Sera park
JF-Expert Member
- Feb 21, 2021
- 301
- 519
Ikiwa tofauti tena utaficha wapi I'd yako?Kwahiyo kwa zile fikira za Lissu kwenye twitter yake zilizojaa maudhui ya chuki na visasi kwa CCM na wafuasi wake, ndo mnategemea sikumoja CCM itakubali aongoze hii nchi ? Kubalini kwamba wapinzani ntakuwepo sikuzote kwaajili ya kuongea na si kutawala.
Huo ujinga CCM haina, nyinyi kubalini kujipendekeza kama mlivyoanza Sasa hivi, eti oooh mama yetu, mwendo ni uleule,VP ni NDUGAI au BASHIRU.