Ni nchi ya wehu
Wafute pia gharama ya kutumia mobile bank.
Huna Salio kwenye simu huwezi pata huduma za kibank huu ni upuuzi mtupu hakuna sehemu yeyeto duniani.
Nimeishiwa Salio kwenye simu nataka ninunue Salio bank Ili nipate Salio kwenye simu eti ni lzm niwe na Salio kwenye simu huu ni upuuzi mtupu
 
MAMBO MATATU ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA KWENYE TOZO ZA E-MONEY,
___________________________


1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%

2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,

3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,

NB, Hili punguzo linamaana gani ?!

Katika kila shilingi tuliyokatwa awali ni senti 60 tu ndio itachukuliwa na mwanachi Mama amemrudishia|amembakishia senti 40 katika kila muamala anaofanya,

Kama awali ulikatwa Tshs 10,000 Leo utakatwa Tshs 6,000 tu huku Tshs 4,000 Mama akiirudisha|akiibakisha kwako.


...Kazi iendelee | Mama ni habari nyingine ...View attachment 1919029
Hilo la makampuni ndio nilikuwa nalitaka , yaani nafanya miamala afu pesa kubwa wanachukua hao makampuni majizi yanatuibia vifurushi,dkk yaani nilikuwa willing pesa yangu iende serikali sio kwa hao wezi.
 
MAMBO MATATU ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA KWENYE TOZO ZA E-MONEY,
___________________________


1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%

2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,

3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,

NB, Hili punguzo linamaana gani ?!

Katika kila shilingi tuliyokatwa awali ni senti 60 tu ndio itachukuliwa na mwanachi Mama amemrudishia|amembakishia senti 40 katika kila muamala anaofanya,

Kama awali ulikatwa Tshs 10,000 Leo utakatwa Tshs 6,000 tu huku Tshs 4,000 Mama akiirudisha|akiibakisha kwako.


...Kazi iendelee | Mama ni habari nyingine ...View attachment 1919029
Issue "tozo" haikubaliki! Hii ni unyonyaji kwa watu wanyoge. Utaratibu wa kodi uendelee, ila tozo by all discriptions haikubaliki. Toka nyerere mpaka mwendazake maendeleo makubwa yamefanyika kwa utaratibu wa kodi. Hili la TOZO hapana hapana. No NO NONo NO NO!!!
 
MAMBO MATATU ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA KWENYE TOZO ZA E-MONEY,
___________________________


1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%

2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,

3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,

NB, Hili punguzo linamaana gani ?!

Katika kila shilingi tuliyokatwa awali ni senti 60 tu ndio itachukuliwa na mwanachi Mama amemrudishia|amembakishia senti 40 katika kila muamala anaofanya,

Kama awali ulikatwa Tshs 10,000 Leo utakatwa Tshs 6,000 tu huku Tshs 4,000 Mama akiirudisha|akiibakisha kwako.


...Kazi iendelee | Mama ni habari nyingine ...View attachment 1919029
Naona unavizia teuzi
 
Kweli akili ni Nywele, Na Common Sense sio Common

Mfano mtu achukue 200 alafu akurudishie mtu 90 utamuona wa maana ?
Wakati ukichunguza ni kwamba huyo mtu hapo atakuwa amechukua 110.... In short huku ni kucheza na akili za watu
 
Kumtumia bibi yako pesa kijijini hapo unakuwa umefanya biashara gani na umetengeneza faida kiasi gani ili ukatwe kodi. Kimsingi makampuni ya simu ndo yanayofanya biashara kwenye hizi transactions maana wanakata kiasi cha pesa. Sasa hii kodi tunayokatwa na serikali ambayo imebatizwa jina la tozo mantiki yake ni ipi hasa......waache kulaghai watu kwa ujanja ujanja, eti tumepunguza tozo kwa 30%...
Hiyo ni income unayo na anapokea so kodi lazima.Kwani remittances huwa hazikatwi kodi?

Tuma pesa kwa ndugu yako yoyote nje ya nchi uone kama hakatwi kodi both sides afu uje utuambie ni biashara gani umefanya.

ATM unapokatwa huwa ni biashara gani umefanya?
 
Wafute pia gharama ya kutumia mobile bank. Huna Salio kwenye simu huwezi pata huduma za kibank huu ni upuuzi mtupu hakuna sehemu yeyeto duniani. Nimeishiwa Salio kwenye simu nataka ninunue Salio bank Ili nipate Salio kwenye simu eti ni lzm niwe na Salio kwenye simu huu ni upuuzi mtupu
Download app hutotumia gharama zaidi ya MB zako
 
1. Kupunguza tozo za miamala ( e-money) kwa 30%

2. Kushawishi makampuni ya e-money na wao kushusha makato yao kwa 10%,

3. Kuendelea kuwa msikivu kwa kushughulikia kero za wananchi kwa haraka,
Ameenda kuzijaza kwenye mafuta
 
Shida mfumko wa bei kutokana na tozo na kodi za ajabu ajabu kwa watu wasio na uhakika wa chakula bora, makazi bora, access ya huduma nzuri za afya, maji n.k.

Chama kile kile, serikali ile ile imeshindwa kuwawezesha wananchi kuwa walipa kodi wazuri kwa kuwasogezea huduma nzuri na za uhakika, kuwawezesha kujenga nyumba nzuri kwa gharama nafuu.

Tuna migodi, mbuga za wanyama, maeneo makubwa ya kulima, ila CCM na serikali yake imekuwa chukua chako mapema tangu uhuru. Magufuli kajaribu kwa kiasi chake kulisukuma gurudumu kwa kujenga miundo mbinu ya kimkakati kama vile bwawa la Nyerere, SGR, kusambaza umeme kwa kiwango kikubwa, kusogeza maji kwa wananchi n.k.

Ila awamu ya sita imekuja kutupola vijisenti kwa jina la tozo uzalendo. Kama ni uzalendo kweli mshahara wa rais, wabunge si ndio ulitakiwa uwe mstari wa mbele kutoa kodi za uzalendo halafu mwananchi ndio aje kwenye solidarity line kwa kutoa japo Sh. 20 katika elfu moja
 
Back
Top Bottom