Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Ipi sahihi kati ya kuna njaa na hakuna njaaSahihi ipi
Ipi sahihi kati ya kuna njaa na hakuna njaaSahihi ipi
Wotee nawatakia uck mwema na ndoto njemaIpi tena usiyoijua wewe apo mkuu, jamani mlale salamaa wotee
Wataelewa kama wanapenda kuelewasana sana mpaka na wao njaa iwaume ndio wataelewa...
Ndani palikuwa hapakaliki kwa sababu ya wewe kupoteaSana nimewamiss wote humu ndani
Kushangilia goli inaleta raha huku unanyanyua mikono juu
Miguu yenyewe ukute ipo kama spoku za baiskeliJuu uwe mwangalifu unaweza poromoka ukavunja miguu
Miguu yenyewe ukute ipo kama spoku za baiskeli
Kubwa zaidi baada ya kushangilia goli juu juu na kuanguka chini huku miguu km spoku ikivunjika mechi utaziskia zikichezwa kwa jirani tuBaiskel zenyewe za kichina balaa kubwa
Huo muda utakuepo hata usijali wangu unaweza kuta mzenji mwenyewe ndio wewe, maana me sina nakadiria tu baada ya muda huo nitaoa Ila mchumba sinaMkuu nialike na mm inshaalah mwenyez mungu atuweke mpk huo mda
huu ni ujinga ni wa 2017Ukubwa jalala Ila usitupe taka,Kaka unaambiwa ukubwa jalala
kaka usiku mwemaTafiti yako ya zamani hujue, siku hizi wamekuwa adimu na wanagawa kama pipiMkuu zenji poa sana, kama unatarajia kuoa zenji kazi ni kwako, watoto bikra wapo wengi, nilishafanya tafiti
Wako wapi wale waliokuwa wanaishi kama malaika, sikuhizi wanaishi kama mashetani,... Me gbefa nipi kipenzi changu nimekumiss kinoma yaani mdada hope uko poa na mambo yako.. Tumshukuru munguMiss yuh too, jamani mdogo wangu gbefa sijamuona humu kabisaa, namge nae, dem boy, Aisha, Ukhuty, kuna jamaa ana jina Qu....,huwa linanisumbua kweeli kulitaja, na yule jamaa wa dini mbaya Namuogopa ila namuulizia tuu Jamanii, hawa watu wako wapi
Sana tu Ukhuty upo kumbe mdada humu ulitukimbiaga kwa muda, wakuu usiku mwema nitawaambia kilichonifanya Leo nimetulia siku nzimaPipi ya ivory ni tamu sana
Nzima Mkuu niliicheki leo haina tatizoSana tu Ukhuty upo kumbe mdada humu ulitukimbiaga kwa muda, wakuu usiku mwema nitawaambia kilichonifanya Leo nimetulia siku nzima
Tatizo langu nakojoa chooni sio kitandani kwanini sikojoi kitandani wakuuNzima Mkuu niliicheki leo haina tatizo
Wakuu saa 5 hii tusiokuwa na show usiku huu ushindi lazima,toxic naona ana world cup leo simuoni kabisa pacha langu,sakayo utatuambia leo huyu mtu yupo wapiTatizo langu nakojoa chooni sio kitandani kwanini sikojoi kitandani wakuu
Yupo wapiWakuu saa 5 hii tusiokuwa na show usiku huu ushindi lazima,toxic naona ana world cup leo simuoni kabisa pacha langu,sakayo utatuambia leo huyu mtu yupo wapi
anahudumia ndoa kaka me na wewe ndio washindi muda mwingi tu wapweke kama wanafunzi tuliokosa mkopo basi tuwe ndugu tufarijianeTufarijiane tu kupeana ushindi wa uzi huuYupo wapi![]()
![]()
anahudumia ndoa kaka me na wewe ndio washindi muda mwingi tu wapweke kama wanafunzi tuliokosa mkopo basi tuwe ndugu tufarijiane