Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Ndio maana mpaka leo naipenda Facebook na ig kitambo ublock lazima uwe na vielelezo vya maana
Mod wana roho mbaya sana,mi nshalisaka sana bila mafanikioMods hapa ndiyo huwa nawashangaa.
Hilo jukwaa la wakubwa, ni wakubwa wa miaka mingapi wanahitajika?
Inamaana mimi na miaka yangu 30 sijafaa kuwa huko?
Naamini asilimia kubwa ke watakuwa huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu sio comando kweli!!?...mbunye imekula milage,battle hardennedHii ndo ilisababisha uondolewe, naunga mkono hoja.
Nenda jukwaa La wakubwa... Si mlikuwa mnatuma za uchi?!!
Mpak page ya 100+ Uzi ulikuwa fresh tu aliyekuja kuharibu huo Uzi ni Behaviourist, akafungulia mlango kwa madogo wengine kutupia picha za utupu..Uzi ukapigwa ban, naskia hata jukwaa la wakubwa haupo umefutwa kabisa
Jinsi ya kujiunga jukwa la wakubwa unafanyaje mkuu
Wasiliana na Moderator au Paw waombe wakupe accessJinsi ya kujiunga jukwa la wakubwa unafanyaje mkuu
Asante mkuu
Ni invisible forum till to apply 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Hii ndo ilisababisha uondolewe, naunga mkono hoja.
Sharti lakwanza usiwe umewahi kupigwa ban,Nisaidie namna ya kwenda huko mkuu, nshajarib nkashindwa, kuna masharti gan ya kujiunga uko
Sent using Jamii Forums mobile app
HaaahaaahaaaahaaaahaaahaaahaaaahSharti lakwanza usiwe umewahi kupigwa ban,
lapili uwe jf zaidi ya miaka 50,
Latatu usiwe mtumiaji wa sim aina ya tecno maana unaweza ukaiweka bahati mbaya mfukoni kumbe imefungua jf app nakuanza kututusi huku watu wazima
nafikiri nimejibu vyema
Sent using Jamii Forums mobile app