Nisaidie namna ya kwenda huko mkuu, nshajarib nkashindwa, kuna masharti gan ya kujiunga uko

Sent using Jamii Forums mobile app
Sharti lakwanza usiwe umewahi kupigwa ban,
lapili uwe jf zaidi ya miaka 50,
Latatu usiwe mtumiaji wa sim aina ya tecno maana unaweza ukaiweka bahati mbaya mfukoni kumbe imefungua jf app nakuanza kututusi huku watu wazima
nafikiri nimejibu vyema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwenye picha za madem wakali atupie watu wampe credit
 

Attachments

  • FB_IMG_1552342935900.jpg
    FB_IMG_1552342935900.jpg
    30.7 KB · Views: 279
Back
Top Bottom