Wadada wenye akili, heshima na adabu ni ngumu sana kuolewa dunia ya leo. Ndoa zimebakia kwa micharuko tu

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,567
50,393
Wdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.

Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.

Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya ngozi. Wanapuuza sifa za ndani ya mtu.

Hivyo kwa mdada mwenye maono, ndoto zake na mwenye kujitambua anaona bora atulizane tu. Acha micharuko iendelee kuolewa.
 
Wewe kuwa na heshima, kwa hiyo hata mke wangu nyumbani ni mcharuko?

Hao uliowa-mention hapo ukitoa wenye adabu huwa wanatokea watu kwa wakati sahihi ili wawaowe ila wanakuwa macho juu juu kuchagua mara awe mrefu,awe six pack,awe mweupe na awe caring awe na pesa nyumba na gari na elimu nzuri mkiona wasiofanya machaguo kama nyie wanaolewa mnaishia kuwaita micharuko.

Acha kuchagua chagua hovyo uone kama hukuolewa kesho.
 
Mdada Una post picha kila weekend uko hotelin..
Picha uko mwenyewe aliekupeleka hotelin haionekani
Haijulikan ni mtu mmoja au kila weekend una
Sponsor mpya wa bata
Kila kinacho trend upo nacho..
iPhone mpya unazo huku unasema unatafuta kazi..


Sasa nani anataka hizo stress?
 
Wdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.

Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.

Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya ngozi. Wanapuuza sifa za ndani ya mtu.

Hivyo kwa mdada mwenye maono, ndoto zake na mwenye kujitambua anaona bora atulizane tu. Acha micharuko iendelee kuolewa.
Umeandika kinyume na ule wimbo wa MANONGA YEMBE...

wanawake wazuriwazuri wameolewa, yamebaki manonga yembe tu yanahangaika..!!!

SASA SIJUI TUMUELEWE NANI...!!

By the way, yote ni mitazamo tu..
 
Mdada Una post picha kila weekend uko hotelin..
Picha uko mwenyewe aliekupeleka hotelin haionekani
Haijulikan ni mtu mmoja au kila weekend una
Sponsor mpya wa bata
Kila kinacho trend upo nacho..
iPhone mpya unazo huku unasema unatafuta kazi..


Sasa nani anataka hizo stress?
We braza..!!! Umeuwa..
 
Wdada waliojitunza na wenye kuishi kwa kufuata miiko na maadili hawaolewi. Kwasabb watu waovu ni wengi kuliko wema.

Dunia imejaa ubatili na hivyo wenye ubatili wametamalaki. Wakaka wengi wametawaliwa na tamaa za kishetani.

Akili zao ziko kwenye "kuonja", kuangalia makalio, shepu na rangi ya ngozi. Wanapuuza sifa za ndani ya mtu.

Hivyo kwa mdada mwenye maono, ndoto zake na mwenye kujitambua anaona bora atulizane tu. Acha micharuko iendelee kuolewa.
Tatizo ni kuwa too much selective. Zamani haikuwa kawaida binti kukosa mume. Siku hizi binti wengi wakiaona wamesoma kidogo wanajali material things na wanapokuja kugundua kuwa peke yake haziwezi leta furaha ndo wanaanza kuzitafuta ndoa. Bahati
mbaya wa kuwaona nao wanakuwa washakata tamaa. Ndo unaona mtu analeta post kama hii.

Unalopaswa kujua ni kwamba pamoja na kwamba mwanaume anaweza kusema wanawake ni wengi na akitaka muda wowote anaoa bado hata wanaume wana changamoto sana ya kupata wenza sahihi. Kwahiyo unavoona wanawake wengi wamekuwa micharuko, ni vivyo hivyo wanaume wanavyozidi kupata ugumu wa kuwapata wenza.
 
Mdada Una post picha kila weekend uko hotelin..
Picha uko mwenyewe aliekupeleka hotelin haionekani
Haijulikan ni mtu mmoja au kila weekend una
Sponsor mpya wa bata
Kila kinacho trend upo nacho..
iPhone mpya unazo huku unasema unatafuta kazi..


Sasa nani anataka hizo stress?
Mkuu unaandikaga a lot of sense yani, hizi tabia hakuna kidume anaziweza...

...bata batani halafu sponsor haonekani
 
Back
Top Bottom