Kwa akili yako unadhani kinachoingia katika mwili kupitia mapafu ni nini? Hewa au Oksijeni? Kwa akili yako unadhani ukivaa barakoa unakuwa unavuta hewa iliyotoka kwenye mapafu ambayo haina oksijeni?Kupumua hewa hiyo hiyo iliyotoka ndani ya mwili wako ni mbaya zaidi.
Kila mtu ana siku yake ya kukutana na ukweli. Na wewe yako itafika na utaujua ukweli tu.Maombi ni uhuni ama utapeli kama utapeli mwingine. Hakuna kitu kinachoitwa maombi kinaweza kumsaidia binadamu.
Yesu kristo alisema mtaijua kweli nayo hiyo kweli itawaweka huru.Kila mtu ana siku yake ya kukutana na ukweli. Na wewe yako itafika na utaujua ukweli tu.
Hiyo uliyosema imetoka kwenye kitabu cha Yohana ambapo hapo hapo pia alisema mnaomkana Mungu mna Baba yenu.Yesu kristo alisema mtaijua kweli nayo hiyo kweli itawaweka huru.
Ukweli ni kua mambo ya mungu ni hadithi tu za kutunga.
Mbona sababu hiyo ya 'allergy' ndiyo yenyewe hasa ya kumfanya avae barakoa mkuu 'elvischirwa'?Asimamie ukweli kuwa Tanzania hakuna Korona ila yeye alipata maambukizo ya kupumua kutokana na aleji ya maua ya embe na hakuna sababu ya kuvaa barakoa.
Mungu ampe nguvu achape kazi
.
Kwenye magari zina madhara pia?Yeyote anayetumia AC maofisini, siyo nzuri kwenye COVID-19, Tumieni natural air
Tunasema hewa (air) kwasababu tunavuta za aina nyingi; kuna nitrogen (78%), oxygen (21%) na zingine zenye asilimia ndogo kama neon, carbon dioxide, hydrogen n.kKwa akili yako unadhani kinachoingia katika mwili kupitia mapafu ni nini? Hewa au Oksijeni? Kwa akili yako unadhani ukivaa barakoa unakuwa unavuta hewa iliyotoka kwenye mapafu ambayo haina oksijeni
Kwa nini hajavaa barakoa!
Hawa ni wasomi wenye akili safi kabisa na heshima hata nje ya nchi.
Wewe ni shetani ,mchawi ,mpumbavu .ungefanywa kama HerodeMaombi ni uhuni ama utapeli kama utapeli mwingine. Hakuna kitu kinachoitwa maombi kinaweza kumsaidia binadamu.
Wewe unavuta Nitrogen?Tunasema hewa (air) kwasababu tunavuta za aina nyingi; kuna nitrogen (78%), oxygen (21%) na zingine zenye asilimia ndogo kama neon, carbon dioxide, hydrogen n.k