Babalao hii nimeipenda, japo New Mzalendo tuamepewa nafasi ya kukuona na kupata ushauri lakini anytime T tarajia pia simu yangu. Pamoja na mambo mengine nitape=nda kujua kama vifaranga unazalisha mwenyewe kwa maana kwamba unayzo mashine(incubators), au kama wajua incubator nzuri ni zipi na kama unayo/unazo contact zao.
 
Huwa najiuliza, hili jamvi ni la kutuma hoja nzito au pumba? Hv kweli unapoteza mda wako kutuma ujumbe kwenye jf the home of great thinkers kuwa unatafuta kuku wa kienyeji!!! Embu acha utani ww.

Pole sana, naona umepotea njia, hapa si mahala pako. Wenzako wenye kujifunza mambo ya biashara hapa ndio mahala pake, na wengi wamenufaika sana na upeo wa wenye uzoefu hapa.
 
Hii thread nimeipenda sana kwani na mimi nilikua na mpango wa kufuga kuku wa kienyeji wafike 1000. ila tatizo langu likua hivi. Hawa kuku wanaweza kukaa ndani ya banda bila kutoka nje kwenda kujitafutia chakula maisha yao yote? maana kule kwetu kijijini tumezoea tunawafungulia wanatoka wanaenda kujitafutia chakula na kurudi jion wenyewe bandani
 
nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji,bado sija survey soko la kuku wa kienyeji likoje,
kama kuna mtu mwenye uzoefu na hili anishauri ,pros and cons etc.
bye the way nimeanza na Jogoo mmoja,ila natarajia kuongeza kuku within a week,
projections ni kuwa na kuku 1000,hapo ndio nianze kuuza,matarajio yangu ni kuuza via interent-hapa nalenga watu wa DAR,ambao wako bize,i can do delivery maofisini within city center,na baadae kuweka vituo vya kufanya pickup wakati watu wanarudi home jioni,e.g mwenge junction,morroco petrol station,etc,malipo via M-pesa,sms banking pia na mahoteli.
sitarajii faida ya haraka ,naomba ushauri kwa wale walifanya biashara hii,au wanajua mtu wa karibu aliyeifanya.

Mkuu wazo zuri sana, kuhusu soko wala usiwe na wasiwasi hawa kuku wa kienyeji ni hot cake. Nakushauri tu ili uongeze production jaribu kutafuta machine ya kuangulia mayai - then anza kununua mayai aina ya kongoni ( kuku weusi wanapatikana sana Songea) weka kwenye machine yako, after 21 days vifaranga vinaanguliwa. vitunze vizuri na vipe chanjo ili visije pata maradhi yanayoepukika.

Unaweza kuwa unapata vifaranga 200 kila baada ya siku 21 kutokana na ukubwa wa machine, by doing that lazima ufikie malengo yako ya kuku 1000 ndani ya mwaka mmoja.

Ndani ya miezi sita ya project yako pia utaanza kupata mayai ambayo utaweka kwenye machine ya yanayobaki utayauza - tray moja ni sh. 9,000 hadi 12,000.

Mafanikio mema mkubwa. - Kuhusu machine ya kuangulia mayai jaribu kufika pale VETA section ya Umeme Mdogo. (Electronics), Kuna siku ulini PM, ila sikuwa arround - nitakujibu.
 
Habarini wana JF, nina furaha kuwataarifu wanajamvi hasa wale wapenzi wa jukwaa la uchumi kuwa nilianza mazoezi ya mradi ambao ulitambulishwa na mwanajamvi mwenzetu GAZETI kwa title ya je unataka kuwa tajiri. Ukweli ni kwamba mradi unaendelea vizuri sana na unaleta matumaini makubwa tena zaidi ya vile alivyokadiria muheshimiwa gazeti. Kwa wale ambao hawakubahatika kuisoma post hiyo wafanye hima kuisoma kwani njia alizofundisha ndizo ninazotumia nimeongeza utaalamu kidogo tu kutoka kwa mshauri wa Kilimo. Kwa wale ambao hawakubahatika kusoma mwongozo huo wafungue hapa https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/113459-unataka-kuwa-tajiri.html
 
Asante sana, hii itatusaidia sana. Kama hutajali naomba namba yako unaweza kuni pm, nadhani nina mambo mengi ya kukuuliza kabla ya kuanza mradi huu.
 
Hii thread nimeipenda sana kwani na mimi nilikua na mpango wa kufuga kuku wa kienyeji wafike 1000. ila tatizo langu likua hivi. Hawa kuku wanaweza kukaa ndani ya banda bila kutoka nje kwenda kujitafutia chakula maisha yao yote? maana kule kwetu kijijini tumezoea tunawafungulia wanatoka wanaenda kujitafutia chakula na kurudi jion wenyewe bandani

Kuna kampuni iliitwa MUVEK wako pale Kiko avenue dar sijui kama bado wapo ila walikuwa na project kama hii na soko pia wanakuwa nalo. Jaribu kuwasiliana nao.
 
Asante sana, hii itatusaidia sana. Kama hutajali naomba namba yako unaweza kuni pm, nadhani nina mambo mengi ya kukuuliza kabla ya kuanza mradi huu.

i see na mie naanza mradi wa kuku mwezi wa sita Newmzalendo hebu nipe update yako iko vip mpaka sasa kimafanikio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom