UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 10,046
- 9,344
Ama kweli Mungu mkubwa, CHADEMA walitutangazia kabisa kuwa huyu jamaa keshakata kamba! Ahimidiwe mungu wa mbinguni anayejua kuwaumbua waongo, wanafiki, na wazandiki.Kama havai barakoa ikirudi tena inamzoa mwambieni huu ugonjwa unapenda vigogo.
Btw, wewe unacheka kovu, una uhakika kweli wewe huwezi kupata jeraha?