-Kuna vitu vya viwanda vya ndani, kama maziwa, juice,beer, Liquors,..........
-Vingine imported, hapo ndo sijajua wanaleta kutoka nchi mbalimbali.
Nachokichua tu ni kwamba, RSB(sawa na TBS), wapo makiini sana,sana. Ukiona kitu kipo sokoni, Rwanda, hata nchi zinazoitwa zimeendelea, kina soko la uhakika.
Kingine, ni export ya matunda. Matunda wanapeleka nje sana, tena sana. Ukijua njia wanazotumia(vibari vinavyotumika) na vigezo vya vinavyopelekwa, nadhani ni fursa nyingine. Parachichi mnazosagia juice, wenyewe UAE na Uraya wanauza kwa kilo, na bei ya kilo, ni hela unayotoa kijiji kizima