Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,115
- 6,827
japo si kwa Nia ovu ila Naamini kila mnyarwanda anapigana vita dhidi ya tabaka zingine since level ya familia yaani kuna ile spirit kuwa hawa si wenzetu na tunapaswa kuwa juu Yao kuwaongoza na ni haki yetu wao kuwa chini yetu, kitu ambacho sie wabantu ama watu tabaka tofauti na yenu hatukijui ndio maana hatuna jitihada, morali, shauku ama Nia ya kujimbanua ktk kizazi chetu zaidi ya kuamini ktk hakuna shida tuu