Video: Dkt. Mpango arejea ofisini, apokelewa kwa bashasha

Achukue tahadhari zaidi.

Kuugua mara moja haimaanishi kua hiyo kitu haitamrudia, inaweza kumrudia yenye hao wadudu wabishi zaidi ikamletea shida zaidi.

Aliniacha hoi alipoita press huku akiwa na hali mbaya kabisa, mchovu, sijui alitaka kuprove nini kwa watu, haijulikani.

Dr. Mpango pole kwa kuugua, karibu upige kazi zako. Hope utaendelea kuwa mzima wa afya.
 
Hili lingekuwa pigo kubwa na la kutisha.

Ndio "utukufu wa Mungu...". Lakini...

Kwa hiyo yeye alisali sana na imani yake kwa Mungu iliwazidi wengine waliorudisha namba?

Sikubaliani na dhana hiyo.

Hongera Dr Mpango.
Maombi ni uhuni ama utapeli kama utapeli mwingine. Hakuna kitu kinachoitwa maombi kinaweza kumsaidia binadamu.
 
Screenshot_2021-03-02 cdc two masks - Google Search.png


Barakoa hazisaidii kiivyo.
 
Wakati na bahati hupata kila mmoja, ila neema ya Mungu hutupitisha mahali tusipo dhani tunapita!

Sifa na utukufu ni vyake yeye, sio kwamba mh anasali sana, sio kwamba anamjua Mungu sana, ni neema yake Mungu yeye kuwa mzima na kusudi la Mungu litimie!
 
Jambo linaloshangaza ni hili:

Kwa watu wanaojitambua kama yeye na wenzake kadhaa waliomo kwenye baraza la mawaziri; (hawa binafsi naweza kuwaorodhesha na ninawaheshimu kwa jinsi wanavyojiheshimu)...; kwa nini hawa waendelee kuwa na woga hata katika jambo lisilohitaji kuwa na woga?

Kwa nini huyu Mpango asingevaa barakoa hapo ofisini wakati anazungumza na huyo mama?

Naye anaogopa kukiuka maagizo ya mteuzi wake juu ya barakoa?

Hili linawashushia sana heshima zao.
 
Back
Top Bottom