Watazuia mingapi wakati watu wanaona sifa kutochukua hatua?. Huu mwaka utaisha Kwa kuzika na tension za Kiserikali wakileta ujiwe.I heard kuna Msiba wa Minister umetokea but utakuwa released in few days a head after buried of Jp
Kati ya Mh Lissu na Mh Majaliwa nani Kilaza/Mzushi?? Image ya ccm iko kwa Chalamila (RC Mbeya)Si nasikia mlisema hata yule bodyguard wa aliekuwa mkulu amefariki kenya, tunasubiri mrejesho. Watu bwana, yaani sasahivi mmekaa mkiombea watu wafe, kwa hizo roho za kuiaji na kisasi hata CCM hawawezi kubali kuwapatia nchi kizembe, maana wanajua kabisa haitakuwa salama kwao. Chukulia mfano hoja za Lissu kule Twitter, nani mjinga aje ampe nchi?
Sasa huu ndo u$enge, bora mkuu wa majeshi awe VPIla nimesikia eti VP ni ndugai😁😁😁
Na mara 1000 magufuli angeongezewa tu miaka ya utawala ila siyo huyo mpuuzi🤣Sasa huu ndo u$enge, bora mkuu wa majeshi awe VP
Mmeanza tena, mnakera ninyi mfyuuuuuu!Ni siku sasa sijamuona Wazir wa Fedha Philipo Mpango , kwenye hizi amsha amsha za msiba sijamuona kabisa Wazir wa Fedha , pengine yupo na anahudhuria Ila Mimi binafs sijamuona ..... Kwa yeyote anayefahamu alipo anijuze ...moja ya mawaziri nao wakubali ..na namuombea awemo kwenye Baraza lijalo la mama Samia
Au bora tusiwe na VP abaki Samia Suluhu pekee yake halafu likitokea jambo baya bc tuingie kwenye uchaguziNa mara 1000 magufuli angeongezewa tu miaka ya utawala ila siyo huyo mpuuzi🤣
Ni mtu wa Kigoma , Ila mwl Nyerere alituasa tusiulizane makabila mkuu
Lowassa yupo wap
Masatu Masha wapo wapiMasatu 😃😃😃
Kwahiyo kwa zile fikira za Lissu kwenye twitter yake zilizojaa maudhui ya chuki na visasi kwa CCM na wafuasi wake, ndo mnategemea sikumoja CCM itakubali aongoze hii nchi ? Kubalini kwamba wapinzani ntakuwepo sikuzote kwaajili ya kuongea na si kutawala.Kati ya Mh Lissu na Mh Majaliwa nani Kilaza/Mzushi?? Image ya ccm iko kwa Chalamila (RC Mbeya)
Humu ndani watu ni wanga hatari walianza na wimbo wa tuonane paradiso, wakaanza mafumbo yao kwa utani utani tu na ikawa kweli🤭 Yale ya Jiwe yalianza hivihivi kama propaganda ila baadae yakawa uhalisia
Mpemba yupi tena umeniacha mbaliiYule Mpemba haibiwi kura, wote waliopita bila kupingwa wamepata upepo wa kisulisuli na wengine wanakufa bila kupingwa.
Mgombea mwenza wa Tundu LissuMp
Mpemba yupi tena umeniacha mbalii