one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,327
Muwe mnasoma,Quran haijaeleza habari za Yesu imeeleza habari za Issa.
Napinga kilichoeleza Quran kwa 100% kwasbb
1. Biblia na Quran ni vitabu viwili tofauti. Lengo la wakristo watu wamjue Mungu ili kuwafikia watu wamjue Mungu ndiyo maana utakuta mpk Biblia za Kisukuma zipo. Sijui mpango wenu maana kuna waislam ukimpa hiyo Quran akosomee anakutumbulia macho tu. Yeye ni kutafsiriwa na kukaririshwa na viongozi tu
2. Ukisoma habari za Yesu kwenye Biblia ni tofauti kwa 100% na za Issa kwenye Quran.
Hayupo mkristo yoyote duniani anayeamini Quran, Allah na huyo Issa 100% kwasbb
A. Amri ya kwanza ilifanyika pale Eden ambapo Adam alipewa mke mmoja kwahiyo ukioa wake wawili hiyo ni dhambi. Quran inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja
B. Wakristo tunaamini hakuna jini wazuri wote ni wabaya ni maajenti wa shetani. Kushirikiana nao ni kutenda dhambi. Waislam wanaamini kuna majini wazuri
Pole sana
The Torah does not forbid a man from having multiple wives. Abraham, Jacob, David and Solomon are notable examples of biblical figures who wedded more than one wife.
A close reading, however, reveals that in virtually all cases where our forefathers took multiple wives, it was for a specific reason. Abraham married Hagar only after Sarah suggested that he do so because she and Abraham had no children together. Another classic example is Jacob. He married Leah only because he was tricked into it by Laban. Similarly, he took Bilhah and Zilpah at the advice of his first two wives, who wished to bear children through them.
Yet the Torah does not outlaw polygamy.
Approximately one thousand years ago, the noted German scholar Rabbi Gershom “the Light of the Diaspora” banned polygamy.1 This ban was accepted as law by all Ashkenazic Jews, but was not recognized by Sephardic and Yemenite communities.