1ndazMaterial
Senior Member
- Oct 4, 2018
- 161
- 174
Hlw Habari wakuu,
Naitwa khalfan ni mkaz wa Mkoa wa simiyu mjini bariadi,
Nawaza kuanza biashara ya kukusanya kuku vijijin na kuwatafutia soko mwanza kwenye mahotel makubwa.
Shida connection ndio sijui naipataje Ila nishaandaa mtaji wangu wa shl laki 5, nawaza nikipata tu connection niende bush kulangua kuku hao then niwapelek moja kwa mmoja sehemu ambapo tawauziia basi naombeni msaada wenu wa connection ni hayo tu.
SHUKRN
Naitwa khalfan ni mkaz wa Mkoa wa simiyu mjini bariadi,
Nawaza kuanza biashara ya kukusanya kuku vijijin na kuwatafutia soko mwanza kwenye mahotel makubwa.
Shida connection ndio sijui naipataje Ila nishaandaa mtaji wangu wa shl laki 5, nawaza nikipata tu connection niende bush kulangua kuku hao then niwapelek moja kwa mmoja sehemu ambapo tawauziia basi naombeni msaada wenu wa connection ni hayo tu.
SHUKRN