Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,620
- 18,444
Kwenye Biblia hadi Shetani Rusifa kaongea.Yni m nabaki kucheka tuu kwa jinsi ulivo na ujinga ndani yko
ety nije kuamini bible wakati bible iyo iyo inamtukana uyo Mungu wenu
hlf m hua siongei maneno matupu kataa hili andiko tuone kma bible ni ya ukweli au ya uongoView attachment 2216161
Musa kauwa mtu.
Daudi katembea na Mke wa mtu hadi kumwua Mke wake.
Paulo Naye mwanzo alikuwa mwuaji.
Wewe msikilize anapo ongea Mungu,
Au Malaika
Au Masihi Yesu Kristo Mwana wa Mungu.
Hao ndio wameshika hatima ya maisha yetu.