Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Kila mtu abaki na anavyo amini na anavyo juaSio kweli
Hamna watu wanadoda nyumbani km hao
Kila mtu abaki na anavyo amini na anavyo juaSio kweli
Hamna watu wanadoda nyumbani km hao
Halafu wengi wa hao wanatafuta ajira ya ndoa na sio ndoa.Tatizo ni kuwa too much selective. Zamani haikuwa kawaida binti kukosa mume. Siku hizi binti wengi wakiaona wamesoma kidogo wanajali material things na wanapokuja kugundua kuwa peke yake haziwezi leta furaha ndo wanaanza kuzitafuta ndoa. Bahati
mbaya wa kuwaona nao wanakuwa washakata tamaa. Ndo unaona mtu analeta post kama hii.
Unalopaswa kujua ni kwamba pamoja na kwamba mwanaume anaweza kusema wanawake ni wengi na akitaka muda wowote anaoa bado hata wanaume wana changamoto sana ya kupata wenza sahihi. Kwahiyo unavoona wanawake wengi wamekuwa micharuko, ni vivyo hivyo wanaume wanavyozidi kupata ugumu wa kuwapata wenza.
Naoa mwanamke.Mmh! Tunaambiwa penzi ni kipofu. Sasa kwann la kwako linauangalia umaskini?
Ilikuwa kidoooogo tu nikupe LIKE lkn kwa kusema Wema akili kubwa, basi.Wema ana vision na akili kubwa. Hajampata wa kuendana naye
ndiyoOk
Kwamba mwanaume anaogopa kuoa kwasabb ukoo mzima utahamia kwake. Ama atageuka kuwa sponsor wa ukoo. Siyo?
Tulioko familia chovu kiuchumi twafwa!ndiyo
Tutazipata kwa waganga wakienyejiTulioko familia chovu kiuchumi twafwa!
Hahaha! Siku mganga akifa balaa lake siyo la nchi hii.Tutazipata kwa waganga wakienyeji
Hadi atakapokufa tunakuwa tushachuma vyakutoshaaaHahaha! Siku mganga akifa balaa lake siyo la nchi hii.
yaaani awe na magari sijui elimu ndo ke nipeleke kikwapa pale mwee!!...Wewe kuwa na heshima, kwa hiyo hata mke wangu nyumbani ni mcharuko?
Hao uliowa-mention hapo ukitoa wenye adabu huwa wanatokea watu kwa wakati sahihi ili wawaowe ila wanakuwa macho juu juu kuchagua mara awe mrefu,awe six pack,awe mweupe na awe caring awe na pesa nyumba na gari na elimu nzuri mkiona wasiofanya machaguo kama nyie wanaolewa mnaishia kuwaita micharuko.
Acha kuchagua chagua hovyo uone kama hukuolewa kesho.
ni kweli mkuuAu nasema uongo ndugu yangu msema kwel mpenz wa mung
wengine wana haja ya harusi na siyo ndoa. Wengi wao hufukiria ndoa ili kuwakoga wenzao na hawako tayari kwa majukumu ya ndoa.Halafu wengi wa hao wanatafuta ajira ya ndoa na sio ndoa.
Si kweli. Wanaume wengi wameoa wanawake ambao siyo machguo yao. Wengi wlitaka kupita kuonja lkn inatokea demu ana nasa mimba. Maisha ya ndoa yamaanzia hapo.
Nasema wengi, siyo wote.
Mm Sexless ni kungwi la kitaa. Nishaona na kusikia mengi.
Hahahahahahha unajitafta mabalaa kuoa mke kama huyo😅Mdada Una post picha kila weekend uko hotelin..
Picha uko mwenyewe aliekupeleka hotelin haionekani
Haijulikan ni mtu mmoja au kila weekend una
Sponsor mpya wa bata
Kila kinacho trend upo nacho..
iPhone mpya unazo huku unasema unatafuta kazi..
Sasa nani anataka hizo stress?
Sidhani kama mimba tu inatosha kumbana mwanaume akuoe. Kama amaekubali kukuoa baada ya wewe kupata mimba ujue anakupenda pia. Wangapi wamezalisha halafu wanasema watalea mtoto?Si kweli. Wanaume wengi wameoa wanawake ambao siyo machguo yao. Wengi wlitaka kupita kuonja lkn inatokea demu ana nasa mimba. Maisha ya ndoa yamaanzia hapo.
Nasema wengi, siyo wote.
Mm Sexless ni kungwi la kitaa. Nishaona na kusikia mengi.
Tatizo kubwa ni kwa wanawake. Wanawake wengi wanapenda waume ambao kimuonekano na swaga zake itakuwa rahisi kumtambulisha kwa rafiki zake. Unaweza kuta mwanaume anafaa kabisa lakini bado binti anatafuta yule wa kuringishia kwa rafiki zake kama vile anaolewa kwa ajili yao.Shida ipo kwa wadada wenye maadili. Wa kufanana nao hawapo. Wanaume walio wengi ni uso mkavu, kiatu kichafu kichwani hamna kitu
Wdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.
Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.
Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya ngozi. Wanapuuza sifa za ndani ya mtu.
Hivyo kwa mdada mwenye maono, ndoto zake na mwenye kujitambua anaona bora atulizane tu. Acha micharuko iendelee kuolewa.