Debby Christine
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 300
- 307
Kingine pia kinachoendelea ni mikwara na kutishiana..Kinachoendelea ni ukiritimba na si kingine
Kingine pia kinachoendelea ni mikwara na kutishiana..Kinachoendelea ni ukiritimba na si kingine
Salama kabisaa, Mungu ni mwemaNdugu yangu za Asubuhi ni poa tu naona umeamka salama
Mwema kamanda enzi zake aliliweza sana jiji letuSalama kabisaa, Mungu ni mwema
Salama kabisaa, Mungu ni mwema
Leo Sijamuona yaaniMwema kwa kila jambo kwa kweli?, shosti wako mamaafacebook II yupo wapi leo?
Yaani akiamua kujichimbia hana tofauti na wewe kabisa, nyie ni ndugu?Leo Sijamuona yaani
Wako marafiki wengi wazuri sana ambao unatamani kutowapoteza wewe pia ni mmoja kati ya marafiki i wish not to lose, more appreciation to you and your entire family, happy January friendNjema yako tabia ni matunda yaliyotokana na kulelewa vizuri na wazazi wako.
Mpendwa hope u aving a wonderful daySiku njema na kwako pia mpendwa
Wonderful day without money is like Korean series without subtileMpendwa hope u aving a wonderful day
Kiuchumi, kisiasa piaTaifa linahitaji mapinduzi ya kiuchumi
Ndugu wa mama mmoja baba mbali mbaliYaani akiamua kujichimbia hana tofauti na wewe kabisa, nyie ni ndugu?
Wangu ni nipo poa narefresh kidogo baadae niingie mzigoni, nakutakia siku njema na Jf members wa thread hii nyote love you guysWangu mie nimeamka salama, vipi wewe huko mdogo wangu
Nakuaminia dada una maswali kama mwalimu wa kifaransa,Kitonga ndo wapi mkuu, hongera sana mdogo wangu mie nakuaminia
Guys mumombee mdogo wangu gbefa ana jukumu zikoWangu ni nipo poa narefresh kidogo baadae niingie mzigoni, nakutakia siku njema na Jf members wa thread hii nyote love you guys
Guys mbona beib ake simuoni huku now days.. Nani kamtekaWangu ni nipo poa narefresh kidogo baadae niingie mzigoni, nakutakia siku njema na Jf members wa thread hii nyote love you guys
Nampenda Jpm pia ila MmmhNakuaminia dada una maswali kama mwalimu wa kifaransa,
Kitonga ni mlima watu wa nyanda za juu kusini wanautambua shughuli yake, maisha yangu ya kawaida kama nipo mlimani natelemka vile nampenda Jpm
Test ya leo kawaida tu haitaji kujiandaa kama unahama nchi inshu ipo jumatatu, hesabu ugonjwa wa taifa wadau naichukia kinoma ila sina namna kwa kweliAnakuponza soma mdogo wangu, aaah nilipitiwa maana ufupi daah, mie nakutakia mafanikio kwenye test ya leo
Mhmh yule jamaa yuko serious kinoma ateteleki hata kidogo, anakaba hadi penatiNampenda Jpm pia ila Mmmh
Nani kamteka bebi ake Namge kitambo pia sijamuona nakumbuka nilisaidia wawe pamojaGuys mbona beib ake simuoni huku now days.. Nani kamteka