Video: Dkt. Mpango arejea ofisini, apokelewa kwa bashasha

Kwahiyo kwa zile fikira za Lissu kwenye twitter yake zilizojaa maudhui ya chuki na visasi kwa CCM na wafuasi wake, ndo mnategemea sikumoja CCM itakubali aongoze hii nchi ? Kubalini kwamba wapinzani ntakuwepo sikuzote kwaajili ya kuongea na si kutawala.

Huo ujinga CCM haina, nyinyi kubalini kujipendekeza kama mlivyoanza Sasa hivi, eti oooh mama yetu, mwendo ni uleule,VP ni NDUGAI au BASHIRU.
Ikiwa tofauti tena utaficha wapi I'd yako?
 
Au bora tusiwe na VP abaki Samia Suluhu pekee yake halafu likitokea jambo baya bc tuingie kwenye uchaguzi
Kama katiba itabaki kuwa hii, CHADEMA haitawahi kutawala nchii hii. Ndiomaana wenzako wanakomalia katiba mpya.

Na kwa mwenendo roho zenu za visasi mnazoonyesha kule twitter mkiongozwa na viongozi wenu wa kitaifa kama Lissu, sidhani kama CCM itakuwa tayari kuwachongea barabara muingie kwenye utawala,maana usalama wao utakuwa ni mdogo sana.

Nyinyi bakini kuwa waongeaji na wakosoaji, au niamue kujipendekeza CCM kama mnavyofanya sasahivi,au mpenyeze watu wenu wakatawale wakiwa CCM kitu ambacho ni kigumu sana.

CHADEMA KUTAWALA HII NCHI NI NDOTO.
 
Kama katiba itabaki kuwa hii, CHADEMA haitawahi kutawala nchii hii. Ndiomaana wenzako wanakomalia katiba mpya.

Na kwa mwenendo roho zenu za visasi mnazoonyesha kule twitter mkiongozwa na viongozi wenu wa kitaifa kama Lissu, sidhani kama CCM itakuwa tayari kuwachongea barabara muingie kwenye utawala,maana usalama wao utakuwa ni mdogo sana.

Nyinyi bakini kuwa waongeaji na wakosoaji, au niamue kujipendekeza CCM kama mnavyofanya sasahivi,au mpenyeze watu wenu wakatawale wakiwa CCM kitu ambacho ni kigumu sana.

CHADEMA KUTAWALA HII NCHI NI NDOTO.
Naona umekurupuka ku-quote comment yangu bila kujua mwanzo nmeongea nn

Kwa ufupi mm ni ccm
 
Back
Top Bottom