Laana right?? Vipi na wale single mothers wanaohangaika na watoto peke yao hadi mwisho wa siku watoto wao wanakuja kufanikiwa kielimu na kiuchumi??
Halafu tusingewaona wanafiki kama mngekuwa mnawashutumu na hao wanaume wanaosababisha uwepo wa single mothers kwa sababu za kipumbavu
Uko sahihi 100% blaming should be casted kwa wote. ...male & females
To be realistic could be more males maana ndio wanaokimbia nakuzikataa mimba