Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Anko me sina tatizo naye boom nilipata acha niendelee kumfurahia maana kusoma course ambayo ada yake ni mtaji kwenye maisha msala, naishi vizuri tu Mimi mwanafunzi wa st kayumba kuanzia nusery hadi huku kwenye kitonga
Kitonga ndo wapi mkuu, hongera sana mdogo wangu mie nakuaminia
 
Mie nimo kwenye mada kama hii, hivi mbona unataka kutoa siri za ndani tena naona umenogewa nchi hadi unafikia hatua baada ya kusema hawa watu ni futi kadhaa unasema ni nchi kadhaa mhmh wewe Toxic9 anakuponza
Anakuponza soma mdogo wangu, aaah nilipitiwa maana ufupi daah, mie nakutakia mafanikio kwenye test ya leo
 
Back
Top Bottom