Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,906
Hayo unasema wewe na ni kwa sababu unaamini maelezo ya kumuhusu Yesu kuwa ndio sahihi hivyo kwako wewe Yesu ni yule tu alivyoelezwa kwenye biblia.Lakini kwa ushahidi wa Quran tukufu na Biblia takatifu Issa bin sio Yesu Kristo.
Ni watu wawili tofauti kabisa.
Hiyo Qur'an katika kumuelezea Yesu/issa ndio inakanusha madai ya Yesu kusurubiwa na kwamba ni Mungu,ndio maana nasema hayo ni ya kwako ya kusema kwamba Qur'an inamzungumzia mtu mwengine tofauti na Yesu.