Ukweli kuhusu sakata la Bandari na mkataba mbovu; Wananchi wamewaelewa CHADEMA kuliko CCM. Kila kona wananchi wanasema Mama anauza Tanganyika

Stop that shits,watu walioko busy kwenye mitandao kuhusiana na masuala ya siasa hawafikii asilimia 5 ya watumiaji wa Simu za kuparaza,tu wachache mno!,wengi au 95%of users wako na mambo mengine kabisa!,kama insta,udaku,umbea and likes! Hapa pana 60%.
Kama una akili timamu nenda kwenye vijiwe vya boda boda, mama lishe na baba lishe, walimu, maafande n.k Sikiliza maongezi yao. Dont be shit
 
Sijajua nini shida mpaka CCM wameshindwa kutoa elimu na kuwahakikishia kama kama kweli mkataba sio mbovu.

Lakini Chadema kupitia Tundu Lissu walikuwa wanafafanua ibara mbovu zisizofaa


Majaji watatu huko Mbeya High court wamekiri kuwa mkataba ni mbovu kwa baadhi ya vipengele ila vinarekebishika


Kila kona , Mama anauza Tanganyika
Ni kweli Mama Abdul anauza Tanganyika tena kwa bei poa.
 
Sijajua nini shida mpaka CCM wameshindwa kutoa elimu na kuwahakikishia kama kama kweli mkataba sio mbovu.

Lakini Chadema kupitia Tundu Lissu walikuwa wanafafanua ibara mbovu zisizofaa


Majaji watatu huko Mbeya High court wamekiri kuwa mkataba ni mbovu kwa baadhi ya vipengele ila vinarekebishika


Kila kona , Mama anauza Tanganyika
Leo umeweka mahaba pembeni.. Mnaanza kuuona ukweli sasa.. Jitahidini chukueni muda muwaelimishe na wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kuna kitu nakiona sana ktk mitandao kuhusu mtu anaeitwa ABDUL;
Huyu ni nani?
Anafanya taasisi gani?
Ni mtoto wa wakubwa au?
 
Sijajua nini shida mpaka CCM wameshindwa kutoa elimu na kuwahakikishia kama kama kweli mkataba sio mbovu.

Lakini Chadema kupitia Tundu Lissu walikuwa wanafafanua ibara mbovu zisizofaa


Majaji watatu huko Mbeya High court wamekiri kuwa mkataba ni mbovu kwa baadhi ya vipengele ila vinarekebishika


Kila kona , Mama anauza Tanganyika
Unajitekenya huku unacheka mwenyewe Hakuna mwananchi anayetaki ujinga wa uvunjifu wa amani
1.Watu wana ndugu wagonjwa wako mahospital.
2.Wazee
3.Wanawake
4.Watoto
5.Wajawazito
Hawa wanaoleta vurugu wasiwache,wapelekewe moto,mpaka watie akili.Mwalimu Nyerere hakuwachekea wavunja amani.
 
Unajitekenya huku unacheka mwenyewe Hakuna mwananchi anayetaki ujinga wa uvunjifu wa amani
1.Watu wana ndugu wagonjwa wako mahospital.
2.Wazee
3.Wanawake
4.Watoto
5.Wajawazito
Hawa wanaoleta vurugu wasiwache,wapelekewe moto,mpaka watie akili.Mwalimu Nyerere hakuwachekea wavunja amani.
Nani kavunja amani na wapi?
 
Kosa la Tanzania na watanzania ni kudhani wanajua chochote kumbe watupu kabisa vichwani yaani madebe matupu yasiyoacha kupiga makelele muda wote.

Mkataba wa DP World ni wa kimataifa umeingia bungeni kwa vigezo vya Vienna ambavyo ni vya kimataifa huwezi kutafuta tafsiri yake ya kisheria ndani ya mahakama zetu za ndani.

Wanasheria wetu wazalendo wamepoteza muda mwingi kule Mbeya wakishindwa kutofautisha mipaka ya mahakama zetu kwenye suala zima la kuutafsiri mkataba wa kimataifa. wote huu ni ujuaji wa kipuuzi tu.

Unaposema anauza Tanganyika bila ya kuja na ushahidi wowote wa mauzo hayo, bila kuja na ushahidi wowote wa biashara kwa maana pana zaidi unapoteza muda tu. Na ukipewa kesi ya uchochezi au uhaini usije kuzilaumu mamlaka.
Sina hakika kama nitakuwa naelekea kukuelewa au mimi ndiye bure kabisa.

Kwa hiyo Mkataba ukiwa na vigezo vya Viena ndio usiweze kuwa na maslahi ya nchi husika utakamo fanyiwa kazi?
 
Sijajua nini shida mpaka CCM wameshindwa kutoa elimu na kuwahakikishia kama kama kweli mkataba sio mbovu.

Lakini Chadema kupitia Tundu Lissu walikuwa wanafafanua ibara mbovu zisizofaa


Majaji watatu huko Mbeya High court wamekiri kuwa mkataba ni mbovu kwa baadhi ya vipengele ila vinarekebishika


Kila kona , Mama anauza Tanganyika
Sukuma gang acha kupoteza mda,kiki imebuma wanaotakiwa kusema ni wafanyabiashara sio kenge wa aina nyingine yeyote
 
Kosa la Tanzania na watanzania ni kudhani wanajua chochote kumbe watupu kabisa vichwani yaani madebe matupu yasiyoacha kupiga makelele muda wote.

Mkataba wa DP World ni wa kimataifa umeingia bungeni kwa vigezo vya Vienna ambavyo ni vya kimataifa huwezi kutafuta tafsiri yake ya kisheria ndani ya mahakama zetu za ndani.

Wanasheria wetu wazalendo wamepoteza muda mwingi kule Mbeya wakishindwa kutofautisha mipaka ya mahakama zetu kwenye suala zima la kuutafsiri mkataba wa kimataifa. wote huu ni ujuaji wa kipuuzi tu.

Unaposema anauza Tanganyika bila ya kuja na ushahidi wowote wa mauzo hayo, bila kuja na ushahidi wowote wa biashara kwa maana pana zaidi unapoteza muda tu. Na ukipewa kesi ya uchochezi au uhaini usije kuzilaumu mamlaka.
Wewe ndio unaletewa ushoga kwa vingele vya kimataifa sasa utakubali ugeuzwe ili vingele vikamilike
 
Back
Top Bottom