Anaitajika awakomboe wenzake akija kusanuka umri umemtupa mkonoKwa nn?
Anaitajika awakomboe wenzake akija kusanuka umri umemtupa mkonoKwa nn?
labda vijiji vya wamakonde!! Lkn vingine weee!! Baba anashinda kilabuni na mama akiwa namdogo wake!!! Hawalimi.Hawafugi chochote. Nyumba imetoboka juu ya paa hawzibi.Na hiyo hali imetamalaki maeneo ya mjini huko vjijini akaa hawana Mambo hayo wao wanachoangalia ni kuzaana tuu