Trump ametumia saa mbili tu kukifanya kitu kilichomshinda Putin kwa miaka 3

Trump ametumia saa mbili tu kukifanya kitu kilichomshinda Putin kwa miaka 3

Mnyenz

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
4,843
Reaction score
13,120
Zelensky ana akili kubwa sana, ni vile tu hana resources!!!

Putin alishafanya majaribio mengi sana ya kumteka Zele lakini wapiii

Kwenye kitengo cha utekaji mrusi kazidiwa mpaka na wasiojulikana

Trump anairudisha ile marekani ya kwenye TV na muvi za kijasusi.

Imagine unakuja kukamatwa chumbani kwako ukiwa umelala na mkeo, dharau kiasi gani?
 
Zelensky ana akili kubwa sana, ni vile tu hana resources!!!

Putin alishafanya majaribio mengi sana ya kumteka Zele.

Trump anairudisha ile marekani ya kwenye TV na muvi za kijasusi.

Imagine unakuja kukamatwa chumbani kwako ukiwa umelala na mkeo, dharau kiasi gani?
Kwamba unajizama data kuwa Ukraine iko supported na NATO mwanzon mwa vita , na sasa bado inasapotiwa kimifumo ya ulinz ,

Lakn Russian ajafeli kumuua bali aliobwa asimuue
 
Zelensky ana akili kubwa sana, ni vile tu hana resources!!!

Putin alishafanya majaribio mengi sana ya kumteka Zele.

Trump anairudisha ile marekani ya kwenye TV na muvi za kijasusi.

Imagine unakuja kukamatwa chumbani kwako ukiwa umelala na mkeo, dharau kiasi gani?

TATIZO UNA ANDIKA KAMA MSHABIKI WA SIMBA/YANGA, WAKATI HUFAHAMU NGUVU YA KIJESHI YA VENEZUALA VS UKRAIN.
Ujue Ukrain ilikuwa ni jimbo la Urusi lenye nguvu na maendeleo sana, na viwanda vingi vya silaha za kijeshi zilikuwa ukrain, pamoja na viwanda vingine vikubwa na huku Ukraini ikiwa moja ya wazalishaji wakubwa wa ngano duniani. Baadae Ukrain ikajitenga na kuanza kujiendesha yenyewe; kwa hiyo Ukrain ni level nyingine kabisa;

kulinganisha Ukran na Venezuela ni sawa na kulinganisha Africa kusini na Burundi ...namaanisha Venezuela inajitahidi ila kwa nguvu ya uchumi bado huwezi kulinganisha hata kidogo na Ukrain

Lakini pia Ukrain inasaidiwa na Ulaya kwa zaidi ya nusu hiyo Putin anapigana na Ulaya yote.
USISHABIKIE HABARI AMBAYO HUNA ELIMU NAYO!
 
Putin hana uwezo wa kumkamata Zele juzi tu hapa Zele analaumiwa kwa kupiga drones makazi ya Putin..
 
Putin hana uwezo wa kumkamata Zele juzi tu hapa Zele analaumiwa kwa kupiga drones makazi ya Putin..
TATIZO UNA ANDIKA KAMA MSHABIKI WA SIMBA/YANGA, WAKATI HUFAHAMU NGUVU YA KIJESHI YA VENEZUALA VS UKRAIN.
Ujue Ukrain ilikuwa ni jimbo la Urusi lenye nguvu na maendeleo sana, na viwanda vingi vya silaha za kijeshi zilikuwa ukrain, pamoja na viwanda vingine vikubwa na huku Ukraini ikiwa moja ya wazalishaji wakubwa wa ngano duniani. Baadae Ukrain ikajitenga na kuanza kujiendesha yenyewe; kwa hiyo Ukrain ni level nyingine kabisa;

kulinganisha Ukran na Venezuela ni sawa na kulinganisha Africa kusini na Burundi ...namaanisha Venezuela inajitahidi ila kwa nguvu ya uchumi bado huwezi kulinganisha hata kidogo na Ukrain

Lakini pia Ukrain inasaidiwa na Ulaya kwa zaidi ya nusu hiyo Putin anapigana na Ulaya yote.
USISHABIKIE HABARI AMBAYO HUNA ELIMU NAYO!
 
Kwamba unajizama data kuwa Ukraine iko supported na NATO mwanzon mwa vita , na sasa bado inasapotiwa kimifumo ya ulinz ,

Lakn Russian ajafeli kumuua bali aliobwa asimuue
Aliombwa na nani asimuue?
NATO hawajawahi sapoti Ukraine
Jikite kwenye mada ndani ya miaka 4 wameshindwa na huo ni uhalisia
 
Vitendea kazi vya putin ni teknolojia ya mwaka 1945 kumfikia marekani ya trump ni kazi ngumu
 
Ukijua tu malengo ya hayo mataifa mawili Russia na USA kwenye hizo operations zao kuwa ni tofauti kabisa .
Utafuta ulicho kiandika maana ni ujinga mtupu.
Lengo kuu la russia lilikuwa Demilitalization of Ukraine kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa.
Oppose nato expansion nalo wamefanikiwa . Pia kuicontrol Donbas na crimea blacksea port etc
 
Angeweza ile 2022 ila CIA walikuwa mbele ya muda.
Hata makazi yake Putin CIA ndo wametoka hadharani kusema kuwa hayakulengwa
Kama CIA ndio wanatoa taarifa ambazo Putin hana si utani huo nimefatilia kila kitu baada ya Ukraine kukana kuwa hawajahusika na hizo drones..
Putin sio mkubwa kama tulivyodanganywa kwa muda mrefu.
 
Kwamba unajizama data kuwa Ukraine iko supported na NATO mwanzon mwa vita , na sasa bado inasapotiwa kimifumo ya ulinz ,

Lakn Russian ajafeli kumuua bali aliobwa asimuue
Kwani wewe ni punguani au huna kumbukumbu?

Hivi unajua hakuna nchi iliyoisaidia Ukraine mwanzoni?
Unafahamu kuwa mwanzoni kabisa Putin alituma kikosi ambacho ni top elites akijigamba kuwa atakuwa amekamilisha operation ya kuiondoa Serikali ya Zelewisk ndani ya siku 2?

Unajua kilichotokea ndani ya hizo siku 2? Ukraine bila ya msaada wa nchi yoyote, ilikiangamiza kikosi maalum cha Urusi, na kuwafanta wachache waliobakia kukimbia Kiev na kwenda Mashariki mwa Ukraine ambako kuna majimbo ambayo wakazi wake ni watuwa asili ya Urusi. Baada ya mafanikio ya Ukraine ya kuweza kuizuia Urusi kufanikisha kuiangusha Setikali ya Ukraine, ndipo taratibu Marekani ikatangaza kuisaidia Ukraine kwa vifaa. Na wataalam wa masuala ya vita akatamka wazi kuwa hawakutarajia Ukraine ingeweza kushindana na Urusi, wakasema wanaamini kuwa uwezo wa kijeshi wa Urusi waliokuwa wanaujua, ni dhahiri ulikuwa exagerated. Ndiyo maana hata utrkaji wa maeneo ya Ukraine, mpaka sasa, unaofanywa na Urusi, ni wa kujikongoja. Kiwastani Urusi inayateka maeneo ya Ukraine kwa wastani wa square kilometers 4 kwa siku.
 
Kama CIA ndio wanatoa taarifa ambazo Putin hana si utani huo nimefatilia kila kitu baada ya Ukraine kukana kuwa hawajahusika na hizo drones..
Putin sio mkubwa kama tulivyodanganywa kwa muda mrefu.
Russia ingekuwa na uwezo huo isingeomba silaha NorthKorea, Iran
Isingeomba wanajeshi wa kununua

Kwa ufupi hizo nchi zote hazina trusted allies
 
Kwamba unajizama data kuwa Ukraine iko supported na NATO mwanzon mwa vita , na sasa bado inasapotiwa kimifumo ya ulinz ,

Lakn Russian ajafeli kumuua bali aliobwa asimuue
Hata wewe nakuona unajizima data,

Kwani yeye Putin hasaidiwi na North Korea, Iran, India, Brazil, South Africa, China Na bricks yoote kwa jumla?

Wote hao wanamsaidia kwa namna moja au nyingine.

Zele yupo na NATO.

Putin yupo na BRICS.

Suala la kusema hawa wenzie na Putin hawana nguvu sana basi waambie if you can't fight them, join them.
 
We endelea kubwabwaja Putin anaendelea kujimegea miji ya Ukraine
Screenshot_20251217-065939~2.png
 
We endelea kubwabwaja Putin anaendelea kujimegea miji ya Ukraine
Kwa nini asimteke zele ili aichukue ukraine yote?

Yaani unajimegea kidogo kidogo huku ukiwa unapoteza resources nyingi kwa miaka 3?

Wenzake wameenda kwa rafiki yake wamemteka na nchi wameichukua ndani ya masaa bila hasara yoyote kubwa.
 
TATIZO UNA ANDIKA KAMA MSHABIKI WA SIMBA/YANGA, WAKATI HUFAHAMU NGUVU YA KIJESHI YA VENEZUALA VS UKRAIN.
Ujue Ukrain ilikuwa ni jimbo la Urusi lenye nguvu na maendeleo sana, na viwanda vingi vya silaha za kijeshi zilikuwa ukrain, pamoja na viwanda vingine vikubwa na huku Ukraini ikiwa moja ya wazalishaji wakubwa wa ngano duniani. Baadae Ukrain ikajitenga na kuanza kujiendesha yenyewe; kwa hiyo Ukrain ni level nyingine kabisa;

kulinganisha Ukran na Venezuela ni sawa na kulinganisha Africa kusini na Burundi ...namaanisha Venezuela inajitahidi ila kwa nguvu ya uchumi bado huwezi kulinganisha hata kidogo na Ukrain

Lakini pia Ukrain inasaidiwa na Ulaya kwa zaidi ya nusu hiyo Putin anapigana na Ulaya yote.
USISHABIKIE HABARI AMBAYO HUNA ELIMU NAYO!
Kama ukraine inasaidiwa na NATO, putin nae anasaidiwa na BRICS.

Suala la kusema sijui huyu ana nguvu yule hana ni kulia lia, if yo can't fight them, join them.
 
Zelensky ana akili kubwa sana, ni vile tu hana resources!!!

Putin alishafanya majaribio mengi sana ya kumteka Zele lakini wapiii

Trump anairudisha ile marekani ya kwenye TV na muvi za kijasusi.

Imagine unakuja kukamatwa chumbani kwako ukiwa umelala na mkeo, dharau kiasi gani?
Hatakama hujui kitu kabisa, bhasi jitahidi usome ili kuondoa ujinga sugu kichwani. Iran unairinganisha na venezuela?????
 
Back
Top Bottom