Uliza chochote kuhusu Rwanda

Uliza chochote kuhusu Rwanda

Kupiga blash

Kwanini kule gikondo kuna eneo hamna umeme halafu kati kati ya mji? Tofauti gipoloso,kanombe,remera kinsiment, kimihururu, nyarugenge kule nyamirambo kwa waswahili
Hata huko ni yale yale. Mtaa mmoja utauona unawaka, mwingine ni hayo hayo. Ukisema mjini hakuna umeme,utakuwa unaongopa. Unaweza kukatika kwa jambo furani, japo umeme wa Rwanda, kukata dakika tano ni nadra sana
 
Hata huko ni yale yale. Mtaa mmoja utauona unawaka, mwingine ni hayo hayo. Ukisema mjini hakuna umeme,utakuwa unaongopa. Unaweza kukatika kwa jambo furani, japo umeme wa Rwanda, kukata dakika tano ni nadra sana
Huku wapi? Mimi nina uhakika mwambie Kagame awapeleke umeme pale ukweni kwangu Gikondo, si jirani zake pale na ikulu.
 
Huku wapi? Mimi nina uhakika mwambie Kagame awapeleke umeme pale ukweni kwangu Gikondo, si jirani zake pale na ikulu.
Sasa mkwe, asieweza hata kununulia wakwe zake Sola, akabaki wa kulalamika mitandaoni, mke atamhudumia?
 
Kiswahili cha darasani, ni tofauti sana na cha kuongea. Hivyo, mwalimu wa kiswahili Rwanda, akifika Tanzania anaweza akapotea na asiweze kupata huduma yoyote.
😁 Kiswahili gani hicho mnafundishana huko mkuu?

Au nanyi mnakaririshana vishazi na virai? Maana sisi hivyo vidude huwa tunaviacha hukohuko darasani mtaani hatuna kazi navyo
 
😁 Kiswahili gani hicho mnafundishana huko mkuu?

Au nanyi mnakaririshana vishazi na virai? Maana sisi hivyo vidude huwa tunaviacha hukohuko darasani mtaani hatuna kazi navyo
Elimu za kimasikini zipo kila kona. Ukifundishwa na mtu aliefundishwa, mnajazana ujinga tu. Somo lolote lisilo na practice, ni zero. Na unajua lugha ni ngumu kama huitumii, unaishia nyakati na misamiati. Kwa Rwanda,ukiwa mtanzania na umesomea ualimu, kupata chance ya kufundisha kiswahili ni kugusa tu.
 
Hiyo ndiyo excuse yenu ya kibwege. Yeye ana biashara gani sokoni Kariakoo mpaka awe FRONT?
Kwani kila mwanaharakati mpaka awe mhanga wa moja kwa moja ktk harakati husika?? au wale wanao kitambaa cha u captain cha upinde pale EPL kuunga watu wa aina hiyo kuwa nao pia huwa ni ma gay??? Shida una type kwa kutumia wino wa mavi kichwani na akili za kuokoteza jaribu kuifichia aibu familia yenu japo kidogo, sio kila mtu anaunga jambo fulani ni mpaka awe mhanga, au kila mtu kwenda msibani mpaka nae awe amekufa si ndio… pumbavu kabisa wewe
 
Kwani kila mwanaharakati mpaka awe mhanga wa moja kwa moja ktk harakati husika?? au wale wanao kitambaa cha u captain cha upinde pale EPL kuunga watu wa aina hiyo kuwa nao pia huwa ni ma gay??? Shida una type kwa kutumia wino wa mavi kichwani na akili za kuokoteza jaribu kuifichia aibu familia yenu japo kidogo, sio kila mtu anaunga jambo fulani ni mpaka awe mhanga, au kila mtu kwenda msibani mpaka nae awe amekufa si ndio… pumbavu kabisa wewe
Kumbe Bulaya001 unapakuliwa na wanaume?? Naona unaleta hoja za LGBT hapa kuhalalisha starehe yako.

Beki wa Manchester United siku mechi na Everton, Mazraoui alikataa kuvaa hiyo arm band yenu ya ushoga na hawakumfanya lolote
Screenshot_20250325_134759_Chrome.jpg
 
Vipi mtazamo wako. Kati ya Kigali na Dar es Salaam jiji lipi linavutia zaidi na kwa sababu zipi?
 
Vipi mtazamo wako. Kati ya Kigali na Dar es Salaam jiji lipi linavutia zaidi na kwa sababu zipi?
Samahani kwa kauli ntakayoitumia lakini: unalinganishaje kata na bara?

Kitu kilichopo Kigali, ni usafi, ustaarabu barabarani, uhakika wa usalama wa raia na mali zao tu. Ukiibiwa, we ripoti tu, mengine achia vyombo vya dola, mali yako, kama una vielelezo, haitapotea.

Lakini, kuanzia vyakula, mavazi, kodi, usafiri, kila kitu mpo juu. Mtu akijisikia ka ndinga anamiliki, kesho anauza anabadilisha. kaa Kigali sasa. Kwa kifupi, Kigali nenda kula hela, siyo pa kutafutia.
 
Mkuu vip nikioa mwanamke wa rwanda, kuna process gan nitatakiwa kuzifanya ili aje aishi tz bila bugudha?
tukianzia pale mpakan anapitaje au hadi akatiwe visa? Tracy Chapman
 
Back
Top Bottom