goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Tufarijiane kipindi hiki kizito cha jpm.Yupo wapi![]()
![]()
anahudumia ndoa kaka me na wewe ndio washindi muda mwingi tu wapweke kama wanafunzi tuliokosa mkopo basi tuwe ndugu tufarijiane
Tufarijiane kipindi hiki kizito cha jpm.Yupo wapi![]()
![]()
anahudumia ndoa kaka me na wewe ndio washindi muda mwingi tu wapweke kama wanafunzi tuliokosa mkopo basi tuwe ndugu tufarijiane
JPM sio mfano wa kuigwa kabisaTufarijiane kipindi hiki kizito cha jpm.
Kabisa hafai kuwa rais tena 2020 tutamchukua yule babu wa kimasai.JPM sio mfano wa kuigwa kabisa
Huu ni mwanzo mzuri, kuna watu wapo online kwenye kwich kwich kwich, kitanda kinapiga kelele, watag waliio kwenye...Tufarijiane tu kupeana ushindi wa uzi huu
.. Sio kweli lakiniTufarijiane tu kupeana ushindi wa uzi huu
Sijawataja kwa majina nawasalimu wote hope mmeamshwa salamaHuu uzi kila mtu mshindi dem boy. Halafu Supermarket ameenda shopping hajarudi ZZ kaenda Argentina Hata simu Mtabweni analima mpunga Na Wandegereko Atug naona katua Toka majuu.Hii timu ya Sasa nikali
Golikipa Toxic9 mabeki dem boy,kituko,Juma chief Na gbefa viungo mamge washambuliaji
Sakayo,mamafacebook II,Aishah2016,Ukhuty,
Blaki womani.Na wengi sijawataja
Salama tatu bomba ndio mpangoSijawataja kwa majina nawasalimu wote hope mmeamshwa salama
Mpango kazi wa leo ndo umeanza kwa upande wangu.Salama tatu bomba ndio mpango
Salama kabisa, sijui wewe umeamshwa salama?Sijawataja kwa majina nawasalimu wote hope mmeamshwa salama
Mimi ndo taarifa nilizopata kutoka kwa mhusikaSana unaniambia tarifa za kueleweka au nawe wahisi kama mimi?
Majukumu ni wajibu wa kila mtu, tuombeane kheri na mafanikioMpango kazi wa leo ndo umeanza kwa upande wangu.
Mmeamkaje wapendwa hope mko fine, baadae sana ngoja niende kwenye majukumu
Mafanikio mema kwako pia mpendwa, habari za asubuhi yako mkuuMajukumu ni wajibu wa kila mtu, tuombeane kheri na mafanikio
Mkuu nimeamka salama kabisa hofu kwakoMafanikio mema kwako pia mpendwa, habari za asubuhi yako mkuu
Sana unamaanisha kupita kiasi?, mbona ndio kunakucha ugumu umeupata saa ngapi au umekeshaMkuu siku imekua ngumu sana
Salama kabisa, sijui wewe umeamshwa salama?
Mkuu siku imekua ngumu sana
Kuhani hapingwi, msikilize, mkubalie na umtumikie vyemasalama kabisa nishafika eneo la kazi kutimiza kauli ya kuhani
Sana unamaanisha kupita kiasi?, mbona ndio kunakucha ugumu umeupata saa ngapi au umekesha