Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Wifi yake mie nampenda sana kwa kunitunzia kakanguWewe mdogo wangu mke ninae na kanizalia mtoto wa kike mmoja na bado nampenda sana usiogope, hata sakayo anamjua wifi yake
Wifi yake mie nampenda sana kwa kunitunzia kakanguWewe mdogo wangu mke ninae na kanizalia mtoto wa kike mmoja na bado nampenda sana usiogope, hata sakayo anamjua wifi yake
Miradi yako itakulipa ten billion eti ehh utakuwa umewekeza sanaBillion 10 ndo matarajio yangu kuikusanya baada ya kufungua miradi
Makomandoo kazi yetu ni kuhakikisha raia wa nchi yetu wana amani daimaKazi ya makomandoo wa jeshi letu kwa kweli imetukuka, wapo vizuri kweli tuna makomandoo
Kabisa sakayoKazi mie ndo nilifunga kabisa
Sana ila itachukua muda kufikia kiasi hicho cha fedhaMiradi yako itakulipa ten billion eti ehh utakuwa umewekeza sana
Sakayo niko poa kabisa, nauangalia uumbaji wa MunguKabisa sakayo
Sakayo wafanana sana na ZakayoKabisa sakayo
Kakaangu mimi aka bro in law mwambie nampa pongezi kwa kukupenda na kukuchungaWifi yake mie nampenda sana kwa kunitunzia kakangu
Zakayo yule andunje(mfupi)Sakayo wafanana sana na Zakayo
Andunje(mfupi) toka Congo?Zakayo yule andunje(mfupi)
Congo kuna andunje wengi sanaAndunje(mfupi) toka Congo?
Kukuchunga tena, mwambie wifi mtu mzima hachungwi bwana anaheshimiwa nae atajiheshimuKakaangu mimi aka bro in law mwambie nampa pongezi kwa kukupenda na kukuchunga
Mfupi wapi jamani, kwanza mtu mfupi ana inch ngapi usijekuta na mie nimoZakayo yule andunje(mfupi)
Sana sana mie ni mrefu bhanaCongo kuna andunje wengi sana
Zakayo ni mwanaume bhana, halafu bahati mbaya sina sura ya babaSakayo wafanana sana na Zakayo
Atajiheshimu it is apoint, ila abiria chunga mzigo wako, usipo chunga mzigo wako basi huna wivu, usipo kuwa na wivu basi hakuna mapenzi ni mnadanganyana, nipo deep sana kwenye hili somo, tuhame huko sakayoKukuchunga tena, mwambie wifi mtu mzima hachungwi bwana anaheshimiwa nae atajiheshimu
Baba sio, umefanana na mama basi utakuwa........Zakayo ni mwanaume bhana, halafu bahati mbaya sina sura ya baba
Sakayo hana tabu, tayari nshahama mie ila naamini wivu usiwe kigezo cha kumnyima mwenzako uhuruAtajiheshimu it is apoint, ila abiria chunga mzigo wako, usipo chunga mzigo wako basi huna wivu, usipo kuwa na wivu basi hakuna mapenzi ni mnadanganyana, nipo deep sana kwenye hili somo, tuhame huko sakayo
Utakuwa umepatia kidogo yaani, niko copy na babu mzaa mjombaBaba sio, umefanana na mama basi utakuwa........
Mjomba magufuli amaUtakuwa umepatia kidogo yaani, niko copy na babu mzaa mjomba