stacia
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 752
- 1,475
Lakini swali lako ni swali la msingiWenyewe tunakubali hali ya uchimi ipo imara wakati hela ya kununua nafaka hatuna tunabaki kubadilishana na mbuzi, fedha mtaani zimeenda wapi, au BOT wanachapisha kiasi kidogo cha fedha nauliza tu lakini.