OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,717
Mkuchika
Mkuchika
Masatu 😃😃😃Mkuchika
Huyu si alikuwa India muda mrefu?Mkuchika
Mkuu hawa watu ni wabaya! Mitambo yao wameyategesha ICU na mortuary.Mmeshaanza.....
Yaani siku hizi ukiona mtu anauliziwa basi unaanza kuhisi harufu ya tanzia tanzia tu. Kuuliziwa si kupendwa kwa awamu hii...Mkuu hawa watu ni wabaya! Mitambo yao wameyategesha ICU na mortuary.
Mkuu , naona wewe umefikiria vibaya. Hakuna aliyesema Mpango kananilii...Mlianza kusema mlinzi wa rais katembea lakini haikuwa hivyo na sasa mmehamia kwa Mpango
Nani tena!?I heard kuna Msiba wa Minister umetokea but utakuwa released in few days a head after buried of Jp
MaratuMasatu
Nchi sasa itaemdeshwa kwa hekima na busara.Dah phillipo na Kidata walimpiga majungu Rishad Bade akatimuliwa kama mbwa. Haya maisha.
Mrema bosi wa Tanesco yuko zake likizo moshi ya krismas anatimuliwa kama mbwa koko kwa dharau na dhihaka.
Tukanyage ardhi ya YESU kwa nidhamu.
Sio mrema bali eng. MrambaDah phillipo na Kidata walimpiga majungu Rishad Bade akatimuliwa kama mbwa. Haya maisha.
Mrema bosi wa Tanesco yuko zake likizo moshi ya krismas anatimuliwa kama mbwa koko kwa dharau na dhihaka.
Tukanyage ardhi ya YESU kwa nidhamu.
Jana alikuwepo uwanja wa Taifa kuaga mwili wa HayatiNi siku sasa sijamuona Wazir wa Fedha Philipo Mpango , kwenye hizi amsha amsha za msiba sijamuona kabisa Wazir wa Fedha , pengine yupo na anahudhuria Ila Mimi binafs sijamuona ..... Kwa yeyote anayefahamu alipo anijuze ...moja ya mawaziri nao wakubali ..na namuombea awemo kwenye Baraza lijalo la mama Samia
Wako kwenye mipango mingine kwaajili ya taifa hili
Mwenye kiherehere ni wewe unayeumia mwanamke mwenzio kuwa kimada wa mwanaumeWewe ni kimada wake,acha kiherehere
Oooh Sawa chiefJana alikuwepo uwanja wa Taifa kuaga mwili wa Hayati
Si nasikia mlisema hata yule bodyguard wa aliekuwa mkulu amefariki kenya, tunasubiri mrejesho. Watu bwana, yaani sasahivi mmekaa mkiombea watu wafe, kwa hizo roho za kuiaji na kisasi hata CCM hawawezi kubali kuwapatia nchi kizembe, maana wanajua kabisa haitakuwa salama kwao. Chukulia mfano hoja za Lissu kule Twitter, nani mjinga aje ampe nchi?I heard kuna Msiba wa Minister umetokea but utakuwa released in few days a head after buried of Jp
Mwenye kiherehere ni wewe unayeumia mwanamke mwenzio kuwa kimada wa mwanaume
Au ni sababu uliachwa?
Uliitaka wewe hiyo nafasi si uneichukua. Acha wivu wa ukewenzaNaona umejipa nafasi ya Dr Abbas humu Jf,acha umbea