Uliza chochote kuhusu Rwanda

Uliza chochote kuhusu Rwanda

Majeshi ya Tanzania yanahusikaje sasa na hiyo taarifa ya M23 kuufikia mji wa Walikale? Wewe akili zako ziko matakoni tu

Umesahau walipokuwa wanasema kunguru apigwe wakimaanisha M23. Sasa wao na FDLR ndio wanapigwa.
 
Unaandika upumbavu tu kwa vile na wewe ni Mnyarwanda. Kitu pekee anachojivunia Paul Kagame ni sympathy ya dunia dhidi ya genocide ya 1994.

Dunia inamhurumia, period. Mwakibolwa mwaka 2013 wakati wa KIKWETTE aliwasha moto na Kagame anaujua

Hivi ilikuwa ni Kagame au M23. Kagame hamumuwezi hata kidogo. Nyie endeleeni kuwateka akina Soka.
 
Tanzania ipi? Hii ya jeshi kuambiwa isimamie uchaguzi. Punguza utani.
Hukumbuki tuliwasambaratisha m23 aka Rwanda army mpaka Rais wao paka akaanza kulialia?Tanzania ikiamua wiki tu wanajeshi wetu wanakunywa chai hapo ikulu yenu.mnaionea DRC kwa sababu ni failed state.
 
kabisaa kiukweli tangu lile tukio la 1994 hyo nchi siitamani
Hahahahahahahaha kwa hiyo, unahisi bado yale yale? Je, ungekumbwa nalo sasa si ungejinyonga? Nakuhakikishia hakuna sehemu salama na nzuri ya kutembelea kama unataka kurelax kama ile
 
Kitu gani cha kawaida kujadiliwa na raia lakin serikali haipendi kuona likijadiliwa?
Mambo gani matatu ambayo serikali ya rwanda ni dhaifu kwayo?
Tabia gani mbaya ambayo wanyarwanda wamezifanya kama tamadun, kama watz walivyo machawa chawa, waongo waongo na wapenda rushwa???
 
Hiyo ndiyo excuse yenu ya kibwege. Yeye ana biashara gani sokoni Kariakoo mpaka awe FRONT?
alitumia account yake kuupa airtime ule mgomo, ukifuatilia kwa umakini watekwaji wengi wanatekwa kwa visababu vidogo mno, kuliko uhalisia mfano sababu ya Russia kuivamia Ukraine haindenani na mauaji yanayoendelea…
 
Kwa nini Magu alilindwa na wanajeshi wa Rwanda ? Kwa nini M23 ameteka mji mwingine na dunia nzima hakuna wanachofanya ? Baada ya Rais Filipe Nyusi kuja kuomba msaada . Kwa nini JWTZ ilishindwa kwenda msumbiji na kuangamiza magaidi waliowaua watanzania huko ? Amka usingizini hatuna jeshi na Rwanda ikiamua inachukua nchi nzima.
Kama kweli magu alilindwa na wanyarwanda ktk ardhi ya tz hilo sio kosa la JWTZ. Nikama raisi kuvuta bhangi anapokuwa kwenye vikao nyeti vyq maamuzi hiyo ni hulka ila ina madhara kwa taifa husika au kwa kiongoz husika.
 
Sisi watanzania hususani wakazi wa mikoa ya Kanda ya ziwa huwa tuna positive attitude kwa Wanyarwanda kwa sababu ya kuwa na the same background ya wakazi wote wa mikoa tajwa na Wanyarwanda ndiyo maana Kuna Wanyarwanda wanaishi Tanzania bila shida, je, Wanyarwanda wanamtazamo Gani dhidi ya Watanzania?
 
Back
Top Bottom