Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Yanakaba hasa kipindi hiki cha anko
Anko me sina tatizo naye boom nilipata acha niendelee kumfurahia maana kusoma course ambayo ada yake ni mtaji kwenye maisha msala, naishi vizuri tu Mimi mwanafunzi wa st kayumba kuanzia nusery hadi huku kwenye kitonga
 
Mfupi wapi jamani, kwanza mtu mfupi ana inch ngapi usijekuta na mie nimo
Mie nimo kwenye mada kama hii, hivi mbona unataka kutoa siri za ndani tena naona umenogewa nchi hadi unafikia hatua baada ya kusema hawa watu ni futi kadhaa unasema ni nchi kadhaa mhmh wewe Toxic9 anakuponza
 
Back
Top Bottom