Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,784
- 51,357
Jana ni mwalimu wa keshoKila kukicha heri ya jana
Jana ni mwalimu wa keshoKila kukicha heri ya jana
Hapa kazi tuTASAF Mbna anataka wazazi wetu wafe njaa mjini hapa
Mkuu nimekusomaPlaystore sijaiona hata na mm ila isachi kwenye browser yyte andika videoorder apk itakuja mkuu Jifunze hatua kwa hatua; Namna ya kushusha video za Youtube bure
kesho yako huijui kabisaaJana ni mwalimu wa kesho
Funguo wa maisha ni ELIMU kwa maana ya maarifaUfungua sio kithibisho siku hizi hata vyoo vina funguo
Mfukoni mlikuwa mna hela kwani,mpaka sahivi mnasema hakuna hela.. JPMHilo nalo neno,.. Ndo maana zinaning'inizwa mkononi haziwekwi mfukoni
Moja kati ya siku watanzania tulifanya jambo la kihistoria ni pale uchaguzi 2015 tulipo mchagua JPM kama raisi wetu wa TanzaniaMkuu hiyo app ya videoorder ilikuwa inafanya kazi kitambo kidogo, saivi haipakui tena video kama YouTube inavyogoma nafikiri walifungia kupakua video moja kwa moja
Wenyewe tunakubali hali ya uchimi ipo imara wakati hela ya kununua nafaka hatuna tunabaki kubadilishana na mbuzi, fedha mtaani zimeenda wapi, au BOT wanachapisha kiasi kidogo cha fedha nauliza tu lakini.Maendeleo huletwa na sisi wenyewe
Lakini wewe unataka hela mtaani wakati huo za kwako umeweka benki mkuuWenyewe tunakubali hali ya uchimi ipo imara wakati hela ya kununua nafaka hatuna tunabaki kubadilishana na mbuzi, fedha mtaani zimeenda wapi, au BOT wanachapisha kiasi kidogo cha fedha nauliza tu lakini.
Mkuu za bank ndiyo hizo zangu nazileta mtaani, kama hivi navyo chat nawe kwa kununua bundle, nazitumia vizuri na wana kitaa, kuchangia huduma za mtaa kama sungu sungu nk, wewe yako ni yako tu ehh sakayo wanguLakini wewe unataka hela mtaani wakati huo za kwako umeweka benki mkuu
Wangu yangu hata sijawahi ipeleka huko inazunguka huku mtaani tu mwayaaMkuu za bank ndiyo hizo zangu nazileta mtaani, kama hivi navyo chat nawe kwa kununua bundle, nazitumia vizuri na wana kitaa, kuchangia huduma za mtaa kama sungu sungu nk, wewe yako ni yako tu ehh sakayo wangu
Huo ubinafsi sasa mkuu kwahyo jamaa ha deserve kujiita hvo?Mwamba Tanzania hii upo mmoja tu,mwamba wa kaskazin Joh makin mkali wa mistari kaka yake Niki wa pili,yule mshkaji alieimba baba salehe akishirikiana na g nako alieimba arosto

Mwaya hivi gbefa umempokonya simu?? Basi umefanya jambo muhimu sana acha asome dogoWangu yangu hata sijawahi ipeleka huko inazunguka huku mtaani tu mwayaa
Moja kwa moja kivipi mkuu ikiwa mimi ndo ninayo itumia hyo? enewei jaribu tube mate pia inafaa kwa simuMkuu hiyo app ya videoorder ilikuwa inafanya kazi kitambo kidogo, saivi haipakui tena video kama YouTube inavyogoma nafikiri walifungia kupakua video moja kwa moja
Nauliza tu na mimi, ndo tumerudi batter tradeWenyewe tunakubali hali ya uchimi ipo imara wakati hela ya kununua nafaka hatuna tunabaki kubadilishana na mbuzi, fedha mtaani zimeenda wapi, au BOT wanachapisha kiasi kidogo cha fedha nauliza tu lakini.

Hapa kazi tu na kazi zenyewe wanatunyang'anya?![]()
![]()
![]()
yani umeongea simple lakini very logical, natamani ningekupa likes 50Likes 50 zote za nini mkuu labda unitume 5000 tigopesa![]()
![]()
yani umeongea simple lakini very logical, natamani ningekupa likes 50
