Hahaha kwamba.vina muda basi
anyways hongeraa
Sawa sawa mkuuKila la kheri mkuu katika ndoa yako. Kikubwa Acha kabisa kuishi nae Kwa kum label as a single mother. Utaishi Kwa Amani.
Aishi kwa kushika moja kichwaniKila la kheri mkuu katika ndoa yako. Kikubwa Acha kabisa kuishi nae Kwa kum label as a single mother. Utaishi Kwa Amani.
daaah aiseevina muda basi
anyways hongeraa
Habari za mchana
Natarajia kumuoa huyu single mother wangu nimempenda na ninataka kufunga naye ndoa kabisa,
Kuhusu mtoto wake atakua wangu na huyo mzazi mwenzake wala simuwazi mimi hanipishida , siwezi kumuacha huyu single mother lazima ni muoe na awe mke wangu.
Vijana unaotaka kuoa msiogope single mother, bali waogopeni hawa mabinti wadangaji ma wanaotoa mimba hao ndiyo wabaya sana hawajui kupenda wala hawana mapenzi ya dhati kama single mother.
Ninacho wajulisha vijana ukweli uliofichika mi kwamba single mother ni watamu sana, wanajua kupenda kwa dhati kutokea moyoni, ni wakarimu , wana huruma sana , wastaarabu, hawana baya kabisa na pia ni wife material kweli kweli.
Hebu jiulize ameweza kulea mtoto mwenyewe mpaka kakua bila kutoa mimba upendo ulioje huu. Kwa kweli acha tu nimuoe huyu single mother hana baya kabisa
sijui nilitaka nisemeje 😃Hahaha kwamba.
Kwa nn uoe single mama kama sio kiherehere chako??You have to be stable in all aspects mentally & economically, single woman wana stress sana yaan ni Melancholic kabisa
Kama nawe ni single mother naleta posa chapu maana mleta maada kasema mna mapenzi Moto Moto ,sijui nilitaka nisemeje
pole mwaya mie hata sio single momKama nawe ni single mother naleta posa chapu maana mleta maada kasema mna mapenzi Moto Moto ,
Kwetu tarime ukishazaa kabla ya kuolewa unakuwa ni sawa na scraper-chuma chakavu
unaweza kuolewa tu na mzee na sio kijana , yaani unatakiwa kuwa mke wa pili na kuendelea na mahari inashuka
Je kwenye jamii yenu hili jambo lipoje