzania and embassies all over the world, can't these people stay at home and carry out their duties from their offices and save the country's resources?
  2. The JK government is full of luxurious vehicles which are mainly used in private business. Why not have a controlled Car Pool that is shared by everyone whenever needed including the honorable ministers?
  3. Those who are paid super salaries by the same government that can not pay the teachers, are also remunerated heavily with posh cars, houses, maids e.t.c.? Why? .......Did they compete for these jobs?
  4. If these positions needs to be superbly remunerated in order to get and keep the best and the brightest, why then not advertise the job so that the best can compete and work responsibly?
Wana CCM amkeni, JK na watu wake wanaimaliza nchi.


Ili tuendelee, sasa tunahitaji vitu vitatu;
  1. JK aondoke madarakani ASAP
  2. JK aondoke madarakani ASAP
  3. JK aondoke madarakani ASAP
 
Back
Top Bottom