Hii imetokea mtaani kwetu, kuna Single Mother alikuwa ameolewa na Jamaa anaepiga vibarua vya kutengeneza simu mtaani.
Sasa Jamaa wakati akiwa ofisini na mtoto wa kufikia mwenye umri wa miaka 14 yule dogo akaidondosha chini simu ya mteja.
Ikumbukwe kuwa jamaa huwa anamkatazaga Dogo asiwe anachezea simu za watu.
Jamaa akampiga Dogo kakofi kadogo dogo PAAH! 👋
Dogo akaanza kulia kwa Nguvu, Mama yake akasikia Aisee!
Kilichotokea baada ya hapo ni maneno makali na kumwambia UNAMPIGA HUYU MTOTO NI WAKO?
Aisee! Nilisikitika sana kuona yule Jamaa anaambiwa maneno yale na ilhali ni yeye ndio anatoa huduma kwa Mama na mtoto wa Single mother.
JAMAA ANAJUTA SASAIVI KUOA SINGLE MOTHER!
Sasa Jamaa wakati akiwa ofisini na mtoto wa kufikia mwenye umri wa miaka 14 yule dogo akaidondosha chini simu ya mteja.
Ikumbukwe kuwa jamaa huwa anamkatazaga Dogo asiwe anachezea simu za watu.
Jamaa akampiga Dogo kakofi kadogo dogo PAAH! 👋
Dogo akaanza kulia kwa Nguvu, Mama yake akasikia Aisee!
Kilichotokea baada ya hapo ni maneno makali na kumwambia UNAMPIGA HUYU MTOTO NI WAKO?
Aisee! Nilisikitika sana kuona yule Jamaa anaambiwa maneno yale na ilhali ni yeye ndio anatoa huduma kwa Mama na mtoto wa Single mother.
JAMAA ANAJUTA SASAIVI KUOA SINGLE MOTHER!