Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Quran haijaeleza habari za Yesu imeeleza habari za Issa.
Napinga kilichoeleza Quran kwa 100% kwasbb
1. Biblia na Quran ni vitabu viwili tofauti. Lengo la wakristo watu wamjue Mungu ili kuwafikia watu wamjue Mungu ndiyo maana utakuta mpk Biblia za Kisukuma zipo. Sijui mpango wenu maana kuna waislam ukimpa hiyo Quran akosomee anakutumbulia macho tu. Yeye ni kutafsiriwa na kukaririshwa na viongozi tu
2. Ukisoma habari za Yesu kwenye Biblia ni tofauti kwa 100% na za Issa kwenye Quran.
Hayupo mkristo yoyote duniani anayeamini Quran, Allah na huyo Issa 100% kwasbb
A. Amri ya kwanza ilifanyika pale Eden ambapo Adam alipewa mke mmoja kwahiyo ukioa wake wawili hiyo ni dhambi. Quran inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja
B. Wakristo tunaamini hakuna jini wazuri wote ni wabaya ni maajenti wa shetani. Kushirikiana nao ni kutenda dhambi. Waislam wanaamini kuna majini wazuri
Pole sana
Muwe mnasoma,
The Torah does not forbid a man from having multiple wives. Abraham, Jacob, David and Solomon are notable examples of biblical figures who wedded more than one wife.

A close reading, however, reveals that in virtually all cases where our forefathers took multiple wives, it was for a specific reason. Abraham married Hagar only after Sarah suggested that he do so because she and Abraham had no children together. Another classic example is Jacob. He married Leah only because he was tricked into it by Laban. Similarly, he took Bilhah and Zilpah at the advice of his first two wives, who wished to bear children through them.

Yet the Torah does not outlaw polygamy.

Approximately one thousand years ago, the noted German scholar Rabbi Gershom “the Light of the Diaspora” banned polygamy.1 This ban was accepted as law by all Ashkenazic Jews, but was not recognized by Sephardic and Yemenite communities.
 
Muwe mnasoma,
The Torah does not forbid a man from having multiple wives. Abraham, Jacob, David and Solomon are notable examples of biblical figures who wedded more than one wife.

A close reading, however, reveals that in virtually all cases where our forefathers took multiple wives, it was for a specific reason. Abraham married Hagar only after Sarah suggested that he do so because she and Abraham had no children together. Another classic example is Jacob. He married Leah only because he was tricked into it by Laban. Similarly, he took Bilhah and Zilpah at the advice of his first two wives, who wished to bear children through them.

Yet the Torah does not outlaw polygamy.

Approximately one thousand years ago, the noted German scholar Rabbi Gershom “the Light of the Diaspora” banned polygamy.1 This ban was accepted as law by all Ashkenazic Jews, but was not recognized by Sephardic and Yemenite communities.
Unajuwa Ashkenazic hawa ni jews wa europe utamaduni wakaubeba ila watu ambao wanaheshimiwa na wanaosoma Torah kwa ufasaha na kuheshimika ni Sephardic hawa jews Yemenite yaani wa Yemen ndio wanaiongoza Torah mpaka leo na kama wanavyosema Abraham, Jacob, David na Solomon wote waliowa wake zaidi ya mmoja na Abraham ndio baba ya wote sasa hiyo kukutaza ilitoka wapi? Paulo wa Roman wakafika mbali hata Papa haruhusiwi kuowa wapi imeandikwa hivyo. Fwateni real bible Hebrew tastement sio Paulo huyo jamaa mayahudi wenyewe wamesema huyo Paulo ndio alileta majanga katika dini hii ya Kikristo na waislamu wanasema kama jews Paulo ni tatizo kubwa.
 
Hata wewe muislam mweusi "Kaffir" unadharauliwa na muarabu.

Waliwahasi babu zako bado unazikumbatia dini.

Waafrika tunashangilia dini za waasia ujinga tu
Toa hoja usitoe shutma za kijumla jumla unaonesha una panic mimi natoa hoja. nikijubi tu. Hakuna sehemu mtu mweuzi akaitwa Kaffir ni uwongo mkubwa maana hao waarabu kuna wakristo wengi tu na mayahahudi kuliko unavyodhani. Kuna waarabu wengi weusi kama wajaluo wamejaa tu kwao na wana maisha mazuri kuliko unavyodhani kama ubaguzi ambao sio wala kidini ni huko USA na Eastern Europe countries mpaka Italy sana tu karibu na Vatican lakini sio wa kidini ni tabia za watu. Sasa dini gani unayofuata wewe za babu zatu kuabudu kondoo au? fafanua. Nimeshawahi kuuliza nani huyo alipoteza babu yake kwa jina ataje aliyechukulia toka Tanzania, maneno tu hakuna mtu mmoja aliyetoka akasema babu yangu jina hili kapotea. waliwaasi kauli za kijinga kama tulivyokuwa tunaamini Idi Amini nyoka, hakuna watu wamezaa kama waafrica hata huko ulaya na US unamwita babu kaasiwa sasa ubabu kautoa wapi na yeye hakuzaa.Hoja dhaifu sana.
 
acha uzushi jews na misikiti wap na wapi....hata ukristo pia sio wote wanakula nguruwe,


je wajua wayahudi hawali bata, ngamia, samaki wasio na magamba wanaoliwa na waislamu


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie

mfano Ibada ya IJUMAA inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.
- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi
yaliharibika,
Fuatilia katika aya zifuatazo:-


Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi
walihitirafiana na Muhammad na kurushiana
maneno.

Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),


lini waislamu mliwapa wayahudi msikiti waswalie
Kasome vizuri bado sana. Kwanza ujuwe wayahudi na waarabu wote ni watoto wa Abraham mama tofauti watoto wa Jacob walipewa upendeleo mkubwa na Mungu akawashushia mitume na mitume tatizo wakawa wanarudia makosa yale yale kuabudu misanamu na kuuwa mitume mwisho kabisa akampa mtoto wa mke wa pili ambaye alikuwa mwaabu hawa ni ndugu ukoo wa Abraham hiyo ndio tofauti yao kuu. Suala la Ijumaa hakutamka Mohammed ni aya iko katika Quraan usipotoshe.
The Qur'an invokes the importance of Friday as a sacred day of worship in a chapter called “Al-Jumah,” meaning the day of congregation, which is also the word for Friday in Arabic. It states, “O you who believe! When you are called to congregational (Friday) prayer, hasten to the remembrance of God and leave off trade.
 
Mmmhhh. Kasheshe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣 🤣 🤣 🤣 Paulo uongozi wa Mungu? madai katoa yeye mwenyewe hakuna alithibitisha Paulo kiboko angekuwa leo huyu jamaa angekusanya sana sadaka huyu jamaa ndio alileta majanga na haya ni maneno ya mayahudi na waislamu paulo kiboko hajawahi hata kukaa na Yesu wala kuwa mwanafunzi akaja na hizi story za ajabu kwa bahati mbaya alikuwa mjanja sana kama kina Gwajima anasema nafufua mtu na watu wanapiga vigelegele sasa unategemea nini, Paulo was smart na akawapata kina Gwajima tu wanawapata.
 
Quran haijaeleza habari za Yesu imeeleza habari za Issa.
Napinga kilichoeleza Quran kwa 100% kwasbb
1. Biblia na Quran ni vitabu viwili tofauti. Lengo la wakristo watu wamjue Mungu ili kuwafikia watu wamjue Mungu ndiyo maana utakuta mpk Biblia za Kisukuma zipo. Sijui mpango wenu maana kuna waislam ukimpa hiyo Quran akosomee anakutumbulia macho tu. Yeye ni kutafsiriwa na kukaririshwa na viongozi tu
2. Ukisoma habari za Yesu kwenye Biblia ni tofauti kwa 100% na za Issa kwenye Quran.
Hayupo mkristo yoyote duniani anayeamini Quran, Allah na huyo Issa 100% kwasbb
A. Amri ya kwanza ilifanyika pale Eden ambapo Adam alipewa mke mmoja kwahiyo ukioa wake wawili hiyo ni dhambi. Quran inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja
B. Wakristo tunaamini hakuna jini wazuri wote ni wabaya ni maajenti wa shetani. Kushirikiana nao ni kutenda dhambi. Waislam wanaamini kuna majini wazuri
Pole sana
Hadi siku Yesu anapaa mbinguni kulikuwa hakuna dini inayoitwa ukristo na hata hao wa Israel aliyowaacha hadi Leo hi hawautaki wala hawaujui ukristo

Kuna picha Fulani wazungu waliitengeza kisha wakakuambieni huyu ni Yesu mmelishwa matango poli

Ila Yesu mtoto wa Maryam ambae ni mtume kwa ajili ya wana wa Israel ndio huyo huyo Issa bin Maryam aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya wana wa Israel

YESU WA INJILI

Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

YESU WA QURAN ( Issa bin Maryam)

Quran 61-6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati,

YESU MLIYOTENGENEZEWA NA WAZUNGU

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
 
Tahadhali : huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala qwa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.

1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.

2. Je wenye Quran wanamwamini ktk namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?

3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?

Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
1. Mimba yake ilitugwa bila muingiliano was kibanadamu ambapo vitabu vyote vinadhibitisha ni muujiza was makusudi kutoka kwa mwenyezi Mungu kupitia Roho wake.
2. Kwenye Quran Issah bin Mariam ni moja ya nguzo muhimu, ni ishara ya kiama na pia ni mtume asiye fanana na mitume mingine kwakuangalia kuzaliwa kwake aliyoyatenda na atakayoyatenda siku ya kiama (muhukumu).
3. Inategemea na msingi wa imani husika nfano, dini zetu asili haziwezi kumtambua lakini baadhi ama nyingi za mashariki kati wanamtambua kwa namna zao kama mtume.
Karibu.
 
Sijazungumzia dini ya ukristo. Namzungumzia tofauti kati ya Yesu na Issa.
Yesu siyo Issa. Usichanganye mafuta na maji.
Mungu na yesu hawana dini. Ukristo ni kitendo cha kufuata matendo mema, kumuamini, Mungu, Yesu km njia ya ukweli na uzima na kuzishika amri zake.
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu ndiyo maana kuna dini nyingi. Kuitwa mkristo maana yake unamuamini Yesu km mwokozi wako.
Kutoka na hivyo basi watu wakaanzisha dini kwa kujulikana km dini km RC, Anglican, KKT n.k
Narudia tena. Yesu siyo Issa usitake kulazimisha mambo ambayo hayapo.
Wakristo woto duniani tunaamini Mungu alimpa mamlaka Yesu kwahiyo hatuwezi kwenda kwa Mungu bila Yesu.
Ushawahi kuingia kanisa gani wanamuabudu Issa?
Issa anapatikana kwa waislam na kwenye Quran tu.
The holy Bible ipo ktk lugha nyingi duniani kwa lengo la watu wapate kumjua Mungu na Yesu. Na watu wamepata kumjua ndiyo maana hata ukienda wapi ktk nchi yoyote ile wanaotumia Biblia Takatifu huwezi kumuaminisha kuwa Yesu ni Issa.
Ila kwa waislam ni rahisi kwasbb Quran yao inapatikana kwa Kiarabu na wengi hawakijui kiarabu, mafundisho wanayopata ni baada ya kutafsriwa na viongozi wao. Hapo ulipo nikukuambia unisomee hiyo Quran. Jasho litakutoka na kunitumbulia macho
Hadi siku Yesu anapaa mbinguni kulikuwa hakuna dini inayoitwa ukristo na hata hao wa Israel aliyowaacha hadi Leo hi hawautaki wala hawaujui ukristo

Kuna picha Fulani wazungu waliitengeza kisha wakakuambieni huyu ni Yesu mmelishwa matango poli

Ila Yesu mtoto wa Maryam ambae ni mtume kwa ajili ya wana wa Israel ndio huyo huyo Issa bin Maryam aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya wana wa Israel

YESU WA INJILI

Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

YESU WA QURAN ( Issa bin Maryam)

Quran 61-6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati,

YESU MLIYOTENGENEZEWA NA WAZUNGU

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
 
Hana baba wa kibinadamu, mimba yake ilitungwa kwa njia ya roho mtakatifu .Huenda baba yake ni Roho mtakatifu .
 
1. Unamjua Issa?
2. Unamjua Yesu?
Tofauti yake
1. Yesu alizaliwa kwenye Holi la Ng'ombe
2. Yesu alisurubiwa msalabani, akafa na akazikwa na siku ya 3 akafufuka
3. Wakristo tunaamini Utatu mtakatifu ikiwemo Roho mtakatifu
Soma Yohana, Luka na Mathayo imeeleza kuhusu habari za Yesu.
Soma hiyo Quran halafu ulete majibu hapa km Yesu ni Issa.
Kiufupi Yesu siyo Issa.
Issa ni Issa na Yesu ni Yesu kwahiyo wasifu wa Yesu siyo wa Yesu.
Swali
Waislamu wanaamini ktk Roho Mtakatifu?
Hana baba wa kibinadamu, mimba yake ilitungwa kwa njia ya roho mtakatifu .Huenda baba yake ni Roho mtakatifu .
 
Issa ni Nabii wa Waislamu,
Waislamu wote wanakiri kuwa Issa ni Nabii wao.
Wengine wanasema ni Nabii wa Waislamu wa Israeli.
Au Waisraeli Waislamu.
Sisi Wakristo hatumtambui Issa.
Na hatujishughurishi na Dini ya Majini.
Majini yanakiri ni Maislamu, yanaswali Misikitini, yanahiji Makka, yanafunga Ramadhani, Yanatoa Zaka, yana Shahadia.
Sisi Wakristo kamwe hatuwezi kujishughurisha pamoja na Majini katika Jambo lolote.
Na kitabu chochote kinacho wasifu viumbe Majini tunakichukulia kuwa ni kitabu cha Kishirikina. Hivyo pia tunauona Uislamu ni Dini ya Kishirikina.
Mimi hapa nasema ukweli mtazamo wa sisi Wakrisro kuhusu, Uislamu, Qurani na Majini.
Huyo Issa bila shaka naye atakuwa Mtume wa Majini sisi hatuhusu.

Tafadhari Waislamu, Kaeni na Qurani yenu na Mitume wenu, na Issa wenu, na Allah wenu sisi havituhusu.

Issa ni Mtume wenu mpokeeni. Kama aliwahusu pia Wayahudi Waislamu sisi havituhusu.

Please hatuvitambui vyote vilivyo kwenye vitabu vyenu. Ni vyenu.
 
Kasome vizuri bado sana. Kwanza ujuwe wayahudi na waarabu wote ni watoto wa Abraham mama tofauti watoto wa Jacob walipewa upendeleo mkubwa na Mungu akawashushia mitume na mitume tatizo wakawa wanarudia makosa yale yale kuabudu misanamu na kuuwa mitume mwisho kabisa akampa mtoto wa mke wa pili ambaye alikuwa mwaabu hawa ni ndugu ukoo wa Abraham hiyo ndio tofauti yao kuu. Suala la Ijumaa hakutamka Mohammed ni aya iko katika Quraan usipotoshe.
The Qur'an invokes the importance of Friday as a sacred day of worship in a chapter called “Al-Jumah,” meaning the day of congregation, which is also the word for Friday in Arabic. It states, “O you who believe! When you are called to congregational (Friday) prayer, hasten to the remembrance of God and leave off trade.
ACHA UZUSHI , WAARABU WAPI NA WAPI NA JEWS?

UNAJUA JEWS WANASALI JUAMOSI?

UNAJUA IBADA YA IJUMAA ILIANZISHWA NA MUHAMAD?

IJUMAA YA KWANZA ALIYOSWALI MTUME.
Mtume aliondoka Qubaa kwenda Yathriba ilikuwa ni ljumaa, na jua lilipo chomoza alifika katika maskani ya Bani Salim bin Awf ; katika Wangwa wa Ronunaa , hapo ndipo Muhammad aliposwali
swala ya ljumaa kwa mara ya kwanza katika Uislam Na huo ni mwaka 622 uitwao mwaka wa
Hijra kwa Waislam (mwanzo wa kalenda ya Kiislam).


Nini sababu ya Muhammad kusali siku hii na
kuanzisha siku hii katika ummah wa kiislam?
.

- Mkazo mkubwa wa Ummah wa Kiislam juu ya siku ya ljumaa, unaanzia katika tukio hilo tu, maandiko ya Qur-an yanaonyesha wazi kuwa kabla ya hapo hata Muhammad mwenyewe alikuwa
akifuata kawaida za ibada alizofundishwa na Wayahudi.

  • Wayahudi walikuwa na desturi ya kusali kwa kuangalia Yerusalemu, kawaida hii ndiyo iliyotawala maisha ya Muhammad kwa takriban zaidi ya mwaka mmoja na nusu naye alikuwa akiabudu kwa kuangalia Yerusalemu. (Qur-an 2:144 fafanuzi uk 33 Tukio la mwaka 610 BK ndilo lililoleta mabadiliko makubwa kwa Muhammad, mwaka huo ndio ambao Muhammad alipokea mafunuo yake mapya katika mapango ya Jabal hilaa tofauti za kimafundisho, mwenendo,n.k zilianza kuonekana katika maisha ya Muhammad mara tu baada ya kuanza kupokea mafunuo hayo. (maisha ya Muhamadi uk 16 shekhe Farsy).
  • Hilo lilimfanya Muhammad kuanza kupingwa na wayahudi hao,Haswa sababu kuu ni pale Muhammad alipoanza kupinga mafundisho waliyompa kama vile.
~ Kutia mkazo wa Kiibada katika jengo lenye asili ya upagani Al-Kaaba. Qur-an 22:29 [27:9]
~Kuanza kutangaza imani mpya ya uislam na kuwa na mafundisho yaliyo onekana kutofautiana na yale ya kibiblia.
- Kutokana na mafunuo hayo mapya hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadi hayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an maonyesha hilo.
Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi wanampinga Malaika Jibril amhaye ndiye aliyeleta mafunuo hayo kwa Muhammad. Ibada ya IJUMAA inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.
- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi yaliharibika, Fuatilia katika aya zifuatazo:-

Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi walihitirafiana na Muhammad na kurushiana
maneno. Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),

  • Lakini pamoja na hayo Muhammad hakuipa siku hii nafasi ya Sabato yaani siku ya 7 ya juma (Jumamosi) ambayo ndiyo haswa iliyo siku ya Ibada ya kweli kama QURAN INAVYOKIRI
  • Kumbuka siku ile ya kweli ya Ibada ilitengwa na Mungu yote iwe siku ya ibada tu na si kufanya kazi yeyote ya kimaisha. (Qur-an 7 : 163 Kutoka 20 : 8 )
  • Siku ya ljumaa haikutolewa ili kushika mahala pa Jumamosi [Sabato] maana pamoja na kufanya ibada Muhammad anaruhusu Waislam kufanya kazi siku hiyo mara baada ya swala,

hebu tuone-
Qur-an 62:9-10 Enyi mlioamini! Kukiadhiniwa kwa ajili ya sala siku ya ljumaa, enendeni upesi kumtaja Mwenyezi Mungu na acheni biashara kufanya hivi ni bora kwenu ikiwa mnajua basi fanyeni, Na itakapokwisha sala,tawanyikeni katika ardhi mtafute fadhira……

hivyo ndivyo Muhammadi alivyoeleza juu ya siku hii ya ljumaa, kamwe siyo siku
ya mapumziko kama ilivyo Sabato Jumamosi) zaidi ya yote ljumaa si siku yenye mkazo wa kiibada kama ilivyo Sabato (Jumamosi).

Katika mafunuo ya Qur-an.

- Siku hii ya ljumaa ni siku ya ibada ya kawaida tu inayo ambatana na kufanya kazi za kutafuta kipato, hilo linaifanya kuwa na tofauti ya mbali sana na siku ya kweli ya Ibada ya Jumamosi.
 
Ukisoma Biblia kama Gazeti ndiyo matokeo yake haya.
Soma vizuri Agano la kale na Jipya.
Nyie ndiyo wale unasoma mstari umeandikwa
Tumepewa mamlaka ya kukanyaga ng'e na nyoka halafu unamtafuta Nyoka au ng'e unamkanyaga. Hakika utang'atwa hata kupoteza maisha
Muwe mnasoma,
The Torah does not forbid a man from having multiple wives. Abraham, Jacob, David and Solomon are notable examples of biblical figures who wedded more than one wife.

A close reading, however, reveals that in virtually all cases where our forefathers took multiple wives, it was for a specific reason. Abraham married Hagar only after Sarah suggested that he do so because she and Abraham had no children together. Another classic example is Jacob. He married Leah only because he was tricked into it by Laban. Similarly, he took Bilhah and Zilpah at the advice of his first two wives, who wished to bear children through them.

Yet the Torah does not outlaw polygamy.

Approximately one thousand years ago, the noted German scholar Rabbi Gershom “the Light of the Diaspora” banned polygamy.1 This ban was accepted as law by all Ashkenazic Jews, but was not recognized by Sephardic and Yemenite communities.
 
Issa ni Nabii wa Waislamu,
Waislamu wote wanakiri kuwa Issa ni Nabii wao.
Wengine wanasema ni Nabii wa Waislamu wa Israeli.
Au Waisraeli Waislamu.
Sisi Wakristo hatumtambui Issa.
Na hatujishughurishi na Dini ya Majini.
Majini yanakiri ni Maislamu, yanaswali Misikitini, yanahiji Makka, yanafunga Ramadhani, Yanatoa Zaka, tana Shahadia.
Sisi Wakristo kamwe hatuwezi kujishughurisha na pamoja na Majini katika Jambo lolote.
Na kitabu chochote kinacho wasifu viumbe Majini tunakichukulia kuwa ni kitabu cha Kishirikina. Hivyo pia tunauona Uislamu ni Dini ya Kishirikina.
Mimi hapa nasema ukweli mtazamo wa sisi Wakrisro kuhusu, Uislamu, Qurani na Majini.
Huyo Issa bila shaka naye atakuwa Mtume wa Majini sisi hatuhusu.

Tafadhari Waislamu, Kaeni na Qurani yenu na Mitume wenu, na Issa wenu, na Allah wenu sisi havituhusu.

Issa ni Mtume wenu mpokeeni. Kama aliwahusu pia Wayahidi Waislamu sisi havituhusu.

Please hatuvitambui vyote vilivyo kwenye vitabu vyenu. Ni vyenu.
WANALAZIMISHA ETI ISA AWE YESU,


SABABU KUU HUYO ISA AMEKAA KIMAGUMASHI SANA, HIVO ILI WAJAZIE NYAMA LAZIMA DETAILS WAZITOE KWENYE BIBLIA ZA KUHUSU YESU
 
Sijazungumzia dini ya ukristo. Namzungumzia tofauti kati ya Yesu na Issa.
Yesu siyo Issa. Usichanganye mafuta na maji.
Mungu na yesu hawana dini. Ukristo ni kitendo cha kufuata matendo mema, kumuamini, Mungu, Yesu km njia ya ukweli na uzima na kuzishika amri zake.
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu ndiyo maana kuna dini nyingi. Kuitwa mkristo maana yake unamuamini Yesu km mwokozi wako.
Kutoka na hivyo basi watu wakaanzisha dini kwa kujulikana km dini km RC, Anglican, KKT n.k
Narudia tena. Yesu siyo Issa usitake kulazimisha mambo ambayo hayapo.
Wakristo woto duniani tunaamini Mungu alimpa mamlaka Yesu kwahiyo hatuwezi kwenda kwa Mungu bila Yesu.
Ushawahi kuingia kanisa gani wanamuabudu Issa?
Issa anapatikana kwa waislam na kwenye Quran tu.
The holy Bible ipo ktk lugha nyingi duniani kwa lengo la watu wapate kumjua Mungu na Yesu. Na watu wamepata kumjua ndiyo maana hata ukienda wapi ktk nchi yoyote ile wanaotumia Biblia Takatifu huwezi kumuaminisha kuwa Yesu ni Issa.
Ila kwa waislam ni rahisi kwasbb Quran yao inapatikana kwa Kiarabu na wengi hawakijui kiarabu, mafundisho wanayopata ni baada ya kutafsriwa na viongozi wao. Hapo ulipo nikukuambia unisomee hiyo Quran. Jasho litakutoka na kunitumbulia macho
Hakuna mtu anaekulazimisha ukubali ila haya mandiko umeyakuta na utakufa utayaacha hatufati akili yako na matamanio yako ila tunafuata maandiko yanasema nini kuhusu YESU


NABII ISAYA ALIPO TABIRI UJIO WA YESU

Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

YESU ANATHIBITISHA KUWA UTABIRI WA NABII ISAYA UPO SAHIHI

Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


NABII MUHAMMAD NAE AKATHIBITISHA KUWA ISAYA NA YESU WALIKUA SAHIHI

Quran 61-6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati,


YESU ALIYETENGENEZWA NA WAZUNGU KWA AJILI YA KUANZISHA DINI YAO YA UKRISTO

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;


Brother kujua na kuyaelewa maandiko ya Mungu wala hakuihitajiki uwe na degree

Lakini pia ndio maana Mungu ameweka moto kwa ajili ya kuwachoma watu kama wewe ambae huwezi kutumia akili yako uliyopewa na Mungu kwa ajili ya kumjua Mungu wa kweli
 
ACHA UZUSHI , WAARABU WAPI NA WAPI NA JEWS?

UNAJUA JEWS WANASALI JUAMOSI?

UNAJUA IBADA YA IJUMAA ILIANZISHWA NA MUHAMAD?

IJUMAA YA KWANZA ALIYOSWALI MTUME.
Mtume aliondoka Qubaa kwenda Yathriba ilikuwa ni ljumaa, na jua lilipo chomoza alifika katika maskani ya Bani Salim bin Awf ; katika Wangwa wa Ronunaa , hapo ndipo Muhammad aliposwali
swala ya ljumaa kwa mara ya kwanza katika Uislam Na huo ni mwaka 622 uitwao mwaka wa
Hijra kwa Waislam (mwanzo wa kalenda ya Kiislam).


Nini sababu ya Muhammad kusali siku hii na
kuanzisha siku hii katika ummah wa kiislam?
.

- Mkazo mkubwa wa Ummah wa Kiislam juu ya siku ya ljumaa, unaanzia katika tukio hilo tu, maandiko ya Qur-an yanaonyesha wazi kuwa kabla ya hapo hata Muhammad mwenyewe alikuwa
akifuata kawaida za ibada alizofundishwa na Wayahudi.

  • Wayahudi walikuwa na desturi ya kusali kwa kuangalia Yerusalemu, kawaida hii ndiyo iliyotawala maisha ya Muhammad kwa takriban zaidi ya mwaka mmoja na nusu naye alikuwa akiabudu kwa kuangalia Yerusalemu. (Qur-an 2:144 fafanuzi uk 33 Tukio la mwaka 610 BK ndilo lililoleta mabadiliko makubwa kwa Muhammad, mwaka huo ndio ambao Muhammad alipokea mafunuo yake mapya katika mapango ya Jabal hilaa tofauti za kimafundisho, mwenendo,n.k zilianza kuonekana katika maisha ya Muhammad mara tu baada ya kuanza kupokea mafunuo hayo. (maisha ya Muhamadi uk 16 shekhe Farsy).
  • Hilo lilimfanya Muhammad kuanza kupingwa na wayahudi hao,Haswa sababu kuu ni pale Muhammad alipoanza kupinga mafundisho waliyompa kama vile.
~ Kutia mkazo wa Kiibada katika jengo lenye asili ya upagani Al-Kaaba. Qur-an 22:29 [27:9]
~Kuanza kutangaza imani mpya ya uislam na kuwa na mafundisho yaliyo onekana kutofautiana na yale ya kibiblia.
- Kutokana na mafunuo hayo mapya hoja kuu ya Wayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadi hayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an maonyesha hilo.
Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi wanampinga Malaika Jibril amhaye ndiye aliyeleta mafunuo hayo kwa Muhammad. Ibada ya IJUMAA inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.
- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi yaliharibika, Fuatilia katika aya zifuatazo:-

Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi
Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayuhudi walihitirafiana na Muhammad na kurushiana
maneno. Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),

  • Lakini pamoja na hayo Muhammad hakuipa siku hii nafasi ya Sabato yaani siku ya 7 ya juma (Jumamosi) ambayo ndiyo haswa iliyo siku ya Ibada ya kweli kama QURAN INAVYOKIRI
  • Kumbuka siku ile ya kweli ya Ibada ilitengwa na Mungu yote iwe siku ya ibada tu na si kufanya kazi yeyote ya kimaisha. (Qur-an 7 : 163 Kutoka 20 : 8 )
  • Siku ya ljumaa haikutolewa ili kushika mahala pa Jumamosi [Sabato] maana pamoja na kufanya ibada Muhammad anaruhusu Waislam kufanya kazi siku hiyo mara baada ya swala,

hebu tuone-
Qur-an 62:9-10 Enyi mlioamini! Kukiadhiniwa kwa ajili ya sala siku ya ljumaa, enendeni upesi kumtaja Mwenyezi Mungu na acheni biashara kufanya hivi ni bora kwenu ikiwa mnajua basi fanyeni, Na itakapokwisha sala,tawanyikeni katika ardhi mtafute fadhira……

hivyo ndivyo Muhammadi alivyoeleza juu ya siku hii ya ljumaa, kamwe siyo siku
ya mapumziko kama ilivyo Sabato Jumamosi) zaidi ya yote ljumaa si siku yenye mkazo wa kiibada kama ilivyo Sabato (Jumamosi).

Katika mafunuo ya Qur-an.

- Siku hii ya ljumaa ni siku ya ibada ya kawaida tu inayo ambatana na kufanya kazi za kutafuta kipato, hilo linaifanya kuwa na tofauti ya mbali sana na siku ya kweli ya Ibada ya Jumamosi.
Wewe kariri tu hujui chochote kuhusu dini kuna mambo mengi wala huwezi kuyajuwa hujui hata Sabato ilikuwa kwa mayahudi tu sio wewe wala mimi. Mohammed ni mtume tu sio dini yake mamlaka ya dini ni ya Mungu. Neno la Quraan ni la Mungu sio Mohammed unajichanganya umetoa aya inaongela Ijumaa halafu unasema Mohammed kasema sisi tunaambiwa Mungu hana mfano wa kibinadamu eti kachoka mambo ya Sabato walipewa wayahaudi baada ya kutoka utumwani Egypt wapumzike sio Mungu, acha kukariri. Ndio maana Jews wanawadharau sana wakristo wanawaona vichekesho fulani hivi.
 
Ukisoma Biblia kama Gazeti ndiyo matokeo yake haya.
Soma vizuri Agano la kale na Jipya.
Nyie ndiyo wale unasoma mstari umeandikwa
Tumepewa mamlaka ya kukanyaga ng'e na nyoka halafu unamtafuta Nyoka au ng'e unamkanyaga. Hakika utang'atwa hata kupoteza maisha
Hilo agano jipya litoe kabisa hapa hakuna kitu agano jipya na barua za Paulo hizo yule janja janja alikuwa. Rabbi kamaliza hapa kaa mbali na Paul
 
Tatizo wengi huwa hatusomi na kuelewa narudia tena sijasema wanaingia msikitini nimesema ikitokea kuna msikiti uko wazi hautumiki na kanisa liko wazi halitumiki wayahudi wakataka sehemu ya kufanyia ibada yao kwa namna yao kidini wanaruhusiwa kuomba msikiti kufanyia ibada kivyao sio kanisa hawaruhusiwi. Uzuri mimi nasoma sana hizi dini zingine sio kuingia kutaka kujuwa history sasa kama unaona nacho sema uwongo si google tu utajionea.Sababu kubwa wale viongozi wao wa kidini wanasema wao na waislamu kwa kuwa wanaamini Mungu huyu mmoja ila wakristo tofauti. wanaamini makanisa wanaabudu masanamu misikiti hapana.

It is absolutely forbidden to enter a house of idol worship. Included in this prohibition is entering a Christian church or other kinds of houses of idol worship in the Far East. Nevertheless, there is no halachic prohibition to enter an Muslim mosque; this is especially true when this is being done in order to pray there, such as at the graves of our forefathers in the Machpela Cave in Hebron.
1621757887958.png



WAYAHUDI GANI WAINGIE MSIKITINI WAKUTANE NA HIVI VIMBWANGA
 
Hilo agano jipya litoe kabisa hapa hakuna kitu agano jipya na barua za Paulo hizo yule janja janja alikuwa. Rabbi kamaliza hapa kaa mbali na Paul

Sikiliza kuanzia dakika 3.50 Rabbi kamaliza hapo huyo jamaa ni disaster hatari
 
Back
Top Bottom