Uliza chochote kuhusu Rwanda

Uliza chochote kuhusu Rwanda

We niambie mimi nikutumie mpaka pcha na nafasi zao acha blah blah mingi. Swali la pili unajua kikundi cha kitutsi cha ikotany kimeua wahutu wengi kuliko watutsi waliouawa kwenye ile genocide?
Hizo picha sidhani kama sina cha kufanya, kwa sababu wanyarwanda wanachokiangalia ni umhimu wa fulani kwenye nafasi aliyo nayo.
Mtutsi anayesimamia haki, na mhutu anaesimamia wazo la kuua watutsi. Bora nani?

Hao inkotanyi, wawalipe tabasamu wauwaji?
 
Nakataa, kigali kubwa karibia Mwanza, kahama bado sana kuilinganisha na chigali kwa miundombinu mpaka idadi ya watu
Sijui umemaanisha ukubwa gani. Je, Kigali inaanzia wapi, inaishia wapi? Mfano, Mwanza, unajua kutoka Buhongwa, mpaka Kisesa, kuna umbali gani? Hapo ni mjini kati. Maana nikiongelea nje, ntaanzia Usagala, nyuma ya Kisesa sijui mji kwa sasa umefika wapi!
 
Shauku hiyo tunaiona kwa wanyarwanda wengi kuwa mapandikizi hasa Tz, wanaanza na nyazifa za chini kabisa kama wenyeviti wa vijiji ama kuwa viongozi wa chama (CCM) ngazi za kijiji kisha kupanda taratibu hadi kufikia ngazi za juu mfano (naibu waziri mkuu) inasemekana ni mtu wenu,

Kipi kinapelekea watu wenye ASILI ya Rwanda kujichukulia maeneo na nyazifa nyingi Tz kuliko wa Tz kufanya hivyo huko Rwanda ama ndio Tz ishakuwa shamba la bibi maana kuna idadi kubwa ya wanyarwanda maeneo mengi hasa mipakani japo kuishi kwao Tz kitu kibaya Ila uwepo wao kwa wingi wa kuogofya unatia shaka miaka ya usoni kuwa kutakuwa na agenda nyuma ya pazia zaidi kuwa kuna kitu mnakitaka zaidi ndio maana hamchoki kujipenyeza na kuvuta ndugu na jamaa kujitwalia maeneo mengi bongo hii… NA karibu tuu kuwaza!!
Tatizo ulilo nalo halina tofauti na kinachoendelea mashariki mwa Congo.

Je, ni nini hasa kinachopelekea kudai kwamba ni wanyarwanda? Unamaanisha uongozi wa nchi yako ni dhaifu kiasi cha kuruhusu hayo? Kwa kifupi, uhamiaji, usalama wa taifa, hawajui wanachokifanya?

Ebu weka akiba ya maneno, nchi haingozwi kama serikali ya mtaa.

Uwepo wao pengine, kama hawana madhala kiusalama, nilihisi ungekuwa faida ya ziada. Wanapolima, wateja ni watanzania. Kila kinachofanyika, ni kwa manufaa ya nchi.

Je, wasiwasi wako, ni kwamba na wao wanapata chance ya maisha?
 
Kuna tofauti gani kati ya wahima na watusi?Kingine nikija Kigali sehemu zipi napata watusi wa kwenda hawa wa Benako wamenichosha
Hahahahahahaha, wahima ni jina wanalopewa wanaoitwa watutsi kwa sasa wapo Uganda. Kama ilivyo, kwa Wanyamlenge, ambao ni wale waliopo DRC.

Watutsi wa kwenda nao, umechoshwa na hao wa Benaco!!! Wale unaochoka nao, ni kwamba hujaamua unataka nini, kwa hiyo, Benaco kwa starehe, hata Kigali ukienda kwa starehe, watakuchosha
 
Tatizo ulilo nalo halina tofauti na kinachoendelea mashariki mwa Congo.

Je, ni nini hasa kinachopelekea kudai kwamba ni wanyarwanda? Unamaanisha uongozi wa nchi yako ni dhaifu kiasi cha kuruhusu hayo? Kwa kifupi, uhamiaji, usalama wa taifa, hawajui wanachokifanya?

Ebu weka akiba ya maneno, nchi haingozwi kama serikali ya mtaa.

Uwepo wao pengine, kama hawana madhala kiusalama, nilihisi ungekuwa faida ya ziada. Wanapolima, wateja ni watanzania. Kila kinachofanyika, ni kwa manufaa ya nchi.

Je, wasiwasi wako, ni kwamba na wao wanapata chance ya maisha?
Hope hujajibu why wanyarwanda kuingia na kuishi Tz ni rahisi si kama mTz kuingia Rwanda na kujitwalia maeneo simply???
 
Hahahahahahaha, wahima ni jina wanalopewa wanaoitwa watutsi kwa sasa wapo Uganda. Kama ilivyo, kwa Wanyamlenge, ambao ni wale waliopo DRC.

Watutsi wa kwenda nao, umechoshwa na hao wa Benaco!!! Wale unaochoka nao, ni kwamba hujaamua unataka nini, kwa hiyo, Benaco kwa starehe, hata Kigali ukienda kwa starehe, watakuchosha
Sema wahima ni wengi hili pori la Nyaishozi mpaka Benaco mbona wao ngozi za soft sana tofauti na watusi wengine nao wajua.Wahima wa Uganda mitaa ya Isingiro,mbarara si ndio wanyankole sio?

Sema vipi nipe list ya club nzuri kigali japo jamaa yangu alinitisha kwamba ukiwa Kigali vijana wengi wa Mr Tall wamejaa kwahiyo chunga sana ni kweli?
 
Watanzania mna raha sana, na mna bahati nyingi mnazochezea.

Maisha si rahisi kama kwenu.

Uhalisia, ni kwamba Rwanda ni nchi ambayo inajitafuta, ukizingatia mauaji dhidi ya watutsi, mwaka 1994, yamefuta nchi na kuanza upya.

Mwaka 1994, Rwanda ilikuwa na wakazi si zaidi ya milioni 7.
Baada ya vita, wakimbizi wengi warirudi.
Ina maana hawakuwa na pa kushika, mbali na ardhi iliyopo. Kilichofanyika, ni serikali kuweka chini na kugawanya ardhi hiyo familia zote.
Nijambo lililofanikiwa kwa asilimia hata 95, 5 nyingine ikiwa wengine hawakufurahia kunyang'anywa ardhi yao.
Umejibu vizuri

Kwa nini Rwanda kuepuka hilo tatizo kwa nini haikuongea na nchi jirani zake wawachukue hao wakimbizi wa Rwanda wawape uraia kama ilivyofanya Burundi kuongea na Tanzania na Tanzania ikakubali kuwapa uraia wakimbizi wa Burundi 250,000 na kuwapa vitambulisho vya taifa ili wawe raia wa Tanzania?
 
Swali kumaliza ukabila Rwanda ili yasijirudie ya Genocide Rwanda imechukua hatua zipi kuhakikisha ukabila hauna nafasi Rwanda?
 
Hahahahahaha we nae msenge sasa.

Kimila: hilo ni vazi la kile kituo. Wazazi wa zamani, walijua heshima ya mme ni ile. Hivyo,ilikuwa lazima kila mwanamke kumteka akili mme wake, hizo atena ziwepo. Zina raha yake asikwambie mtu mzee. Labda usiwe mwana habari wa kueleweka
asante kunijuza,bado wanarefusha antena au walishaacha haka ka utaratibu
 
Una chochote unachojiuliza kuhusu Rwanda?

Una chochote unachotaka kujua kiundani zaidi?

Una chochote ulichokisikia na bado umebaki njia panda!!

Iwe jambo la maana, iwe utani, iwe siasa, chochote, uliza utajibiwa hapa hapa.

1. Ni nani ambaye pengine anaandaliwa kumrithi Mr. Tall, akiondoka madarakani?

2. Mfumo wa elimu ya Rwanda ukoje? Kuanzia msingi mpaka vyuo.


3. Mfumo wa matibabu ukoje, huduma za afya zinapatikana kwa urahisi?
Watu wengi wanatumia bima ya afya?
Je serikali inagharamia matibabu kwa baadhi ya makundi ya watu?

4. Rwanda mnachimba madini gani hasa?

5. Kwa nini unasema Rwanda ni masikini wakati mmewekeza mpaka kwenye baadhi ya vilabu vya mpira ulaya (Arsenal, PSG nk..)?

6. Vipi huko Rwanda umeme ni tatizo kubwa? Kuna mgao wa umeme? Vijiji vyote vina umeme?

7. Je huko pia kuna machawa? 😂

Ahsante sana!
 
Back
Top Bottom