Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,701
- 218,228
Unauliza maswali ya kijinga sana !Kwa hiyo kesho kwenye kikao cha kutangaza mandamano atakuwepo?
Unauliza maswali ya kijinga sana !Kwa hiyo kesho kwenye kikao cha kutangaza mandamano atakuwepo?
Mungu awalipe mnachostahili kwa kushiriki dhulma hii!Huamini nn sasa. Asitangaze matokeo?
Waandamane kwa lipi wakati watz wameamua wenyewe kumnyoosha kibaraka? Na kuna tetezi ameshakimbia nchini!
Mkuu, ina maana humo ndani ya chama hamkujua kabisa, angalau hata kuhisi tu kwamba kimbunga cha kamanda JPM kitawafagia? Au mlijua, lakini kwa huku nje mnajibalaguza ili mfe kisabuni?!unakubaliana na huo upuuzi
Mizuzu ni ile inayosherekea ushindi huu wa wizi, hawa ni zaidi ya mazuzu!Lissu anaugulia maumivu tu huko aliko. Ha ha ha ha ha ah ha ha ha haaaaaaa
Kwi 😂 kwi 😂 kwi 😂Unauliza maswali ya kijinga sana !
Lissu anaugulia maumivu tu huko aliko. Ha ha ha ha ha ah ha ha ha haaaaaaa
Ni Rais wetu mimi na Watanzania milioni 12,516,252 waliomchagua kwa niaba ya Watanzania wengine mil 60.Sema Rais wako.. wetu ? Wewe na nani?
Uchaguzi umekamilika kwa rais na wabunge pia na madiwani kutangazwa japo dosari nyingi zinaonesha uchaguzi ulikosa fairness na transparent kiukweli naumizwa sana na watu wanaoleta ushabiki kwenye mambo yanayogusa maisha moja kwa moja sasa wapinzani bungeni hakuna na waliopo wapo kuitetea serikali zaidi kuliko wananchi ni muda wa kuisoma number we reap what we sow.
Jaji mstaafu Kaijige kapata wakati mgumu sana. Basi tu viapo, ninaimani atatubu kabla ya mauti.Asilimia 80+ aisee hii kali.
If wishes were horses, tungekuwa wote.Magufuli atakufa kabla ya 2025.
Nimeamini kura za Lissu zilikuwa zinapunguzwa.Asilimia ngapi vile
Watakwambia waliona wanaLindi na Mtwara ni kambi yao hivyo hakukuwa na haja kufanya kampeni.Hata JK hakupata kura hizo.. Lindi na Mtwara hawajapiga kampeni na wamepata kura zote.