Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,462
- 21,945
Kwa hiyo wasioolewa wote wana vision na akili kubwa?Wema ana vision na akili kubwa. Hajampata wa kuendana naye
Sijakubaliana na hilo
Kwa hiyo wasioolewa wote wana vision na akili kubwa?Wema ana vision na akili kubwa. Hajampata wa kuendana naye
Na hao ndo wanaoolewa sasaMdada Una post picha kila weekend uko hotelin..
Picha uko mwenyewe aliekupeleka hotelin haionekani
Haijulikan ni mtu mmoja au kila weekend una
Sponsor mpya wa bata
Kila kinacho trend upo nacho..
iPhone mpya unazo huku unasema unatafuta kazi..
Sasa nani anataka hizo stress?
Wengine huponzwa na familia zao
Yaani ukute yeye Yuko bomba Kila idala ila famila ya kimaskini anatokea
Au wajomba siyo
Kwa nn?Ukweli huu nao.. mwanamke anaetokea familia bora ana nafasi kubwa ya kuolewa haraka kuliko anaetoka familia mbovu.
Mmh! Kivipi? Hebu fafanuaUkweli huu nao.. mwanamke anaetokea familia bora ana nafasi kubwa ya kuolewa haraka kuliko anaetoka familia mbovu.
Si kweli. Wanaume wengi wameoa wanawake ambao siyo machguo yao. Wengi wlitaka kupita kuonja lkn inatokea demu ana nasa mimba. Maisha ya ndoa yamaanzia hapo.Hizo ni stress mkuu...tafuta mme akuoe
Wanaume dunia nzima likifika swala la ndoa huwa hatukurupuki...
Aaah! Unaoa wa kufanana nae mkuuWdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.
Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.
Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya ngozi. Wanapuuza sifa za ndani ya mtu.
Hivyo kwa mdada mwenye maono, ndoto zake na mwenye kujitambua anaona bora atulizane tu. Acha micharuko iendelee kuolewa.
Shida ipo kwa wadada wenye maadili. Wa kufanana nao hawapo. Wanaume walio wengi ni uso mkavu, kiatu kichafu kichwani hamna kituAaah! Unaoa wa kufanana nae mkuu
Hakuna mwanamke mwenye maadilia asiolewe mkuu. Mungu huwapa tuzo wapole na wanyenyekevuShida ipo kwa wadada wenye maadili. Wa kufanana nao hawapo. Wanaume walio wengi ni uso mkavu, kiatu kichafu kichwani hamna kiti
Ukweli mchungu mkuu siku hizi watu wanaangali codination na siutegemeziMmh! Kivipi? Hebu fafanua
OkUkweli mchungu mkuu siku hizi watu wanaangali codination na siutegemezi
Hivi hujawahi sikia mshenga kasababisha mtu asiolewe
Anyway ilikua hivi, baada ya kutumwa apeleke barua ya posa aliporudi kwa muoji akamuita pembeni Kisha akamwambia aisee unataka kuoa ile familia! Nimaskini wakutupwa achana naye yule mwanamke atakufirisi atakufanya tegemezi
Basi mwenzangu na mimi ikabidi asioe na alimuacha yule binti.
Unaujua wimbo wa manunga embe wa ngoni tribe?Wdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.
Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.
Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya ngozi. Wanapuuza sifa za ndani ya mtu.
Hivyo kwa mdada mwenye maono, ndoto zake na mwenye kujitambua anaona bora atulizane tu. Acha micharuko iendelee kuolewa.
Naufahamu. Lkn ule ulikuwa unasadifu maisha ya miaka ya nyuma ambapo watu walijuana vema. Na wanawake walikuwa wakichaguliwa na wazee wa ukoo ama mashangazi. Kwahiyo machaguo yaliangalia vigezo na wasio na vigezo waliachwa.Unaujua wimbo wa manunga embe wa ngoni tribe?
#YNWA
Yap...Ok
Kwamba mwanaume anaogopa kuoa kwasabb ukoo mzima utahamia kwake. Ama atageuka kuwa sponsor wa ukoo. Siyo?
Sio kweliHakuna mwanamke mwenye maadilia asiolewe mkuu. Mungu huwapa tuzo wapole na wanyenyekevu
Mmh! Tunaambiwa penzi ni kipofu. Sasa kwann la kwako linauangalia umaskini?Yap...
Hata Mimi siwezi kuoa mwanamke nikaoa matatizo ya familia.
#YNWA
Hata usiooolewa utagongwa tuWdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.
Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.
Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya ngozi. Wanapuuza sifa za ndani ya mtu.
Hivyo kwa mdada mwenye maono, ndoto zake na mwenye kujitambua anaona bora atulizane tu. Acha micharuko iendelee kuolewa.