Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Test ya theory haumizi kichwa kama ya practical,
Kesho ni maandishi ya maherufi sio ya mahesabu kama ya next week
Week ijayo nitafute nikusaidie masomo magumu kwako, enzi za chuo nilipenda kusoma maana nilitumwa na kijiji chetu na nilichangiwa ada,
 
Week ijayo nitafute nikusaidie maaomo magumu kwako, enzi za chuo nilipenda kusoma maana nilitumwa na kijiji chetu na nilichangiwa ada,
Ada huku amelipia Jpm mkuu,,
Sina hata mawazo maisha ya kawaida tu naishi tatzo masomo ndio yanakaba
 
Yake mawazo mkeo anayo mengi anajua tu unamchepuka Ila anakumbia hivi mchepuke tu Ila asijue
Asijue mheshimiwa tena??ahhhh ni lazima ajue, pale simuyu kuna gharama za ujenzi wa hospitali yule mzabuni alitoa quotation ya billion 46 itagharimu ujenzi hapo ndipo magufuli akasema haiwezekani jengo linatakiwa ligharimu billion 10
 
Asijue mheshimiwa tena??ahhhh ni lazima ajue, pale simuyu kuna gharama za ujenzi wa hospitali yule mzabuni alitoa quotation ya billion 46 itagharimu ujenzi hapo ndipo magufuli akasema haiwezekani jengo linatakiwa ligharimu billion 10
Billion 10 zitaleta maafa we subiri uone
 
Sema animiss na Mimi pia ndio maana namkimbia...
Kesho Nina test wakuu ndio maana nanyapia nyapia humu mguu ndani mguu nje ila baadae tutakuwa sote wakuu mchana mwema
Mchana mwema na kwako pia mpendwa, piga kitabu dogo langu la ukweeli jf ipo tuu
 
Asijue mheshimiwa tena??ahhhh ni lazima ajue, pale simuyu kuna gharama za ujenzi wa hospitali yule mzabuni alitoa quotation ya billion 46 itagharimu ujenzi hapo ndipo magufuli akasema haiwezekani jengo linatakiwa ligharimu billion 10
Billion 10 ndo matarajio yangu kuikusanya baada ya kufungua miradi
 
Back
Top Bottom